Shamim Mwasha, mumewe mbaroni Dar kwa tuhuma za kukutwa na dawa za kulevya


Ndiyo upige simu polisi, siyo kuwataja hapa JF.
 
Mkwe don't forget kupeleka msosi kwa gereza[emoji3][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]

Ila kweli Shamim alipaswa amsimamie mumewe kama kutajirika washatajirika wangefanya mambo mengine sasa hivi...
Ntampelekea kaka angu japo chai ila na yeye akome.
 

400g haiwezi kufika 200mil sokoni fanya research vizuri. 1g inarange 35k to 50k.
 
Hivi babu wa mitaa ya ndugumbi "mtama mchungu" yupo kweli?
 
[emoji106][emoji106][emoji106]
 
Enheeeeee. Hii habari hata Tzshaderoom aliandikaga
 
Hyo shamim wiki kama 2 zlizopita nlimuona anatoka gym azura hpo
Mbwembwe nyingi

Ova
Mwenyewe siku hizo hizo nilikutana nae 777 nikamuonyesha rafiki yangu umemuona mke wa kaka. Yani rafiki yangu alipanic kujua ndo mke wa Abdul. Akaanza kumsifia ooh she's hardworking, anaongea vizuri sijui nini. Kumbe angejuaaaa
 
Duh!itakua hata mwaka wa 4 sasa katulizwa!baker ranger nasikia walimkamatia asia huko,walichomfanyia wamemtupa tu guantanamo bay tu,haina mahakamani wala wapi yan km gaidi vile!kama namuona vile na ule ualaza wake!
Ndg yake madega huyu
Kuna biashara alikuwa anafanya link yke na watu fulani hko ndomana
Wanyamwezi wakamuweka kwenye blacklist
#tupotezeeee

Ova
 
Mwenyewe siku hizo hizo nilikutana nae 777 nikamuonyesha rafiki yangu umemuona mke wa kaka. Yani rafiki yangu alipanic kujua ndo mke wa Abdul. Akaanza kumsifia ooh she's hardworking, anaongea vizuri sijui nini. Kumbe angejuaaaa
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Wazushi tu wale watawadanganya watoto Wageni lbda

Ova
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…