Shamim Mwasha, mumewe mbaroni Dar kwa tuhuma za kukutwa na dawa za kulevya

Ukute mmesahau ujue!

IG huko wanamchamba kwenye page yake Mwasha anajifanya motivational speaker kumbe muuza ngada...[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]

Ninachoshangaaga ni kitendo cha wanaojiita motivational speakers kutaka viingilio kuhudhuria semina zao. Hapo ndo naonaga utapeli mtupu.
 
Kuna couple moja nao wko mo twn [emoji23] [emoji23]
Wao sjui lini yatawakuta!
Ngj tuishie hpa

Ova
Wataje tu mkuu,wamiliki wa Nyumbani Park aka Samakisamaki au?kuna kipindi walitikiswa lakini last time nimeenda Moro nikawakuta wanakula maisha tu.

Inasemekana jamaa amewahi kufungwa jela za Brazil yeye na mkewe..
 
Huyu Mwasha huko insta anahimiza vibubu kumbe yeye ni drug dealer. Jamani maisha ya insta ni tofauti kabisa na real life. Hivi grams 400 ni sawa na bei gani?Bado gram 100 tu ifike nusu kilo.
daah aisee.. imebd nikampekue, masomo konk haswa
 
Kabisa nakuambia huo upuuzi hafanyi bora mambo yakibana apige miayo kimbunga kikitulia aanze mambo yake. Hebu ona Mwinyi Machapta utamwambia afanye nini zaidi ya miunga yake akuelewe

Hivi huyu bado yupo uraiani..??
 
Kabisa nakuambia huo upuuzi hafanyi bora mambo yakibana apige miayo kimbunga kikitulia aanze mambo yake. Hebu ona Mwinyi Machapta utamwambia afanye nini zaidi ya miunga yake akuelewe

Huyu si ndo ana car wash za kuzugia karibu na home alone.? Halafu zile biashara za magari zinazofanyikaga pale katika ile car wash sizielewagi kabisa.
 
Kabisa nakuambia huo upuuzi hafanyi bora mambo yakibana apige miayo kimbunga kikitulia aanze mambo yake. Hebu ona Mwinyi Machapta utamwambia afanye nini zaidi ya miunga yake akuelewe
Ila machapta naona kaamua kuhamishia familia china kabisa
 
Sasa remina tuseme anasota segerea sababu ya mambo ya mtoto wake au maana nae issue yake unga aliyokamatwa nayo
Inasemekana walikuta ndani
Mbona siku hiyo tulikuwa pembeni na saloon yke kwenye kile ki grocery
Mama pale angetulia tu Sema alianza jibu shit....baada ya kuona wanataka mkamata mwanae ndpo alipochezea kichpo
Pale kulikuwa na wasanii fulani nao wakakogeshwa kwenye dimbwi hku wakiambiwa waigize [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Sisi kama Kawa tulikuwa tunaendelea kupiga vyombo ila sim usishike no recording

Ova
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…