monopoly inc
JF-Expert Member
- Dec 20, 2016
- 5,256
- 11,377
bado sana na hatoki leoEmba bado yumo ndani? Ndio maana nyandu naona kama kapoa hivi, na damon dash yeye vp?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
bado sana na hatoki leoEmba bado yumo ndani? Ndio maana nyandu naona kama kapoa hivi, na damon dash yeye vp?
Mbona mange alishawekaga hii story mdaBasi kumbe Shamim basi anapenda mmewe auze atiii!
Chaa...kumbe hawaridhikagi etii hawa wadada...
Mtaje tu huyo mkazaji[emoji2][emoji2][emoji2]
no mkuu life la watoto wengi Wa kino lipo hivo na makundi ingawa wengi wametoboa kwa mfumo huo
Mkuu pengine wakati wa kuolewa bwana alikuwa hajajitokeza na kujulikana rasmi. Na kuna wengine wanaolewa halafu bwana anakuja kuanza hiyo biashara baadae.Mwanamke anaeolewa na muuza madawa ni jasiri kuliko anaefanya biashara. Unajiingizaje kwenye moto ukiwa unajiona lakini?
Ukute mmesahau ujue!Mbona mange alishawekaga hii story mda
LugumiNani huyo??
Ukute mmesahau ujue!
IG huko wanamchamba kwenye page yake Mwasha anajifanya motivational speaker kumbe muuza ngada...[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
Kabisa nakuambia huo upuuzi hafanyi bora mambo yakibana apige miayo kimbunga kikitulia aanze mambo yake. Hebu ona Mwinyi Machapta utamwambia afanye nini zaidi ya miunga yake akueleweDuh
Muuza ngada umpe idea ya mtaji wa 1mln apate faida laki 5 hakuelewi [emoji23]
Ova
Hebu ngoja niwahi kwa Mange, kuna wakati Mange alipayuka sana juu ya uhusikaji wa bi mkubwa na mumwewe kwenye madawa haya yasiyotibu ugonjwa wowote....
Halafu viingilio elf50 mpk laki kuna watu wana hela za kuchezea jamani!!! Yaani Mimi huo ujinga bado bora zama anaefanya bureNinachoshangaaga ni kitendo cha wanaojiita motivational speakers kutaka viingilio kuhudhuria semina zao. Hapo ndo naonaga itapeli mtupu.
Wataje tu mkuu,wamiliki wa Nyumbani Park aka Samakisamaki au?kuna kipindi walitikiswa lakini last time nimeenda Moro nikawakuta wanakula maisha tu.Kuna couple moja nao wko mo twn [emoji23] [emoji23]
Wao sjui lini yatawakuta!
Ngj tuishie hpa
Ova
daah aisee.. imebd nikampekue, masomo konk haswaHuyu Mwasha huko insta anahimiza vibubu kumbe yeye ni drug dealer. Jamani maisha ya insta ni tofauti kabisa na real life. Hivi grams 400 ni sawa na bei gani?Bado gram 100 tu ifike nusu kilo.
Kabisa nakuambia huo upuuzi hafanyi bora mambo yakibana apige miayo kimbunga kikitulia aanze mambo yake. Hebu ona Mwinyi Machapta utamwambia afanye nini zaidi ya miunga yake akuelewe
Kabisa nakuambia huo upuuzi hafanyi bora mambo yakibana apige miayo kimbunga kikitulia aanze mambo yake. Hebu ona Mwinyi Machapta utamwambia afanye nini zaidi ya miunga yake akuelewe
Sasa remina tuseme anasota segerea sababu ya mambo ya mtoto wake au maana nae issue yake unga aliyokamatwa nayoDogo mmoja mtoto wa remina mama yake alikuwa famous sana Kino
Alikuwa na saloon na mtu wa kwenda China kufata biashara za wanawake
Ova
Duhh !!! Anasubiri nini kukimbia nchiMeanwhile in south africa, patner... rafiki wa Daud bashite wenyeji wamemchoka ...kifuatacho ITV ni......
View attachment 1088567
Ila machapta naona kaamua kuhamishia familia china kabisaKabisa nakuambia huo upuuzi hafanyi bora mambo yakibana apige miayo kimbunga kikitulia aanze mambo yake. Hebu ona Mwinyi Machapta utamwambia afanye nini zaidi ya miunga yake akuelewe
Kuna mtu kajibu hapo juuNani huyo??
Inasemekana walikuta ndaniSasa remina tuseme anasota segerea sababu ya mambo ya mtoto wake au maana nae issue yake unga aliyokamatwa nayo