Nani mdg wngu j aka director nn [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Kapuz nako
Ova
Hela ya mwisho alikula ya mdg wkeEmba bortion na mama yake remina wauza ngada maarufu kino wamefichwana mamlaka kwa sasa. Hela za ngada dada alikuwa anapanda first class flights hizi front waliweka Saloon na kuuza ma lace wig back office au core business ilikuwa ni powderz. View attachment 1088675View attachment 1088680View attachment 1088681
Hahahah eti unanijua mm naniHarusi moja tulimletea uzushi kwenye menu hakuweka samaki
Wacha tumzonge akawaanaishia ksema unanijua mm nani?tukamwambia ye kuwa nani haituhusu kikubwa atimize makubaliano
Biashara zake ni uzushiuzushi tu haw wamama wa mjini
Ova
Huyo ndio mtoto wa reminaEmba bortion na mama yake remina wauza ngada maarufu kino wamefichwana mamlaka kwa sasa. Hela za ngada dada alikuwa anapanda first class flights hizi front waliweka Saloon na kuuza ma lace wig back office au core business ilikuwa ni powderz. View attachment 1088675View attachment 1088680View attachment 1088681
Ana watoto 3Huyo ndio mtoto wa remina
Sasa tukizungumzia value ya heroin na ufungaji hadi uwezo wa mtu kubeba
Humu italeta balaa tu mkuu
Ova
Ahahahahahahaha ngoja aje TID au chid benz atupe darasa
anoga!Ausindile
shamim aliingia Mkwawa F5 July 1997, akiwa ametokea Morogoro secondaryIntake ya mwaka gani Mkwawa?
Boss, wewe hapo unazungumzia bei ya mtaani ambapo heroine unakuta tayari imeshapikwa na volume kuongezwa tayari kuuzwa kwa mateja wa kawaida. Tena afadhali ungeongelea street value kwa nchi kama china ama marekani, bei inaweza fika huko 200m kwa kilo. Ila kwa Tanzania hata kilo moja ya heroine haina street value hata ya million 100. Kinachosaidia unga uonekane una thamani ni mzunguko. Unga una mzunguko mkubwa sana kutokana na idadi kubwa na ya uhakika ya watumiaji wake.
Yule sista anamajibu ukiingia anga zake ni balaaaAna watoto 3
Yupo yule aliyezaa na jaj ashastafu
Kifaaa
Ila najua huko alipo anatumiss maana ile grocery alikuwa hpendi tukionekana [emoji23] [emoji23] [emoji23] tunamletea karahaaa anasema
Sasa namwambia remi mm nakujua tokea unafanya kazi saloon mjini mm kma mdg wko
Dah tulikuwa tunapishana kauli maana tulikuwa tunamchana ukweli
Ova
Kweli na dada zetu epukeni mikorogo inawafanya vibaya sana mkiachaDotnata anaumwa mkuu
Miss the opportunity by few years back. Mambo mengi muda mchache...the complexshamim aliingia Mkwawa F5 July 1997, akiwa ametokea Morogoro secondary
We ndio umeleta siasa, bongo wapo wengi tu madon wa unga akina nsembo, chonji, ally shikuba, kiboko, kanyau, beka ranger n.k, ila sasa iv washapukutishwaMkuu taarifa tafadhari kwanza bongo drug dealer wa maana akuna wote mapusher tu magwiji wenye hata awaguswi mkuu si tusikilize ndelemo za kisiasa tu unaweza kuta hata hao tunaoongelea mzigo huo wameuziwa cheche michezo ya watu wakubwa wenye chuki na mtu njia ya kupotezana bongo wenye mzigo nimekutanishwa na mnigeria nasikia hata wazambia namibia na nchi nyingine ndo wanakuja bongo kujifanya wanafunga mzigo kariakoo ila wanamambo yao jamaa aliyenipa hizo mambo shemeji yake ni mnigeria na ndo alikua anampa mzigo nae pia ndo mwenye access na wakunga mbele mbele acha wanigeria wajenge majengo sio kubeba box ulaya unga kwao frsh
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji106]Naskia nsembo walimchomolea akiwa kajificha juu ya Dari [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Kama nawaona vile wazee wanamvyomshusha
Ova
Hivi ni ku intagrate au ku differentiate constant no?hahaaaaaa, O-level utoke na div 3 halaf uende advance PCM/PCB upate hata four au zaid we ni kipanga, nilishuhudia mtu akila zero kutoka div 1.15, ni mwendo wa ku intergrate zero
Hata hao wanaweza wasijue thamani halisi ya hiyo kitu. Maana wao ni watumiaji tuu.
[emoji106][emoji106][emoji106]We ndio umeleta siasa, bongo wapo wengi tu madon wa unga akina nsembo, chonji, ally shikuba, kiboko, kanyau, beka ranger n.k, ila sasa iv washapukutishwa
Na ni ngumu kuwakamata na uthibitisho, so dawa yao ni kuwawekea zigo tu wakafie mbele!
Sijawahi kuwaonea huruma wauza ngada
Harusi moja tulimletea uzushi kwenye menu hakuweka samaki
Wacha tumzonge akawaanaishia ksema unanijua mm nani?tukamwambia ye kuwa nani haituhusu kikubwa atimize makubaliano
Biashara zake ni uzushiuzushi tu haw wamama wa mjini
Ova
Alikamatwa kitambo, kiukweli tuunge mkono jitihada kubwa inayofanywa na serikali kutuondolea Hawa watu mtaani angalau kidogo tunapumua jamani mtaa ukiwa hataKiboko na mke wko ndani
Na kna source moja inasema kana kiboko ndani kapata stroke .....shnz type
Ova