Shamim Mwasha, mumewe mbaroni Dar kwa tuhuma za kukutwa na dawa za kulevya

aisee kina ismail sotta,hivi yuko wapi yule mtu,dah ile kampani imewafanya vibaya sana vijana wa kiume wenye majina yao sababu ya tamaa zao
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Sijawahi kucheka hivi toka nizaliwe[emoji23][emoji1787][emoji1787]
 
Mbona unajichanganya mkuu? Unasema haina dhamani kihivyo kama tunavyoaminishwa na hapo hapo unasema serikali haitangazi dhamani kwa kuwa inaogopa kutamanisha watu.... Kama haina dhamani ni wazi serikali ingetangaza dhamani ili watu waelewe kuwa biashara hiyo haina ishu. Serikali haitangazi cause biashara inalipa ndio maana inahofia watu wakijua dhamani wanaweza wakajitoa mhanga kininja..... Huu ni mtazamo wangu tu kutokana na maelezo yako
 
Shamim alikuwa anataka aendelee kumaintain status mjini ndo maana kipindi ishu ya ngada ilivyochachamaa Abdul akawa hana kitu bi dada akajipindua kwa Lugumi
 
Thamani not dhamani.
 
Ni hatari sana ukioa mwanamke msaka fursa mjini, Tuombe sana Mungu wake zetu wawe kweli na si wasaka fursa mjini maana Dar es salaam na Tanzania kwa sasa kuna wanawake wasaka fursa, mkeo ataitwa au kujiita malkia wa nguvu, mara Wanawake tunaweza nk nk ilimrad kupoteza watu maboya... Hatari sana..

Wengine kwenye vibegi na vipochi vyao hukosi KY kama watu vile ukiwaona barabarani wanakula kiyoyozi...

Dada zetu, Mama zetu, Shangazi zetu wakitanzania hebu badirikeni kidogo mpambane kiuhalisia na mlioko mashuleni mkuze IQ zenu na si kuishi kwa nguvu ya papuchi..Papuchi imeumbwa kutoa burudani kwa mwenzio na kwako na si mtaji au kitega uchumi..
 
Hivi mumewe kashatoka nyuma ya NONDO kweli[emoji40]
 
Atoke wapi? Nakuambia wengi wanamkumbuka Kikwete sasa., walikuwa wanapindua pindua tu majalada huko.
[emoji32]Duh nakumbuka alivyokuwa ana date na Miss Tz yule G bi dada akazifuma picha za uchi akazisambaza duh ila wa dada wa mjini wanaroho ngumu[emoji23][emoji23][emoji23] Halafu Kiki anajua kujikausha utasema mume yupo uraiani
 
[emoji32]Duh nakumbuka alivyokuwa ana date na Miss Tz yule G bi dada akazifuma picha za uchi akazisambaza duh ila wa dada wa mjini wanaroho ngumu[emoji23][emoji23][emoji23] Halafu Kiki anajua kujikausha utasema mume yupo uraiani
Kiki ni mwanamke mzuri sana kwa tabia na hapendi makuu ila hana bahati ya MUME alimkimbia Kinje baada ya kuona amezidi umalaya na sio muoaji, mpaka akatishiwa bastola lakini hakurudi nyuma, kaja kuangukia kwenye ndoa nyingine ya mwanaume mshenzi vile vile..
 
na inasemekana bashite ame monopolize hii biashara kutoka katika kufanywa kiholela na watu wengu mpaka kufanywa na watu wachache alionao karibu yeye mwenyewe. yaani sasa hivi wanoauza unga ni madoni wachache tu.


Ndiyo kila mtu anasema hii kitu ila rais anakaa kimya tu anamuangalia huku akimchekea na kusanifu watanzania.
 
Lakin na yy anapenda makuu kipindi alivyopewaga ile BMW hakujua ni ya ujanja ujanja zile vacation za Paris nazo [emoji40]
 
[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2]

Ova
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…