Kubbra Hooda
JF-Expert Member
- Jan 4, 2019
- 208
- 297
Hakika waliomtoa tongo za macho ni kina Mboni na akamkomesha Mboni kwa kumuibia bwana ambaye ni Abdul sasaMange anasema Shamim aliingia mjini na lorry la mkaa akitokea Morogoro [emoji23]
Huyo alokamatwa nae ndo bwana wa MboniTena huyu mwanaume aliyemuoa inasemekana alikuwa mwanaume Mboni Masimba
So Shamimu akamzunguka shoga ake na kudate nae mpk kuoana
Km kawaida ushoga wa mjini kuzungukana
aisee kina ismail sotta,hivi yuko wapi yule mtu,dah ile kampani imewafanya vibaya sana vijana wa kiume wenye majina yao sababu ya tamaa zaoWauza unga na wapigaji mjini wameleta athari kubwa sana kwenye jamii, hata hii ajira mpya ya Kudanga kwa hawa dada zetu imechangiwa na hawa jamaa kwa kiasi kikubwa maana waliwazoesha expensive life hawa mabinti ambao kwa sasa wamebaki victim hivyo lazima wadange kwa kupanga idadi kubwa ya wanaume ili wamentain status..
Nikikumbuka enzi za Twanga pepeta na Msondo jukwaa moja pale leaders nakumbuka mengi sana kwenye hii jamii ya Bongo movie na uhalisia wa maisha yao..
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Na anawapata machizi wenzake wengi tu, kuna wakati alianza kuwafundisha jinsi ya kupata mume CLAAs au MZUNGU , akawaambia acheni kutengeneza TRIANGLE yaani NYUMBANI, KAZINI KANISANI/MSIKITINI NYUMBANI, mkitoka kazini nendeni hotel kubwa agiza hata maji utapata watu class, hameni manzese hamieni masaki hata kwenye banda la uani utakutana na watu claa...basi kuna mmoja akaja kulalamika eti NILIFANYA HIVYO NIKAPATA MZUNGU AMENI..MBA SIKU MOJA TU , akaninyima namba yake nilikosea wapi? Akajibiwa we alikuona MALAYA kwa nini ulimpa MBUNYE siku ya kwanza? Hahhaaaaaaaaaaaa! huyu ndio Mange na ELIMU YAKE, shami na VIBUBU vyake..kila chizi na machizi wake jamani.
Mbona unajichanganya mkuu? Unasema haina dhamani kihivyo kama tunavyoaminishwa na hapo hapo unasema serikali haitangazi dhamani kwa kuwa inaogopa kutamanisha watu.... Kama haina dhamani ni wazi serikali ingetangaza dhamani ili watu waelewe kuwa biashara hiyo haina ishu. Serikali haitangazi cause biashara inalipa ndio maana inahofia watu wakijua dhamani wanaweza wakajitoa mhanga kininja..... Huu ni mtazamo wangu tu kutokana na maelezo yakoNdo maana nimemwambia, bei haziwekwi hadharani kuepusha kutamanisha watu. Kama yeye tayari keshaingizwa chaka kuwa gram 400 ya heroine inathamani ya 200 million kitu ambacho hata hakina hata thamani ya robo ya hiyo pesa. Mwingine akisiki pesa nyingi kama hivyo anaingia tamaa kuanza kujihusisha nayo.
Kitu ambacho husikii mamlaka za usalama zikitangaza bei kuepusha kutamanisha watu.
Shamim alikuwa anataka aendelee kumaintain status mjini ndo maana kipindi ishu ya ngada ilivyochachamaa Abdul akawa hana kitu bi dada akajipindua kwa LugumiNdio maana wanasema hakuna lenye mwanzo lisilo na mwisho.
Abdul is my brother/friend lakini kwa hizi tuhuma aisee nilikua namwangaliaga kwa jicho la tofauti.
Shamim hakuplay part yake kama mke kashindwa kumshauri mumewe ona sasa hivi wote wako ndani wameacha watoto wateseke kisa short cut ya utajiri.
Wewe mmenye upo.? Umeadimika sana.
Thamani not dhamani.Mbona unajichanganya mkuu? Unasema haina dhamani kihivyo kama tunavyoaminishwa na hapo hapo unasema serikali haitangazi dhamani kwa kuwa inaogopa kutamanisha watu.... Kama haina dhamani ni wazi serikali ingetangaza dhamani ili watu waelewe kuwa biashara hiyo haina ishu. Serikali haitangazi cause biashara inalipa ndio maana inahofia watu wakijua dhamani wanaweza wakajitoa mhanga kininja..... Huu ni mtazamo wangu tu kutokana na maelezo yako
Hivi mumewe kashatoka nyuma ya NONDO kweli[emoji40]Halafu KIKI huyo huyo ndio alikuwa matron kwenye harusi yake mange lakini bado mange akamuibia idea ya kazi mwenzake, ila kina Kiki na mumewe nao baada ya mange kuzidi kuwachokonoa wakamchokonoa vyema na ndoa yake ikafa..wadada wa mjini kazi kweli kweli.
Atoke wapi? Nakuambia wengi wanamkumbuka Kikwete sasa., walikuwa wanapindua pindua tu majalada huko.Hivi mumewe kashatoka nyuma ya NONDO kweli[emoji40]
[emoji32]Duh nakumbuka alivyokuwa ana date na Miss Tz yule G bi dada akazifuma picha za uchi akazisambaza duh ila wa dada wa mjini wanaroho ngumu[emoji23][emoji23][emoji23] Halafu Kiki anajua kujikausha utasema mume yupo uraianiAtoke wapi? Nakuambia wengi wanamkumbuka Kikwete sasa., walikuwa wanapindua pindua tu majalada huko.
Kiki ni mwanamke mzuri sana kwa tabia na hapendi makuu ila hana bahati ya MUME alimkimbia Kinje baada ya kuona amezidi umalaya na sio muoaji, mpaka akatishiwa bastola lakini hakurudi nyuma, kaja kuangukia kwenye ndoa nyingine ya mwanaume mshenzi vile vile..[emoji32]Duh nakumbuka alivyokuwa ana date na Miss Tz yule G bi dada akazifuma picha za uchi akazisambaza duh ila wa dada wa mjini wanaroho ngumu[emoji23][emoji23][emoji23] Halafu Kiki anajua kujikausha utasema mume yupo uraiani
Dooh aibu naona Mimi... Asante kwa masahihishoThamani not dhamani.
na inasemekana bashite ame monopolize hii biashara kutoka katika kufanywa kiholela na watu wengu mpaka kufanywa na watu wachache alionao karibu yeye mwenyewe. yaani sasa hivi wanoauza unga ni madoni wachache tu.
Lakin na yy anapenda makuu kipindi alivyopewaga ile BMW hakujua ni ya ujanja ujanja zile vacation za Paris nazo [emoji40]Kiki ni mwanamke mzuri sana kwa tabia na hapendi makuu ila hana bahati ya MUME alimkimbia Kinje baada ya kuona amezidi umalaya na sio muoaji, mpaka akatishiwa bastola lakini hakurudi nyuma, kaja kuangukia kwenye ndoa nyingine ya mwanaume mshenzi vile vile..
[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2]Ni hatari sana ukioa mwanamke msaka fursa mjini, Tuombe sana Mungu wake zetu wawe kweli na si wasaka fursa mjini maana Dar es salaam na Tanzania kwa sasa kuna wanawake wasaka fursa, mkeo ataitwa au kujiita malkia wa nguvu, mara Wanawake tunaweza nk nk ilimrad kupoteza watu maboya... Hatari sana..
Wengine kwenye vibegi na vipochi vyao hukosi KY kama watu vile ukiwaona barabarani wanakula kiyoyozi...
Dada zetu, Mama zetu, Shangazi zetu wakitanzania hebu badirikeni kidogo mpambane kiuhalisia na mlioko mashuleni mkuze IQ zenu na si kuishi kwa nguvu ya papuchi..Papuchi imeumbwa kutoa burudani kwa mwenzio na kwako na si mtaji au kitega uchumi..