Don Clericuzio
JF-Expert Member
- Dec 8, 2017
- 16,930
- 40,556
Hapo sasa.. na siamini kama Abdul alikua anaendelea na hiyo biashara. Baada ya masekeseke yote alibadilika kabisa.
Hicho kipimo ndio uwezo wa punda wengi kumeza tumboni, elewa hao hawauzi kete kuna punda hapo lilandaliwa huo mzigo lije kumeza lipandishwe ndege lipelekeke sokoni.
Kituo cha kwanza Miami,cha pili kwa Mwandulami,cha tatu Kwa Kaundama Kalenga ndiyo nakuja kuvuna nyanya.Hahahahahaaa!Tayari mkuu we njoo na fuso tu
Angekua mshamba asinge cope na status za mjini kwenye ile group yao walikuw Mwamvita Makamba, yule Kiki Zimba na ShamimHahahaaaa kweli alikuwa anaishi na baba yake Morogoro ila hakuw mshamba kibile labda ni kwsbb ya mji kasoro bahari
Kuna biashara wanafanya huyo Steve na Shamimu au uwa anamtoa tu kama rafiki?Huyo jamaa mjanja mjanja sana, Abdul Nsembo wa nsembo transport ya magomeni, kuna kipindi walivamiwa pale kwenye lile jengo jamaa wakakamatwa nsembo akala kona, kwa ujanja ujanja wake na kujua kabisa alikuwa analiwa timing sidhani kama angeweza kukaa na hivyo vitu kwake ama kwenye gari...steve nyerere atakula wapi maskini ya Mungu huyu ndio boss wake akiishiwa tuu anazama kwa shamim
Hicho kipimo ndio uwezo wa punda wengi kumeza tumboni, elewa hao hawauzi kete kuna punda hapo lilandaliwa huo mzigo lije kumeza lipandishwe ndege lipelekeke sokoni.
Hata mimi ndio namsikia, picha ya kwanza iliyonijia ni yule Mwanamama Mwanasiasa..ila yule anaitwa shamim khan.Ni nani huyo.. Picha tafafhali
Acha chokochoko dogo.Saf sana haya Mambo ndio napenda kuyasikia...chadema watapinga watasema anaonewa au serikali inataka kick
Mnajuana eeeeehHapo sasa.. na siamini kama Abdul alikua anaendelea na hiyo biashara. Baada ya masekeseke yote alibadilika kabisa.
Yessss sasa Mwamvuta Makamba nimesoma nae darasa moja kpnd Mzee Makama RC Morogoro. Alikuwa dada mmoja simple sana ghafla mujii ukambadilisha hahahaaa mjini siji ng'ooooo acha nibaki Matombo.Angekua mshamba asinge cope na status za mjini kwenye ile group yao walikuw Mwamvita Makamba, yule Kiki Zimba na Shamim
....Msije tu wiki ijayo mkatuambia kumbe kilichokamatwa sio Heroin bali Unga wa Dengu bibie alikuwa anataka kumpikia mumewe visheti !! [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Weeee Dada washamba wanabadilika aisee hata kama katoka Nanjilinji juzi. Akija mjini mission ni moja tu "Faking it till they make it"....wako wengi tunawaona.Angekua mshamba asinge cope na status za mjini kwenye ile group yao walikuw Mwamvita Makamba, yule Kiki Zimba na Shamim
Tofauti yao kubwa ni kuwa Mwamvita ana shule na connection za dingi. Yule mume wa kwanza wa Shamim ndiye alimsomesha first degree ninasikia.Yessss sasa Mwamvuta Makamba nimesoma nae darasa moja kpnd Mzee Makama RC Morogoro. Alikuwa dada mmoja simple sana ghafla mujii ukambadilisha hahahaaa mjini siji ng'ooooo acha nibaki Matombo.
Sasa hivi Da Mboni anamuita Abdul shemeji [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Tena huyu mwanaume aliyemuoa inasemekana alikuwa mwanaume Mboni Masimba
So Shamimu akamzunguka shoga ake na kudate nae mpk kuoana
Km kawaida ushoga wa mjini kuzungukana
Kuna biashara wanafanya huyo Steve na Shamimu au uwa anamtoa tu kama rafiki?
Hawa kawiii hawa ... hii serikali ya makada wa ccm sio yakupaswa kuaminiwa....Msije tu wiki ijayo mkatuambia kumbe kilichokamatwa sio Heroin bali Unga wa Dengu bibie alikuwa anataka kumpikia mumewe visheti !! [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hahaa umeona eehMaisha fake fake....baadae watasema ni sababu ya Olframe sijui au network business fulani. Kumbe wanalisha watoto wa watu unga
Role model apelekewe makeup ๐Weeee Dada washamba wanabadilika aisee hata kama katoka Nanjilinji juzi. Akija mjini mission ni moja tu "Faking it till they make it"....wako wengi tunawaona.
Ila daaah kwa heshima aliyokua amejiwekea Shamim jamani atafanya wasichana wanaomuangalia kama Role model wakate tamaa.