Shamim Mwasha, mumewe mbaroni Dar kwa tuhuma za kukutwa na dawa za kulevya

Shamim Mwasha, mumewe mbaroni Dar kwa tuhuma za kukutwa na dawa za kulevya

Ukiangalia sana Shamim alivaa koti la Blogger, Oriflame director, Nsembo huyu anajulikana maana yale maeneo ya magomeni Kagera karibu wotemazungu ukianzia Chonji, nyuma ya mtaa alikuwako Tikotiko , Nsembo ofisi ya Logistics and Transportation alipanga kwa chonji nadhani iko kama Front tuu lakini core business ni mapodas. Mbele ya mtaa kuna Idd Azan, Babu mtama mchungu.

Halafu hata Mbezi beach walipokuwa wanaishi mitaa hiyo ma don tupu wa mapoda. Babu, Khafidh, Nsembo, Saad hawa watu huwa wanapenda kujenga maeneo yanayokaribiana.
IMG-20190504-WA0001.jpeg
IMG-20190504-WA0000.jpeg
 
Huyo jamaa mjanja mjanja sana, Abdul Nsembo wa nsembo transport ya magomeni, kuna kipindi walivamiwa pale kwenye lile jengo jamaa wakakamatwa nsembo akala kona, kwa ujanja ujanja wake na kujua kabisa alikuwa analiwa timing sidhani kama angeweza kukaa na hivyo vitu kwake ama kwenye gari...steve nyerere atakula wapi maskini ya Mungu huyu ndio boss wake akiishiwa tuu anazama kwa shamim
Wana wapana duuu
 
Huyu dada aliolewa ndoa ya kwanza na mwanaume mmoja mstaarabu sana. Walibahatika kupata mtoto wa kike. Yeye ndiye chanzo cha ndoa kuvunjika.

Sasa mwana kulitafuta mwana kulipata.
Ujue alitaka zaidi. Na huku kwenye mtandao kweli kuna zaidi. Na kesho unaweza ukasikia yuko nje,kilichokamatwa sio unga uliotangazwa
 
Huyu Mwasha huko insta anahimiza vibubu kumbe yeye ni drug dealer. Jamani maisha ya insta ni tofauti kabisa na real life. Hivi grams 400 ni sawa na bei gani?Bado gram 100 tu ifike nusu kilo.
Ndio yule ambaye ni mweupe anatangaza Kama wa njano ambaye anatangaza mgahawa,biashara ya fumigation,vibubu vya 50,000 ? VIBUBU vya Kama trunker la mwanafunzi?
 
Nakumbuka humu ililetwa thread ya Tajiri aliyekamatiwa Magomeni, naye ilikuwa gram 400. Najaribu kuitafuta hiyo thread.
Mara nyingi huo mzigo huwa unakuwa ni wa mamlaka husika ya kupambana na madawa ".... inapotokea wame kuchoka kutokana na kuhusika kwako na hiyo biashara na wamesha kuonya mara kibao kuwa uachane na hiyo biashara kwa sababu tayari umesha julikana na unaichafua nchi katika jumuia ya ki-mataifa. .

Lakini wewe hautaki kuelewa somo ... basi wana kuandalia zengwe la kukupoteza ... wana kuja kwako wakiwa na huo mzigo "... halafu wana kusingizia kuwa ni wakwako "....Au ya weza kuwa katika harakati za huyo jamaa alipishana ki-maslahi na mkuu mmoja aliye kwenye system so huyo mkuu ana amua kumtoa kafara tu
 
Natamani siku nipate mtu anieleze haya madawa wanayamezaje mpaka hatua ya mwisho ya kuyatoa. Kpn yapo tumboni je wanaruhusiwa kula nk...
Hatuwa muhimu kuliko zote ni mfungaji wa hizo pipi, punda wote wanawaheshimu sana watu hawa kwa sababu pipi zikifungwa vibaya tumboni zinapasuka.

Hatua ya pili punda anakula ugali wa kushiba wakati vipipi vipo kwenye beseni la maji, baada ya kula na kushiba na kupumzika kidogo ndio wanaanza kumeza hizo pipi kila punda kwa uwezo wake wa gram, wako punda wanaondoka na kilo nzima wanajilodi na kwenye tigo.

Wakifika salama mzigo hupakuliwa kwa njia ya haja kubwa mpaka pipi zote zinaisha, punda anachukuwa dola zake anafanya shopping anarudi huko mtaani mtamtambuwa, hawana akili kwamba hapa nimepata mtaji niachane na upunda nifanye biashara yeye anawaza next trip wapi.

Punda wakiwa kwenye ndege ni dry food na juice tu.
 
Huyu dada aliolewa ndoa ya kwanza na mwanaume mmoja mstaarabu sana. Walibahatika kupata mtoto wa kike. Yeye ndiye chanzo cha ndoa kuvunjika.

Sasa mwana kulitafuta mwana kulipata.
Sikujua kama alishawahi kuolewa... oh no nimekumbuka kulikuwa na timbwili fulani hivi enzi za mwanzo kabisa wa fashion8020
... Mkataa pema pabaya panamuita... Acha wavune walichopanda.

Wataozea jela but they deserve kuishia jela. Watoto wengi wameharibika wengine wamekufa kwa uharamia wao.
Kujitangazia kuwa designer mara sijui bidhaa za kupunguza uzito kumbe
Mange aliiitoa Hii kitamboooo watu wakamsema sana
Maisha ya copy n paste
 
Mara nyingi huo mzigo huwa unakuwa ni wa mamlaka husika ya kupambana na madawa ".... inapotokea wame kuchoka kutokana na kuhusika kwako na hiyo biashara na wamesha kuonya mara kibao kuwa uachane na hiyo biashara kwa sababu tayari umesha julikana na unaichafua nchi katika jumuia ya ki-mataifa. .

Lakini wewe hautaki kuelewa somo ... basi wana kuandalia zengwe la kukupoteza ... wana kuja kwako wakiwa na huo mzigo "... halafu wana kusingizia kuwa ni wakwako "....Au ya weza kuwa katika harakati za huyo jamaa alipishana ki-maslahi na mkuu mmoja aliye kwenye system so huyo mkuu ana amua kumtoa kafara tu
Mange anasema walitofautiana na Bashite, wenzake ambao wako vizuri na naibu rais wako poa.
 
Huyu Mwasha huko insta anahimiza vibubu kumbe yeye ni drug dealer. Jamani maisha ya insta ni tofauti kabisa na real life. Hivi grams 400 ni sawa na bei gani?Bado gram 100 tu ifike nusu kilo.

Ni zaid ya dealer hyu ni drugs king kabs gram mia nne karib nusu kilo hela ndefu sana tena hiyo pure aijaingia mtaani 200 mil ++ dah balaa
 
Back
Top Bottom