Shamim Mwasha, mumewe mbaroni Dar kwa tuhuma za kukutwa na dawa za kulevya

Shamim Mwasha, mumewe mbaroni Dar kwa tuhuma za kukutwa na dawa za kulevya

Mara nyingi huo mzigo huwa unakuwa ni wa mamlaka husika ya kupambana na madawa ".... inapotokea wame kuchoka kutokana na kuhusika kwako na hiyo biashara na wamesha kuonya mara kibao kuwa uachane na hiyo biashara kwa sababu tayari umesha julikana na unaichafua nchi katika jumuia ya ki-mataifa. .

Lakini wewe hautaki kuelewa somo ... basi wana kuandalia zengwe la kukupoteza ... wana kuja kwako wakiwa na huo mzigo "... halafu wana kusingizia kuwa ni wakwako "....Au ya weza kuwa katika harakati za huyo jamaa alipishana ki-maslahi na mkuu mmoja aliye kwenye system so huyo mkuu ana amua kumtoa kafara tu

Exactly my thoughts, nakumbuka kuwahi kupata jibu la namna hii mahali, nikasema niulize tena kupata maelezo zaidi.

Asante mkubwa.
 
Sikujua kama alishawahi kuolewa... oh no nimekumbuka kulikuwa na timbwili fulani hivi enzi za mwanzo kabisa wa fashion8020
... Mkataa pema pabaya panamuita... Acha wavune walichopanda.

Wataozea jela but they deserve kuishia jela. Watoto wengi wameharibika wengine wamekufa kwa uharamia wao.
Kujitangazia kuwa designer mara sijui bidhaa za kupunguza uzito kumbe
Mange aliiitoa Hii kitamboooo watu wakamsema sana
Maisha ya copy n paste
Aliolewa bwana na gauni lake la harusi yakwanza ninalikumbuka, walikua na maisha ya kawaida na mume wake.
 
Ile drama tuliipata U turn enzi za obagi na mashauzi yanataka pesa. Lakini ninampenda Kiki she is classic.

Ha ha haaaa Obagi.. umenikumbusha nimecheka sana.

Ikamvutia kuanzisha bootylicious sijui nini nayo ikamtokea puani akawa anakula pesa za watu mizigo hawipati.. insta alipoanza anza wakilalamika walikula block.. nayo ikafa.

Mange kaangaika sana .. labda siku moja atatoboa... kwa kupitia udaku anaouamini ndio kazi yake.. bila kusahau wivu🤣
 
Exactly my thoughts, nakumbuka kuwahi kupata jibu la namna hii mahali, nikasema niulize tena kupata maelezo zaidi.

Asante mkubwa.
Asante Mkuu ...tuko pamoja ... mfano mdogo ni daudi kanyau ... anafahamika wazi kuwa ni drugs dealer guru ..lakini yupo salama mpaka hii leo "

Ni kwa sababu hajawauzi vya kutosha wa kuu waliopo kwenye system
 
Huyu nsembo rafikia sana na Kinje na lemutuz na bashite. Itakuwa wamepishana kiswahili na bash boy. Kawatengenezea zengwe ila watatoka na hakuna atakayefungwa hapo. Wanatikiswa wateme mpunga

Kuna mwenzake alidakwa tayari aliyekuwa karibu nae zaidi.. ikashangaza wanaowajua walipoandika mitandaoni.. yeye alikuwa bado yupo nje.. kumbe nae siku imefika.
 
Huyo jamaa mjanja mjanja sana, Abdul Nsembo wa nsembo transport ya magomeni, kuna kipindi walivamiwa pale kwenye lile jengo jamaa wakakamatwa nsembo akala kona, kwa ujanja ujanja wake na kujua kabisa alikuwa analiwa timing sidhani kama angeweza kukaa na hivyo vitu kwake ama kwenye gari...steve nyerere atakula wapi maskini ya Mungu huyu ndio boss wake akiishiwa tuu anazama kwa shamim

Kwenye ile kamata ya Magomeni Kagera au Mwenbe Chai sikumbuki vizuri, nasikia jamaa alipewa tip akaondoka mapema, nusu saa tu wazee wa kazi wakavamia.
 
Mbona Kama hawafanani? Mwasha Ana
Uweusi/brown flani. Hivi karibuni walienda Zenji mara Sauzi. Ndio yeye au nazungumzia watu wawili? Anatumia jina la BBQ kitu Kama hicho. (Shamimu ndiye nilianza kumjua)
Amekata nywele,mara mazoezi
 
Asante Mkuu ...tuko pamoja ... mfano mdogo ni daudi kanyau ... anafahamika wazi kuwa ni drugs dealer guru ..lakini yupo salama mpaka hii leo "

Ni kwa sababu hajawauzi vya kutosha wa kuu waliopo kwenye system

Kumbukumbu zangu zinaniambia Kanyau alidakwa kipindi fulani, sikumbuki vizuri.
 
Huyu nsembo rafikia sana na Kinje na lemutuz na bashite. Itakuwa wamepishana kiswahili na bash boy. Kawatengenezea zengwe ila watatoka na hakuna atakayefungwa hapo. Wanatikiswa wateme mpunga

Kumbu kumbu zangu zinaniambia kipindi kile cha ile list ya drug dealers jamaa hakumtaja kabisa, wakati anamfahamu vizuri mno tena mpaka wametombeana demu (kajala)
 
Back
Top Bottom