Shamim Mwasha, mumewe mbaroni Dar kwa tuhuma za kukutwa na dawa za kulevya

Shamim Mwasha, mumewe mbaroni Dar kwa tuhuma za kukutwa na dawa za kulevya

Weeee Dada washamba wanabadilika aisee hata kama katoka Nanjilinji juzi. Akija mjini mission ni moja tu "Faking it till they make it"....wako wengi tunawaona.
Ila daaah kwa heshima aliyokua amejiwekea Shamim jamani atafanya wasichana wanaomuangalia kama Role model wakate tamaa.
Principle ni moja tu usifanye au usiseme vinginevyo ni suala la muda tu🙏🏼
 
Nashukuru sanaa kwa elimu hiii. Sijuwa najua kuwa kuna mfungaji nilijua huwa ziatoka hivyo hivyo kiwandani. Pale airport wanapopita mashine huwa hazitambui kuwa kuna mzigo tumboni? Maana naona kuna wanaokamatwa wengine wabahatika au ni sual la bahati nasibu?
Zamani walikuwa wanapekj kwenye mabegi, baada ya mashine kuja imekuwa ngumu, ila zile mashine hazina uwezo wa kuscan tumbo la binadamu, isitoshe ukishaingia kwenye network hii lazima uwajywe waganga wanaoujuwa uchawi haswa, unaweza kupita airport maafisa usalama wanakuona mzungu wakati ni mweusi tii, unatobowa tu.
 
Hahahaaaa dah
....Msije tu wiki ijayo mkatuambia kumbe kilichokamatwa sio Heroin bali Unga wa Dengu bibie alikuwa anataka kumpikia mumewe visheti !! [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Huyu dada aliolewa ndoa ya kwanza na mwanaume mmoja mstaarabu sana. Walibahatika kupata mtoto wa kike. Yeye ndiye chanzo cha ndoa kuvunjika.

Sasa mwana kulitafuta mwana kulipata.
Alitaka udada wa mjini bibi wee!halafu huyu Abdul alikua anatoka na mboni masimba na Shamim alikua shoga na Mbonie akamuovateki mwenziwe akaolewa yeye
 
Asante Mkuu ...tuko pamoja ... mfano mdogo ni daudi kanyau ... anafahamika wazi kuwa ni drugs dealer guru ..lakini yupo salama mpaka hii leo "

Ni kwa sababu hajawauzi vya kutosha wa kuu waliopo kwenye system
Na kuna picha Bashite kapiga na Kanyau huko south miezi ya hivi karibuni halafu ikarushwa insta..dah!
 
Nimesoma na Shamimu Bungo PS akiwa darasa la saba mimi nipo darasa la tano lkn pia nilimkuta Morogoro Sec. Ki ukweli ni dada anayependa mambo makubwa tangu akiwa shule ya msinhi. Sishangai kwa haya ninayo yasikia kumuhusu. Ni dada wa mujini hasaa tangu ajiwa binti mdogoo.
wewe tumesoma ote Morogoro Secondary! Shamim alinizidi darasa 1! HMater alikuwa babu Mananga! Mbabe wa Bios alikuwa Kunambi na Maths Mr. Mkami! Shamim alikuwa darasa 1 na mdogo wa Basila Mwanakuzi akiitwa Nasib! Na wewe huo mwaka wenu mlikuwa na Msanii SQUEEZER!
 
Duuh watu mna dataaa....[emoji23][emoji23][emoji23][emoji119][emoji119][emoji119] Kajala na wala ngada sijui kuna nini..!!
Kuna hela ndefu,isiyo na mawazo. Ndio mademu wengi wanaojiita mastar wanapenda hizo short cut. Hawajali kitu kingine zaidi ya mkwanja usio mawazo
 
Nimesoma na Shamimu Bungo PS akiwa darasa la saba mimi nipo darasa la tano lkn pia nilimkuta Morogoro Sec. Ki ukweli ni dada anayependa mambo makubwa tangu akiwa shule ya msinhi. Sishangai kwa haya ninayo yasikia kumuhusu. Ni dada wa mujini hasaa tangu ajiwa binti mdogoo.
Bungo ps Morogoro?
 
wewe tumesoma ote Morogoro Secondary! Shamim alinizidi darasa 1! HMater alikuwa babu Mananga! Mbabe wa Bios alikuwa Kunambi na Maths Mr. Mkami! Shamim alikuwa darasa 1 na mdogo wa Basila Mwanakuzi akiitwa Nasib! Na wewe huo mwaka wenu mlikuwa na Msanii SQUEEZER!
Moro product ...nimetoka moro pia ".... shule ya msingi Niki so many kule ..ila 0level na Advance nilisoma dar
 
Back
Top Bottom