Mzigua90
JF-Expert Member
- Sep 23, 2014
- 38,342
- 88,625
Ewaaa... wanatolewa wadogo wakubwa waendelee kusurvive.Hao wengine -- ni mbuzi wa kafara
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ewaaa... wanatolewa wadogo wakubwa waendelee kusurvive.Hao wengine -- ni mbuzi wa kafara
Yaaani hapo ndo huwa sikubaliani na Mange. Yeye kudhalilisha wenzake tuu ila yy hana cha kudhalilika na hawataki. Talaka ilimtesa hasaa.Mange hakubali kitu cha kumdhalilisha hata mara moja, ndipo hapo maadui zak wakipata kitu wanamtesa nacho, kama alivyoficha talaka kuja kujulikana ni kweli alichanganyikiwa watu walikula blocku za kutosha.
Uwongo ..tu magumashi bado yanaendelea ...unacho kiona tu ni kwamba goli limehama " ..... wanaopiga magumashi hivi sasa na wale waliokuwa kwenye system ya magumashi zamani ni chui na paka ..so hawa wapiga deal wa sasa kwakuwa wao ndio wapo kwenye system huwa wana amua kuwachoma wapiga deal wazamani ambao system imewabwaga ..ili ionekane kuwa serikali inapiga kazi ....shtuka aiseSerikali ya sasa kama ni mtu wa magumashi acha utapotea ujanja ujanja hautakiwi fanya kazi ya halali
Ile project ilikuwa ni trap ya kumkamata kanjibai na gwajimaMbaya zaidi kiongozi mwenyewe ndie aliefichua uharamia wa hao anaojipiga nao selfie..sijui Bashite kamshika wapi mkuu mpaka anafanya vitu vya hovyo na haonywi.
Duh hela ndefu,na zile ambazo zipo kwenye mzunguko aisee vijana hawana mbele wala maisha. Wao wanakula maisha mbenzi.
Eeeh.. itakua wametapeliana mzigo wa unga itakua
George nilimzidi class 1, alikuwa best angu! Wewe inawezekana tunafahamiana!Serious yupo...ndio tulikiwa na George dada yake anaitwa Dataz
Kumbe kasoma Science,Mkwawa alitoka na zero au four?labda pale Bungo PS lkn Morosec alikuwa wa kawaida! Nakumbuka alipata div 3 japo gender ilimbeba akaenda A level Mkwawa PCM!
Hizo ndio zinaitwa Cartels, waliotesa kwa kujibanza kwa Ridhiwan Kikwete sasa wanateseka ni zamu ya maswahiba wa Bashite mtoto kupenzi cha Escort one.Uwongo ..tu magumashi bado yanaendelea ...unacho kiona tu ni kwamba goli limehama " ..... wanaopiga magumashi hivi sasa na wale waliokuwa kwenye system ya magumashi zamani ni chui na paka ..so hawa wapiga deal wa sasa kwakuwa wao ndio wapo kwenye system huwa wana amua kuwachoma wapiga deal wazamani ambao system imewabwaga ..ili ionekane kuwa serikali inapiga kazi ....shtuka aise
sikumbuki Mkwawa alitokaje ila najua hakutoboa! Wakati anaenda F5 Mkwawa, mi nikaenda Tambaza!Kumbe kasoma Science,Mkwawa alitoka na zero au four?
Uko sahihi. Walikuwa wakifanya hivyo hata kwa majambazi. Wakionywa wasipoacha, wanatafutiwa zengwe halafu wanalimwa risasi.Mara nyingi huo mzigo huwa unakuwa ni wa mamlaka husika ya kupambana na madawa ".... inapotokea wame kuchoka kutokana na kuhusika kwako na hiyo biashara na wamesha kuonya mara kibao kuwa uachane na hiyo biashara kwa sababu tayari umesha julikana na unaichafua nchi katika jumuia ya ki-mataifa. .
Lakini wewe hautaki kuelewa somo ... basi wana kuandalia zengwe la kukupoteza ... wana kuja kwako wakiwa na huo mzigo "... halafu wana kusingizia kuwa ni wakwako "....Au ya weza kuwa katika harakati za huyo jamaa alipishana ki-maslahi na mkuu mmoja aliye kwenye system so huyo mkuu ana amua kumtoa kafara tu
Maisha yangu yote sijawahi kuona bangi,heroin wala cocaine. Hivi kati ya cocaine na heroin ipi ina bei zaidi?Mjinga ndo aliwaye nimewai kuonyeshwa unga ukoje dah noma sana nimeletewa mpk wa manzese ni shida
Miaka ya nyuma airport wakikuhisi unapewa kikombe cha kahawa unywe, ukikataa unawekwa kando kwa uchunguzi zaidi. Halafu hao flights attendants ndiyo wanauza deal kama ukiwa hauli.Hatuwa muhimu kuliko zote ni mfungaji wa hizo pipi, punda wote wanawaheshimu sana watu hawa kwa sababu pipi zikifungwa vibaya tumboni zinapasuka.
Hatua ya pili punda anakula ugali wa kushiba wakati vipipi vipo kwenye beseni la maji, baada ya kula na kushiba na kupumzika kidogo ndio wanaanza kumeza hizo pipi kila punda kwa uwezo wake wa gram, wako punda wanaondoka na kilo nzima wanajilodi na kwenye tigo.
Wakifika salama mzigo hupakuliwa kwa njia ya haja kubwa mpaka pipi zote zinaisha, punda anachukuwa dola zake anafanya shopping anarudi huko mtaani mtamtambuwa, hawana akili kwamba hapa nimepata mtaji niachane na upunda nifanye biashara yeye anawaza next trip wapi.
Punda wakiwa kwenye ndege ni dry food na juice tu.
Dahh !!! Umenikumbusha mbali sanaUko sahihi. Walikuwa wakifanya hivyo hata kwa majambazi. Wakionywa wasipoacha, wanatafutiwa zengwe halafu wanalimwa risasi.