Shamim Mwasha, mumewe mbaroni Dar kwa tuhuma za kukutwa na dawa za kulevya

Shamim Mwasha, mumewe mbaroni Dar kwa tuhuma za kukutwa na dawa za kulevya

Wahuni wanakula biriani tu kiroho mbaya,,, kama mbaya wacha na iwe mbaya😂😂😂😂😂
Haahaaa, mkuu mlitaka kuwakomoa kibao kimegeuka mmewapa kitu amaizing mpaka wanawashangaa mlichelewa wapi kuanza mapema, Ulimuona Amber alivyokuwa anacheza na pu..b wakati jamaa anazibua mtaro...Mungu asimamishe dunia walah..too much.
 
Acha kabisa yaani, eti ni husttler,! Haaa! Nambumbua..nimeona watu wanamtetea nikasema ukizaliwa na wenye wadhfa unastirika kumbe.
Pia ni mtaalam wa kunukuu Maneno matakatifu! kweli hawa wadada wa mjini ni hatari kwelikweli .
 
Kuna ladies Instagram maisha yao na matanuzi hayaendani kabisa na biashara zao. Wa furniture, vipodozi, kushona, etc

Wakuu huko nako vipeeee nao wanadili? Kama dada wa Dodoma wa fanicha n.k. Mmoja aliniambia nikiwa tayari nisafiri naye niende kuona China na biashara za kununua na kuuza nchini. Mtusaidie kutuokoa sisi wadau tunafikiri wanachapa kazi, siamini dada vibubu alijiingiza kudili. Wenzake wote sasa kama nawaona nao wapo pamoja tu, hao akina finance, mke wa mtangazaji na muimbaji n.k.

mrangi Masanja Shunie mwasu na wengine
 
Wakuu huko nako vipeeee nao wanadili? Kama dada wa Dodoma wa fanicha n.k. Mmoja aliniambia nikiwa tayari nisafiri naye niende kuona China na biashara za kununua na kuuza nchini. Mtusaidie kutuokoa sisi wadau tunafikiri wanachapa kazi, siamini dada vibubu alijiingiza kudili. Wenzake wote sasa kama nawaona nao wapo pamoja tu, hao akina finance, mke wa mtangazaji na muimbaji n.k.

mrangi Masanja Shunie mwasu na wengine
Kama amekualika nenda nae tu mkuu ukaone china, unaogopa nini?
 
Nlimkuta siku moja anawadanganya wauza matunda nje pale the Cruz,ohh ukipata 3000 weka buku
Sjui hata mm nlianzia mtaji wa laki moja leo Nna mamilion nkasema mama yngu Hawa motivation speakers sasa ni balaa
Kmbe yeye ana plan b

Ova
Hahahahah motivational speaker kumbe ni mke wa pablo😂😂😂😂😂
 
Ya mjini yaone hivo hivo! Wengine ngoja tuendelee kupambana na juhudi za JPM kutuletea train ya mwendokasi! Never mind kwamba hiyo train wengine tunaweza tusiwe na kipato cha kuipanda.

Unajua ujanja na ufisadi wa siku hizi umenikumbusha kitu. Nakumbuka 2007 nikiwa mtaani nimetoka mlimani…. dada mmoja maarufu sana mjini Amina Chifupa wa Mpakanjia akafariki. Story mtaani zikawa nyingi sana (si unajua mtu mashuhuri akifariki conspiracy theories ni nyingi?). Basi one of my close friend tukawa tumepanga chumba wote mtaani...na yeye ndo amemaliza udaktari Muhimbili..siku moja tunapata kitimoto pale miti mirefu………. ndo akaniambia bwana huyu dada mimi nime-deal naye sana tangu Muhimbili mpaka Lugalo. So ugonjwa uliomuondoa ni 'huu'! kiukweli sikuamini. Maana jamaa alikuwa ananishangaa..ninavyoamini story za mtaani kwamba dada kafanyiziwa! Nilikuwa naona kwamba huyu dada asingeweza kuondoka na ugonjwa "huu"

Mjini ukiwa na hela..au cheo..hata ukifanya madudu gani lazima wapo watakaokutetea kwamba wanaokutuhumu wanasumbuliwa na wivu!
 
Kuna kabinti kamoja kakiunga bundle kanaenda kwenye page ya resty_fish_bbq ama salometsyi ama askvin farms mara zanana. Yani ana admire watu wa design hio sana na anawish siku afanye awe kama hao.

Namwambia it took a lot of hard work and committment! Na pia mtaji...usidhani ukiwa na kamilion ka 1 unaweza yafanya yale kisa uliskia alianza na mtaji wa elfu 7,10,20 hahahah! Tulia mafanikio ya mtu yana siri kubwa sana. Dont take it lightly!

Utatupa presha na hao ni akina mama vibubu?
 
Back
Top Bottom