Shamim Mwasha, mumewe mbaroni Dar kwa tuhuma za kukutwa na dawa za kulevya

Shamim Mwasha, mumewe mbaroni Dar kwa tuhuma za kukutwa na dawa za kulevya

Tatizo watu wanaanza chini na nyie ila mkipata mnabadilika utafikiri sio mlioteseka pamoja..... ndiyo maana watu wanaamua kujilipua na madrug dealer kama hao.

Ila kwa hili Shamimu atakua anajuta sana alikua na mume mstaarabu sana mwanzo.
Sasa Wastaarabu hawapendaki "show off"
 
Maisha ya mashindano ndo yanayotutesa wanawake. Mtu anataka aonekane na yeye baabkubwa. Tukijifunza kuridhika tutaishi kwa raha
Yani i wish wanawake wangekaa kulielewa hili tu. Waathirika wakubwa wa kupenda makuu ni wanawake wa kimjini mjini wasiojua kutafuta kwa jasho ndio hawajuagi kuridhika. Yani ni ubishoo na kutaka makuu tu ndio maana vijana wanawakimbia wanaangukia kwa mababu au wauza unga maana mziki wa kuhudumia malaki si mchezo.

Saloon nywele laki 3 au zaidi,pedicure ,manicure , Outing viwanja vya maana anywe pombe anazokunywa Uwoya, Umlipie apartment ya USD 800-1000 kwa mwezi na ununue simu kila toleo jipya la iphone likiingia tu mjini. Ye kazi yake kuangalia kim kardashian kavaa nini nayeye avae! 😂😂😂😂😂 na kukutanulia mapaja...kwa hali hio lazma uuze madawa tu hamna namna!
 
Tatizo watu wanaanza chini na nyie ila mkipata mnabadilika utafikiri sio mlioteseka pamoja..... ndiyo maana watu wanaamua kujilipua na madrug dealer kama hao.

Ila kwa hili Shamimu atakua anajuta sana alikua na mume mstaarabu sana mwanzo.
Unajua it all depends na umeishi vipi na jamaa yako kipindi akiwa hana kitu. Unaweza kuwa umeanza nae chini ila ulikuwa unamnyanyasa throughout the journey. Mara sometimes umnyime sex...mara umkejeli... Wengine wanendaga mbali na kufanya usaliti juu! Kidume unavumilia tu ila ile chuki moyoni unakuta bado ipo tu, siku ukikamatia mpini lazma mwanamama aisome namba.
 
Mkuu yaani hapa mjini ukifuatilia maisha ya watu utajiuliza hivi nakwama wapi? Kiukweli Maisha mjini yako faster kuliko dunia yenyewe. Shortcut za mafanikio zinatutesa vijana wengi.

Hao akina SHAMIM na wenzake, it was just a matter of when NOT if. hakuna marefu yasiyo na mwisho. unajiuliza dada/kaka mshahara ni million moja (kabla ya makato), unataka weekend uwe Ramada na usukume Range au discovery. Utaweza wapi?

Mimi naamini hata JPM aondoke madarakani leo, Tanzania ya JK haitarudi tena. Vijana tupambane turidhike na kidogo tunachokipata huku tukipambana kuboresha Maisha yetu.

Maisha ya mkato ndo hayo ya akina Kitilya na mzee wa IPTL Rugemarila. Pesa ameiba za kutosha leo anaozea jela wakati pesa zinatafunwa na wengine. Dunia ina mengi jamani..khaa!
Maisha ya mjini yanapumbaza sana, kuna watu wanaofanya vitu ambavyo wewe unaweza kuvifanya ila utashangaa hayo mafanikio mbona wewe huyapati kama wao.? Mji una balaa sana huu, mtu ni mtangazaji wa redio tu mshahara ni chini ya million ila anapush discovery 3 hahah! Katangaze wewe uone sasa

Hakika hakuna kitakachobadilika, wanaodhani huu mfumo wa maisha ya sasa ni wa mpito hawana clue tu. This system of life is there to stay! Haturudi tena nyuma tujihimu tu kufanya shughuli halali vinginevyo tutaozea jela.
 
Yani i wish wanawake wangekaa kulielewa hili tu. Waathirika wakubwa wa kupenda makuu ni wanawake wa kimjini mjini wasiojua kutafuta kwa jasho ndio hawajuagi kuridhika. Yani ni ubishoo na kutaka makuu tu ndio maana vijana wanawakimbia wanaangukia kwa mababu au wauza unga maana mziki wa kuhudumia malaki si mchezo.

Saloon nywele laki 3 au zaidi,pedicure ,manicure , Outing viwanja vya maana anywe pombe anazokunywa Uwoya, Umlipie apartment ya USD 800-1000 kwa mwezi na ununue simu kila toleo jipya la iphone likiingia tu mjini. Ye kazi yake kuangalia kim kardashian kavaa nini nayeye avae! [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] na kukutanulia mapaja...kwa hali hio lazma uuze madawa tu hamna namna!
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
 
Mrangi heshima yako mkuu,
huyu Nambua au Casandra Cosmetics nahisi nae sio wale wale kweli namuona huko IG anamtetea Sana shamim Mwasha ingawa nilisha mhisi Kabla.
60% ya wadada waliokuwa wanafuata bidhaa china walikuw wanajiload plummer miaka ya nyuma. Nambua sidhani kama alikosa. Enzi hizo consolidator wa mizigo ya kutoka china alikuwa Muddy Mas.

Nambua na Shamim wanishi kaya moja hapo mbezibeach nyuma ya shoppers na kaya hiyo ina madon zaidi ya 6 wa poda. Ndege wafananao ndio huruka pamoja.
 
Sana tu ila watu walishajuwa habari zake kitambo na wengi walimweleza ukweli kuwa asijihusishe na Abdul ila kama unavyojuwa tena mademu wa kichagga kwa tamaa, hakutaka sikiliza wenzake akahamua kumpindua rafiki yake Mboni (alikuwa demu wa Abdul) na kisha kuchukuliwa yeye ili awe anahesabu hela haramu na kuendesha magari ya kifahari. Kajitakia mwenyewe, atajiju.
Ndio hapa zile habari zilizokuwapo muda mrefu kwamba mboni alikuwa punda zinaakisi watu aliokuwa na uhusiano nao
 
Maisha ya mjini yanapumbaza sana, kuna watu wanaofanya vitu ambavyo wewe unaweza kuvifanya ila utashangaa hayo mafanikio mbona wewe huyapati kama wao.? Mji una balaa sana huu, mtu ni mtangazaji wa redio tu mshahara ni chini ya million ila anapush discovery 3 hahah! Katangaze wewe uone sasa

Hakika hakuna kitakachobadilika, wanaodhani huu mfumo wa maisha ya sasa ni wa mpito hawana clue tu. This system of life is there to stay! Haturudi tena nyuma tujihimu tu kufanya shughuli halali vinginevyo tutaozea jela.

Kiongozi tatizo binadamu hatujifunzi. It is human nature!

Maisha ya Dar yanachanganya na wengi yametuchanganya. Ndo maana 90% hatumuelewi JPM! Kwa sababu anauliza..nimepunguza mishahara? Hapana…..in fact analipa mishahara 20th ya kila mwezi! (sasa shida iko wapi?-hakuna mwenye jibu). Ukweli ni kwamba wengi tumeishi above and beyond our means kwa mda mrefu sana. Ndo maana hata Jiwe angeongeza 100% ya mishahara malalamiko hayawezi kuisha. Kwa sababu wengi pesa zetu tunajua wenyewe zinatoka wapi (Shamim anakwambia kibubu na online business leo mkono wa Jamhuri umemuumbua).

Hata huko sector binafsi ni full ujanja. Business man sijui nini..mwisho wa siku wahusika wakikagua vitabu inabidi ufunge biashara tuu. (Nina jamaa yangu he was so "successful" in the past 15-20 years as corporate professional with his business..kaingia JPM..mzee jamaa ofisi amefunga-biashara zilikuwa full ujanja).

Bongo dogo anapata kibarua TRA next few months anataka asukume Range na ghorofa Mbezi. At some point tutakwama tuu.

Maisha haya ya JPM yapo to stay. ASIYESIKIA WALA KUONA basi ana lake jambo!
 
Inategemea, kama mwanaune unaanza naye chini lqkini unamnyanyapaa badala ya kumtia moyo na kumpenda zaidi.... akifanikiwa lazima akukukimbia. Mnapoanza chini hakikisha unakuwa msaidizi kwelikweli... kumpenda alivyo, kumtia moyo na kumsaidia pale inapowezekana, kumpa haki zake za ndoa... lakin ukimnyanyapaa akifanikiwa anakutupa
Tatizo watu wanaanza chini na nyie ila mkipata mnabadilika utafikiri sio mlioteseka pamoja..... ndiyo maana watu wanaamua kujilipua na madrug dealer kama hao.

Ila kwa hili Shamimu atakua anajuta sana alikua na mume mstaarabu sana mwanzo.
 
60% ya wadada waliokuwa wanafuata bidhaa china walikuw wanajiload plummer miaka ya nyuma. Nambua sidhani kama alikosa. Enzi hizo consolidator wa mizigo ya kutoka china alikuwa Muddy Mas.

Nambua na Shamim wanishi kaya moja hapo mbezibeach nyuma ya shoppers na kaya hiyo ina madon zaidi ya 6 wa poda. Ndege wafananao ndio huruka pamoja.

Nambua si mtoto wa ritha mlaki?yule demu kuwa punda nnakataa aisee...
 
Back
Top Bottom