Shamim Mwasha, mumewe mbaroni Dar kwa tuhuma za kukutwa na dawa za kulevya

Shamim Mwasha, mumewe mbaroni Dar kwa tuhuma za kukutwa na dawa za kulevya

Duh!itakua hata mwaka wa 4 sasa katulizwa!baker ranger nasikia walimkamatia asia huko,walichomfanyia wamemtupa tu guantanamo bay tu,haina mahakamani wala wapi yan km gaidi vile!kama namuona vile na ule ualaza wake!
Ndg yake madega huyu
Kuna biashara alikuwa anafanya link yke na watu fulani hko ndomana
Wanyamwezi wakamuweka kwenye blacklist
#tupotezeeee

Ova
Beka ranger ni case nyingine kabisa,nzito
 
Ndiyo mfuasi[emoji23][emoji23] ila mimi nilimpa rafiki yangu na funguo ya rafiki yangu ninayo mimi.
Hawa wanawake wa mjini wengi wana michezo ya ajabu sana. Mi huwa nawakubali wale wanawake wenye mama ntilie zao au migahawa kama kina shilole. Hao wengine wanao floss mitandaoni bila kueleweka wana shughuli gani maalum ni aidha awe muuza K ama ndio utakuta anauza ngada namna hio!

Bora ulibadilishana key na rafiki yako. We umekuwa mjanja kidogo ulijiongeza!
 
Ukifuatisha maisha ya mtandaoni utaumia hasa kwa sisi watoto wa kike.

Wengi wanafanya vitu visivyofaa ili waonekane ni watu wa status flani.

Hawa wanawake wa mjini wengi wana michezo ya ajabu sana. Mi huwa nawakubali wale wanawake wenye mama ntilie zao au migahawa kama kina shilole. Hao wengine wanao floss mitandaoni bila kueleweka wana shughuli gani maalum ni aidha awe muuza K ama ndio utakuta anauza ngada namna hio!

Bora ulibadilishana key na rafiki yako. We umekuwa mjanja kidogo ulijiongeza!
 
We si umesoma na Shamimu, kamtembelee pale Central atakupa mkanda wote. Au ukiona vipi mtafute Steve Nyerere atakupa habari zote, inasemekana ni yeye ndiye anawatafutia mapunda hapa mjini.
Kwahio steve nyerere ndio Plug yao hapa mjini. Anaunga mitandao ya punda malaya pamoja na drug dealers
 
Ukifuatisha maisha ya mtandaoni utaumia hasa kwa sisi watoto wa kike.

Wengi wanafanya vitu visivyofaa ili waonekane ni watu wa status flani.
Tukiwaambia mridhike na hali zetu hamtaki kuelewa ndio kwanza mnakimbilia page ya Zari the boss lady kwenda kujiumiza roho na kuchochea tamaa. Let things flow automatically. Kama ulipangiwa kuwa tajiri utakuwa tu hata ukiwa unafanya vitu vidogo vidogo tu vya halali. Mungu akitaka kukupa hamna wa kupinga acheni tamaa na kupenda makuu warembo wetu.

It seems huyo shamimu alidai talaka baada ya kuona jamaa yake wa mwanzo hakuwa na uwezo sana wa kumpa maisha makubwa ya kuonekana kwenye jamii kama icon.
 
Alikuwa anafanya sana hii biashara ili kukithi mahitaji ya mkewe. Si unajuwa madada wa mjini kwa ubishoo wa kutambiana na kutaka kujiweka juu ama kuishi maisha ya kina Beyonce huku kiingereza kiiiiiingi kufake maisha.
Hahaha hapo ndipo wadada wa mjini wanaponishinda, wacha nichukue mke wangu mshamba tu ila nimempenda mwenyewe. Hawa wabandika kucha hapana! Ni kutafta stress tu. Ifike mda wanawake waelewe kila mtu anatakiwa kuwa na maisha kwa kiwango chake sio lazma kufosi wote muwe na maisha ya Klynn au Zari the boss lady wakati sio size yenu!
 
Hahaha hapo ndipo wadada wa mjini wanaponishinda, wacha nichukue mke wangu mshamba tu ila nimempenda mwenyewe. Hawa wabandika kucha hapana! Ni kutafta stress tu. Ifike mda wanawake waelewe kila mtu anatakiwa kuwa na maisha kwa kiwango chake sio lazma kufosi wote muwe na maisha ya Klynn au Zari the boss lady wakati sio size yenu!

Maisha ya mashindano ndo yanayotutesa wanawake. Mtu anataka aonekane na yeye baabkubwa. Tukijifunza kuridhika tutaishi kwa raha
 
Tukiwaambia mridhike na hali zetu hamtaki kuelewa ndio kwanza mnakimbilia page ya Zari the boss lady kwenda kujiumiza roho na kuchochea tamaa. Let things flow automatically. Kama ulipangiwa kuwa tajiri utakuwa tu hata ukiwa unafanya vitu vidogo vidogo tu vya halali. Mungu akitaka kukupa hamna wa kupinga acheni tamaa na kupenda makuu warembo wetu.

It seems huyo shamimu alidai talaka baada ya kuona jamaa yake wa mwanzo hakuwa na uwezo sana wa kumpa maisha makubwa ya kuonekana kwenye jamii kama icon.

Mkuu yaani hapa mjini ukifuatilia maisha ya watu utajiuliza hivi nakwama wapi? Kiukweli Maisha mjini yako faster kuliko dunia yenyewe. Shortcut za mafanikio zinatutesa vijana wengi.

Hao akina SHAMIM na wenzake, it was just a matter of when NOT if. hakuna marefu yasiyo na mwisho. unajiuliza dada/kaka mshahara ni million moja (kabla ya makato), unataka weekend uwe Ramada na usukume Range au discovery. Utaweza wapi?

Mimi naamini hata JPM aondoke madarakani leo, Tanzania ya JK haitarudi tena. Vijana tupambane turidhike na kidogo tunachokipata huku tukipambana kuboresha Maisha yetu.

Maisha ya mkato ndo hayo ya akina Kitilya na mzee wa IPTL Rugemarila. Pesa ameiba za kutosha leo anaozea jela wakati pesa zinatafunwa na wengine. Dunia ina mengi jamani..khaa!
 
Tatizo watu wanaanza chini na nyie ila mkipata mnabadilika utafikiri sio mlioteseka pamoja..... ndiyo maana watu wanaamua kujilipua na madrug dealer kama hao.

Ila kwa hili Shamimu atakua anajuta sana alikua na mume mstaarabu sana mwanzo.
Tukiwaambia mridhike na hali zetu hamtaki kuelewa ndio kwanza mnakimbilia page ya Zari the boss lady kwenda kujiumiza roho na kuchochea tamaa. Let things flow automatically. Kama ulipangiwa kuwa tajiri utakuwa tu hata ukiwa unafanya vitu vidogo vidogo tu vya halali. Mungu akitaka kukupa hamna wa kupinga acheni tamaa na kupenda makuu warembo wetu.

It seems huyo shamimu alidai talaka baada ya kuona jamaa yake wa mwanzo hakuwa na uwezo sana wa kumpa maisha makubwa ya kuonekana kwenye jamii kama icon.
 
Back
Top Bottom