Haahaaa, mkuu mlitaka kuwakomoa kibao kimegeuka mmewapa kitu amaizing mpaka wanawashangaa mlichelewa wapi kuanza mapema, Ulimuona Amber alivyokuwa anacheza na pu..b wakati jamaa anazibua mtaro...Mungu asimamishe dunia walah..too much.Wahuni wanakula biriani tu kiroho mbaya,,, kama mbaya wacha na iwe mbaya๐๐๐๐๐
Pia ni mtaalam wa kunukuu Maneno matakatifu! kweli hawa wadada wa mjini ni hatari kwelikweli .Acha kabisa yaani, eti ni husttler,! Haaa! Nambumbua..nimeona watu wanamtetea nikasema ukizaliwa na wenye wadhfa unastirika kumbe.
Kuna ladies Instagram maisha yao na matanuzi hayaendani kabisa na biashara zao. Wa furniture, vipodozi, kushona, etc
Kama amekualika nenda nae tu mkuu ukaone china, unaogopa nini?Wakuu huko nako vipeeee nao wanadili? Kama dada wa Dodoma wa fanicha n.k. Mmoja aliniambia nikiwa tayari nisafiri naye niende kuona China na biashara za kununua na kuuza nchini. Mtusaidie kutuokoa sisi wadau tunafikiri wanachapa kazi, siamini dada vibubu alijiingiza kudili. Wenzake wote sasa kama nawaona nao wapo pamoja tu, hao akina finance, mke wa mtangazaji na muimbaji n.k.
mrangi Masanja Shunie mwasu na wengine
Kwani kama ameishawahi kuua watu kadhaa huko nyuma ndiyo Mungu amemfungia dirisha la kumsikiliza??Demu anayetembea na muuza unga aache naye kuwa muuwaji kweli? Utashangaa Mboni anaswali wakati kishaua watu kadhaa huko nyuma tena kwa tamaa.
Unaonekana ushakula heineken za shemeji yangu sanaNtampelekea kaka angu japo chai ila na yeye akome.
Duh, kumekucha sasa!Meanwhile in south africa, patner... rafiki wa Daud bashite wenyeji wamemchoka ...kifuatacho ITV ni......
View attachment 1088567
Hahahahaaa.. kweli nimezinywa sikatai. Kumbe ni shemeji yako??Unaonekana ushakula heineken za shemeji yangu sana
Si umesema ni kakaako mpenzi ama napaswa kumuitaje vile?Hahahahaaa.. kweli nimezinywa sikatai. Kumbe ni shemeji yako??
Ewaaaa.. shemeji yako kabisa boo.Si umesema ni kakaako mpenzi ama napaswa kumuitaje vile?
Hahahahah motivational speaker kumbe ni mke wa pablo๐๐๐๐๐Nlimkuta siku moja anawadanganya wauza matunda nje pale the Cruz,ohh ukipata 3000 weka buku
Sjui hata mm nlianzia mtaji wa laki moja leo Nna mamilion nkasema mama yngu Hawa motivation speakers sasa ni balaa
Kmbe yeye ana plan b
Ova
Sema ndio hivyo shemeji yangu ni Pablo Escobar usiache kumpelekea makande mpenzi!Ewaaaa.. shemeji yako kabisa boo.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Sema ndio hivyo shemeji yangu ni Pablo Escobar usiache kumpelekea makande mpenzi!
Kama amekualika nenda nae tu mkuu ukaone china, unaogopa nini?
So ameonewa ??Hata mimi nakataa Nambua ni fighter mnoo....tunakoelekea kila anaefanikiwa ataambiwa ni drug dealer.
Pia huyu Nambua kwenye crew ya kina shamim hata hayupo
Kuna kabinti kamoja kakiunga bundle kanaenda kwenye page ya resty_fish_bbq ama salometsyi ama askvin farms mara zanana. Yani ana admire watu wa design hio sana na anawish siku afanye awe kama hao.
Namwambia it took a lot of hard work and committment! Na pia mtaji...usidhani ukiwa na kamilion ka 1 unaweza yafanya yale kisa uliskia alianza na mtaji wa elfu 7,10,20 hahahah! Tulia mafanikio ya mtu yana siri kubwa sana. Dont take it lightly!
So ameonewa ??
picha hiyo hapo juu ndio Shamim na mume wake abdulHata mimi ndio namsikia, picha ya kwanza iliyonijia ni yule Mwanamama Mwanasiasa..ila yule anaitwa shamim khan.
Kuna mambo mengine naona ni mpaka nawe uwe mkazi wa Dar.