Mookiesbad98
JF-Expert Member
- Feb 1, 2015
- 2,805
- 3,640
Kumaanisha??Mnajuana eeeeeh
Yaaani alimpiga shenga ya mwili Mboni akabaki kutoa macho ushoga kweli kazi.Sasa hivi Da Mboni anamuita Abdul shemeji [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Wana wapana duuuHuyo jamaa mjanja mjanja sana, Abdul Nsembo wa nsembo transport ya magomeni, kuna kipindi walivamiwa pale kwenye lile jengo jamaa wakakamatwa nsembo akala kona, kwa ujanja ujanja wake na kujua kabisa alikuwa analiwa timing sidhani kama angeweza kukaa na hivyo vitu kwake ama kwenye gari...steve nyerere atakula wapi maskini ya Mungu huyu ndio boss wake akiishiwa tuu anazama kwa shamim
Na ndio hadithi itakayofuata. Baada ya kupitishiwa kila mtu anaehusika....Msije tu wiki ijayo mkatuambia kumbe kilichokamatwa sio Heroin bali Unga wa Dengu bibie alikuwa anataka kumpikia mumewe visheti !! [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hii habari anayo na alishaipost tangu juzi Tena akasema kabisa anayepost insta yake siyo yeye mwenyewe shamimu...Ila Mimi siku muaminiNaona mange atafanya sherehe akisikia hii habari
Aiseee aibu mnoo, tumpelekee role model Make up cello [emoji23][emoji23][emoji23]Role model apelekeww makeup [emoji168]
Ujue alitaka zaidi. Na huku kwenye mtandao kweli kuna zaidi. Na kesho unaweza ukasikia yuko nje,kilichokamatwa sio unga uliotangazwaHuyu dada aliolewa ndoa ya kwanza na mwanaume mmoja mstaarabu sana. Walibahatika kupata mtoto wa kike. Yeye ndiye chanzo cha ndoa kuvunjika.
Sasa mwana kulitafuta mwana kulipata.
Ndio yule ambaye ni mweupe anatangaza Kama wa njano ambaye anatangaza mgahawa,biashara ya fumigation,vibubu vya 50,000 ? VIBUBU vya Kama trunker la mwanafunzi?Huyu Mwasha huko insta anahimiza vibubu kumbe yeye ni drug dealer. Jamani maisha ya insta ni tofauti kabisa na real life. Hivi grams 400 ni sawa na bei gani?Bado gram 100 tu ifike nusu kilo.
Mange anasema Shamim aliingia mjini na lorry la mkaa akitokea Morogoro 😂
Mara nyingi huo mzigo huwa unakuwa ni wa mamlaka husika ya kupambana na madawa ".... inapotokea wame kuchoka kutokana na kuhusika kwako na hiyo biashara na wamesha kuonya mara kibao kuwa uachane na hiyo biashara kwa sababu tayari umesha julikana na unaichafua nchi katika jumuia ya ki-mataifa. .Nakumbuka humu ililetwa thread ya Tajiri aliyekamatiwa Magomeni, naye ilikuwa gram 400. Najaribu kuitafuta hiyo thread.
Naam nikweli tajiri huwa hakai na mzigo kama hivyo nyumbani kwake ....hata punda huwa haendi kumezeshwa kwa tajiri ....huwa ni nadra sanaOkay, it makes sense.
Ingawa bado swala la punda kuchukulia mzigo kwa tajiri linaleta swali lingine.
Ile drama tuliipata U turn enzi za obagi na mashauzi yanataka pesa. Lakini ninampenda Kiki she is classic.😀
Ila enzi za blogs zao uhondo ulinoga kupita sasa.. Tuliwajua watu kupitia udaku huku hatujawahi kukutana nao. Mfano huyu Shamim
Ile drama ya kumuacha mumewe yule ilikuwa duh!!!!!
Hatuwa muhimu kuliko zote ni mfungaji wa hizo pipi, punda wote wanawaheshimu sana watu hawa kwa sababu pipi zikifungwa vibaya tumboni zinapasuka.Natamani siku nipate mtu anieleze haya madawa wanayamezaje mpaka hatua ya mwisho ya kuyatoa. Kpn yapo tumboni je wanaruhusiwa kula nk...
Wana ruhusiwa kula vitu ambavyo havita wafanya waende chooni like biskuti na hawapaswi kunywa kimiminika cha motoNatamani siku nipate mtu anieleze haya madawa wanayamezaje mpaka hatua ya mwisho ya kuyatoa. Kpn yapo tumboni je wanaruhusiwa kula nk...
Sikujua kama alishawahi kuolewa... oh no nimekumbuka kulikuwa na timbwili fulani hivi enzi za mwanzo kabisa wa fashion8020Huyu dada aliolewa ndoa ya kwanza na mwanaume mmoja mstaarabu sana. Walibahatika kupata mtoto wa kike. Yeye ndiye chanzo cha ndoa kuvunjika.
Sasa mwana kulitafuta mwana kulipata.
Mange anasema walitofautiana na Bashite, wenzake ambao wako vizuri na naibu rais wako poa.Mara nyingi huo mzigo huwa unakuwa ni wa mamlaka husika ya kupambana na madawa ".... inapotokea wame kuchoka kutokana na kuhusika kwako na hiyo biashara na wamesha kuonya mara kibao kuwa uachane na hiyo biashara kwa sababu tayari umesha julikana na unaichafua nchi katika jumuia ya ki-mataifa. .
Lakini wewe hautaki kuelewa somo ... basi wana kuandalia zengwe la kukupoteza ... wana kuja kwako wakiwa na huo mzigo "... halafu wana kusingizia kuwa ni wakwako "....Au ya weza kuwa katika harakati za huyo jamaa alipishana ki-maslahi na mkuu mmoja aliye kwenye system so huyo mkuu ana amua kumtoa kafara tu
YeahNdio yule ambaye ni mweupe anatangaza Kama wa njano ambaye anatangaza mgahawa,biashara ya fumigation,vibubu vya 50,000 ? VIBUBU vya Kama trunker la mwanafunzi?
Huyu Mwasha huko insta anahimiza vibubu kumbe yeye ni drug dealer. Jamani maisha ya insta ni tofauti kabisa na real life. Hivi grams 400 ni sawa na bei gani?Bado gram 100 tu ifike nusu kilo.