lordchimkwese
JF-Expert Member
- Nov 16, 2015
- 1,914
- 3,356
Tatizo hela yake tamu sana. Imagine unaingiza zaidi ya million 100 kila mwaka, unadhani utawaza tena kuwa na biashara ya kuchonga miwa ama kuuza juice? Mwenzio kilaini tu hakosi laki 3 ya kuchezea kila siku!
Huyu dada aliolewa ndoa ya kwanza na mwanaume mmoja mstaarabu sana. Walibahatika kupata mtoto wa kike. Yeye ndiye chanzo cha ndoa kuvunjika.
Sasa mwana kulitafuta mwana kulipata.
Natamani kukujua wewe mtu,Kila mchuma janga hula na wakweze
Inawezekana sema mimi nilimsifu kwa tabia zake mana hakuwa na mishe mishe za wale machizi waliomzunguka ila aliishi nao poa sana mpaka wahuni wa kino walikuwa wanamsifia,sometimes unaweza kuta anapita hata mbali pale ground wanaposhinda wakina Athumani Chuji karibu na vijana lakin akiona wana anashuka anawapiga hi anatembea zakeFalsafa....ila mkuu naye huyu miaka nyuma kuna kipindi kulikuwa na tetesi zile trip za kwa malikia wakati wanasoma walikuwa wanabeba..huyo jamaa mwenye mzigo yupo Coventry sasa hivi kapata stroke anaumwa dah maisha haya.
Inawezekana sema mimi nilimsifu kwa tabia zake mana hakuwa na mishe mishe za wale machizi waliomzunguka ila aliishi nao poa sana mpaka wahuni wa kino walikuwa wanamsifia,sometimes unaweza kuta anapita hata mbali pale ground wanaposhinda wakina Athumani Chuji karibu na vijana lakin akiona wana anashuka anawapiga hi anatembea zake
Madada wa mujini
Hyo ilikuwa zamani....sahv ukiwa chata ukiisha unakaa ndani hata miaka 10Usilolijua ni usiku mnene
Kwa drug dealer kukamatwa ni sehemu tu ya kazi hakuna kilichoharibika hapo yani no stress
Hao jamaa hawawezi kudumu kizuizini hata miezi mitatu
Na kinachowacost ni hicho kiumaarufu tu
Ni sawa na huwa ni kama siku tu zimefika ila muuza ngada kung'ooka na kumwaga ni ishu ya kawaida sanaHyo ilikuwa zamani....sahv ukiwa chata ukiisha unakaa ndani hata miaka 10
Kuna mshikaji mmja smbdy mapunda mtoto wa upanga alisoma tambaza
Alikamatwa port na kg 2 kameza tangia aishe yuko jela miaka Karibia 10 na bdo kuhukumiwa
Kuna wauzaji kama wakina h.halil tangu akamatwe yuko ndani miaka miwili
List ni ndefu kuitaja
Ukifanyia biashara ya Unga mwisho wake siku zote ni mmbaya,utafungwa,utauliwa,utakufa,utaingia kwenye Uteja
Hakuna muuza madawa aliyedumu milele
Kwenye game Ona wakina Escobar,elchapo,yule boss wa Los zetas licha ya kutengeneza fedha nyingi lkn wameingia
Pabaya
Ona bongo wakina shkuba,wakina kiboko etc
Ndy washapotea.....system ikikuchoka inauangamiza
Kikubwa ni kuachana nayo biashara hii
Kuna muuzaji mmoja ila aliachana na mmbo hya yeye alikua mitaa ya sinza anaitwa Y
yeye alijikita kwenye biashara ya transportation na alinunua ma crusher ya kusaga kokoto muda mwingi yuko lugoba
Hii biashara ukijifanya unaifanya utafikiria imesajiliwa mwisho utapotea mwenyewe
Ova
Siyo kila siku system ikatayo kulinda itakuwepo!Ni sawa na huwa ni kama siku tu zimefika ila muuza ngada kung'ooka na kumwaga ni ishu ya kawaida sana
Kukosa pia wafuatiliaji wakuwatoa ila watu wanataka hela
Wajomba wanatangaza dau huna hela au unaionea uchungu lazima uende tu
Yes biashara ya ngada mwisho wake ni mbaya, Chonji,Tikotiko a.k.a Rasta walipigwa ambush ya maana ambayo huwezi kusepa. Kwa Tikotiko ilikuwa ukipita pale nyumbani kwake Popo...., utakuta maDCM ya kutosha yamepark na ndinga za maana zipo ndani ya Fence ya nyumba yake.Siyo kila siku system ikatayo kulinda itakuwepo!
Ndomana hata ile ambush aliyopigwa chonchi magomeni kipindi kile
Polisi magomeni na obay,urafiki hawakujua na hawakuwa na taarifa nn knaendelea pale
Mambo ya mfumo huo.....
Ova
umemaliza!Hyo ilikuwa zamani....sahv ukiwa chata ukiisha unakaa ndani hata miaka 10
Kuna mshikaji mmja smbdy mapunda mtoto wa upanga alisoma tambaza
Alikamatwa port na kg 2 kameza tangia aishe yuko jela miaka Karibia 10 na bdo kuhukumiwa
Kuna wauzaji kama wakina h.halil tangu akamatwe yuko ndani miaka miwili
List ni ndefu kuitaja
Ukifanyia biashara ya Unga mwisho wake siku zote ni mmbaya,utafungwa,utauliwa,utakufa,utaingia kwenye Uteja
Hakuna muuza madawa aliyedumu milele
Kwenye game Ona wakina Escobar,elchapo,yule boss wa Los zetas licha ya kutengeneza fedha nyingi lkn wameingia
Pabaya
Ona bongo wakina shkuba,wakina kiboko etc
Ndy washapotea.....system ikikuchoka inauangamiza
Kikubwa ni kuachana nayo biashara hii
Kuna muuzaji mmoja ila aliachana na mmbo hya yeye alikua mitaa ya sinza anaitwa Y
yeye alijikita kwenye biashara ya transportation na alinunua ma crusher ya kusaga kokoto muda mwingi yuko lugoba
Hii biashara ukijifanya unaifanya utafikiria imesajiliwa mwisho utapotea mwenyewe
Ova
Hii ndio ile nyumba ipo barabara ya kuelekea sinza ukitokea kanisan magomen?Yes biashara ya ngada mwisho wake ni mbaya, Chonji,Tikotiko a.k.a Rasta walipigwa ambush ya maana ambayo huwezi kusepa. Kwa Tikotiko ilikuwa ukipita pale nyumbani kwake Popo...., utakuta maDCM ya kutosha yamepark na ndinga za maana zipo ndani ya Fence ya nyumba yake.
Nyumba yake ndo ile pale barabarani mkono wa kushoto? Maana kuna nyumba ilikuwa inapaki magari ya maana tuYes biashara ya ngada mwisho wake ni mbaya, Chonji,Tikotiko a.k.a Rasta walipigwa ambush ya maana ambayo huwezi kusepa. Kwa Tikotiko ilikuwa ukipita pale nyumbani kwake Popo...., utakuta maDCM ya kutosha yamepark na ndinga za maana zipo ndani ya Fence ya nyumba yake.
Pale kwa tiko nmechkua sana vifusi si alikuwa anagawa bureYes biashara ya ngada mwisho wake ni mbaya, Chonji,Tikotiko a.k.a Rasta walipigwa ambush ya maana ambayo huwezi kusepa. Kwa Tikotiko ilikuwa ukipita pale nyumbani kwake Popo...., utakuta maDCM ya kutosha yamepark na ndinga za maana zipo ndani ya Fence ya nyumba yake.
Aliandika ukutani tunagawa kifusi bureHii ndio ile nyumba ipo barabara ya kuelekea sinza ukitokea kanisan magomen?
Nyumba ya tiko ni ile gorofa iliyokuwa haijaisha ila ndani ilikuwa kna kila kituNyumba yake ndo ile pale barabarani mkono wa kushoto? Maana kuna nyumba ilikuwa inapaki magari ya maana tu
Ndio ile nyumba gari za mjapani zilikuwa za kuhesabu kabla hujatokezea Hospital Migo?Yes biashara ya ngada mwisho wake ni mbaya, Chonji,Tikotiko a.k.a Rasta walipigwa ambush ya maana ambayo huwezi kusepa. Kwa Tikotiko ilikuwa ukipita pale nyumbani kwake Popo...., utakuta maDCM ya kutosha yamepark na ndinga za maana zipo ndani ya Fence ya nyumba yake.
Nyumba ya tiko ni ile gorofa iliyokuwa haijaisha ila ndani ilikuwa kna kila kitu
Hiyo nyumba unayosema inapaki magari makali naye ni anafanyaga kazi za uganga tu
Ova