Shamim Mwasha, mumewe mbaroni Dar kwa tuhuma za kukutwa na dawa za kulevya

Shamim Mwasha, mumewe mbaroni Dar kwa tuhuma za kukutwa na dawa za kulevya

yaaaa mkuu huku kuna muuza viatu vya mtumba lakin nae anatembelea brevis haraf kwa mbele yake kulikuwa na punda mmoja mnyakyusa jina uswe.... kazi yake ilikuwa anakula ma juma lokole wote wa kinondoni kuna siku tumemuotea analipalamia li mchicha mwiba kwenye ukuta wa msanii alieimba "Sioi leo sioi kesho wala mtondogoo molali niliyonayo sasa siwez kubali kuibiwa "

Ingawa huyo msanii aliishi mitaa ile ila alikuwa ni mtu anaejitambua sana ndo mana mpaka leo ana pesa yake halali anasukuma discover yake fresh na asaiv shabiki mkubwa wa mpira na alikuwa na adabu akipita maskani lazma ashushe kioo cha Mark X yake asalimie wana aendelee na safari zake....Mungu amuongeze
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]

Ova
 
Maisha ya mjini yanapumbaza sana, kuna watu wanaofanya vitu ambavyo wewe unaweza kuvifanya ila utashangaa hayo mafanikio mbona wewe huyapati kama wao.? Mji una balaa sana huu, mtu ni mtangazaji wa redio tu mshahara ni chini ya million ila anapush discovery 3 hahah! Katangaze wewe uone sasa

Hakika hakuna kitakachobadilika, wanaodhani huu mfumo wa maisha ya sasa ni wa mpito hawana clue tu. This system of life is there to stay! Haturudi tena nyuma tujihimu tu kufanya shughuli halali vinginevyo tutaozea jela.
Mkuu, huyo mtanagazaji ni milard au mimi sijaelewa?

Sent from my HTC_D816x using JamiiForums mobile app
 
yaaaa mkuu huku kuna muuza viatu vya mtumba lakin nae anatembelea brevis haraf kwa mbele yake kulikuwa na punda mmoja mnyakyusa jina uswe.... kazi yake ilikuwa anakula ma juma lokole wote wa kinondoni kuna siku tumemuotea analipalamia li mchicha mwiba kwenye ukuta wa msanii alieimba "Sioi leo sioi kesho wala mtondogoo molali niliyonayo sasa siwez kubali kuibiwa "

Ingawa huyo msanii aliishi mitaa ile ila alikuwa ni mtu anaejitambua sana ndo mana mpaka leo ana pesa yake halali anasukuma discover yake fresh na asaiv shabiki mkubwa wa mpira na alikuwa na adabu akipita maskani lazma ashushe kioo cha Mark X yake asalimie wana aendelee na safari zake....Mungu amuongeze
Nimecheka ka mazuri, sasa Kuna siku Meridian enzi zile pako fire alilishikilia limoja kiuno bila haya akatokokomea nalo kila mtu lol aibu tunaona sie
 
Ya mjini yaone hivo hivo! Wengine ngoja tuendelee kupambana na juhudi za JPM kutuletea train ya mwendokasi! Never mind kwamba hiyo train wengine tunaweza tusiwe na kipato cha kuipanda.

Unajua ujanja na ufisadi wa siku hizi umenikumbusha kitu. Nakumbuka 2007 nikiwa mtaani nimetoka mlimani…. dada mmoja maarufu sana mjini Amina Chifupa wa Mpakanjia akafariki. Story mtaani zikawa nyingi sana (si unajua mtu mashuhuri akifariki conspiracy theories ni nyingi?). Basi one of my close friend tukawa tumepanga chumba wote mtaani...na yeye ndo amemaliza udaktari Muhimbili..siku moja tunapata kitimoto pale miti mirefu………. ndo akaniambia bwana huyu dada mimi nime-deal naye sana tangu Muhimbili mpaka Lugalo. So ugonjwa uliomuondoa ni 'huu'! kiukweli sikuamini. Maana jamaa alikuwa ananishangaa..ninavyoamini story za mtaani kwamba dada kafanyiziwa! Nilikuwa naona kwamba huyu dada asingeweza kuondoka na ugonjwa "huu"

Mjini ukiwa na hela..au cheo..hata ukifanya madudu gani lazima wapo watakaokutetea kwamba wanaokutuhumu wanasumbuliwa na wivu!
" Huu". Ndio ugonjwa ghani mkuu? Ebu malizia bhana.

Sent from my HTC_D816x using JamiiForums mobile app
 
Haijalishi akishakuwa scraper unambwaga maisha yanaendelea na mwingine, Siku mpaka watoto wakiume wanaliwa ndogo kwa tamaa zao za kijinga.. Kuna siku itafika tutaanza kuweka majina yao humu.. TAMAA MBAYA SANA AISEE, turidhike na maisha yetu kama ni kidogo hichohicho tu..
Unasubiri nini kuyaleta.

Sent from my HTC_D816x using JamiiForums mobile app
 
Nimecheka ka mazuri, sasa Kuna siku Meridian enzi zile pako fire alilishikilia limoja kiuno bila haya akatokokomea nalo kila mtu lol aibu tunaona sie
Meridian ya kipind hiko bwana nakumbuka 2014 nazan kama sikosei kipind wameifanyia marekebisho zile projector niliwauzia mimi wale kuna mdau alikuwa anatoka nazo south ko anatumwagia mzigo wa simu na projector tunaanza kuzikimbiza kwenye mabar na kumbi tofauti sasa siku tumewauzia wale wamasai wa mjin wenye meridian tuna fumba la kutosha mfukoni ebwana tulitingwa vibaya mno kama wale wamasai waliwaambia hao wajinga wana hela mfukoni itabid tuwaeleze wale wapumbavu hatutumiagi hizo "Biriani"
Pia way back again kipind hiko Lulu star kwel na meridian panachafukwa roho vibaya mno na anachukuliwa na msanii mmoja hivi anapendwa sana na jamii ya watu wa Tabata nami nina hela zangu za simu nimetoka kuzungusha mzigo huko si kidume nikajitusu nami nataka kubembea akaniangalia akaona huyu katoka Ngopyolo ataniweza kwel kanitupilia mbali kesho yake nilijiuliza maswali mengi kwel dalali wa simu nataka kuupanda mbuyu ule hapana kwa kwel.

Aisee kinondoni acha iheshimiwe kwa kwel sio kwa mishe mishe zile mpaka mtu Chuo unakiona kichungu yaan umemaliza pind unakuta pesa huna unavunja kwa mguu toka mlimani mpaka mkwajuni huku unajua nikirud tu nina magonga mfukoni ko acha niende tu.

Ila kwa namna nyingine magufuli acha aheshimiwe kwa alichokifanya kwa hawa ndugu zetu mana nina kaka yang kabisa hapo home keko magurumbasi aisee bro alipoteana mpaka ilibid apelekwe kijijin akapewa huduma zote huko hata Dar es salaam ilishaharibika vibaya na ile system ingeendelea wengine tusingekuwa hapa wallah! !!
 
Weeee Dada washamba wanabadilika aisee hata kama katoka Nanjilinji juzi. Akija mjini mission ni moja tu "Faking it till they make it"....wako wengi tunawaona.
Ila daaah kwa heshima aliyokua amejiwekea Shamim jamani atafanya wasichana wanaomuangalia kama Role model wakate tamaa.
... uko sahihi Mkuu. Kuna yule mwingine (marehemu kwa sasa) aliyekuwa na "figure" tatanishi aliingia Dar kama house girl. Alivyobadilika alikuwa gumzo la jiji kabla ya kifo chake chenye utata pia.
 
U-turn imekufa, ilikuwa inapata udhami wa vodacom, alikuwa anaweka matangazo ya voda akawa analipwa pesa ndefu sana, mwamvita alimuunganisha wakati wakiwa mashoga, udhamini ulisitishwa na vdacom alivyoanza kumtukana Lowasa, AKAJITUTUMUA kuwa ALIJUA atanyang'anywa udhamini lakin eti ATAWEZA KUENDESHA BILA TATIZO, thubutu haikupita mwenzi akadanya WADANGANYIKA eti kila kitu ameona bora apost INSTAGRAM kwa kuwa analemewa kupost issue zake huku na huko, wengi tulijua amekumbwa na kimbunga cha matusi yake.
Asee[emoji2958]

Ila mlifaudu mnoo[emoji16]
 
Huyu nsembo rafikia sana na Kinje na lemutuz na bashite. Itakuwa wamepishana kiswahili na bash boy. Kawatengenezea zengwe ila watatoka na hakuna atakayefungwa hapo. Wanatikiswa wateme mpunga
... halafu tunashangaa jamaa anapata wapi magari makali namna ile ambayo wengine hawana! Can't we connect the dots?
 
Nimezungumza na teja but ndo alikua muuzaji ndo mana umekuuliza umeona upimaji na uuzaji zinavyo uzwa unaweza ukawa unajua bei la muhindi shambani lkn usijue bei ya hindi mtaani nimeonyeshwa mpk jinsi wanavyochanganya ili wapate dosi ya kuwatosha mana wengi mtaaniawawezi gharama yke nimeangalia mtaani wanavyotengeneza faida mkuu

Hajui kitu huyo braza...unga unachanganywa na ving...anajua uzito wa G 3 kwa mfano unatoa busta ngap??na busta moja ni kete ngap??na kete moja ni sh ngap??
 
Back
Top Bottom