Shamim Mwasha, mumewe mbaroni Dar kwa tuhuma za kukutwa na dawa za kulevya

Shamim Mwasha, mumewe mbaroni Dar kwa tuhuma za kukutwa na dawa za kulevya

Kwa Sheria yenyewe ya DCE Act No. 5 ya 2015 haikukaa vizuri.. Imekaa kihisia hisia..
Unaweza kutajwa tu kwenye mtandao wa madawa na kuunganishwa..
Zaidi ya gramu 200 zinatosha kukukosha dhamana..
Hivyo mtu akikuwekea madawa inatosha kunyanganywa uhuru na kuzuiliwa kwa muda mrefu sana..
Ni ngumu kuamini kuwa watuhumiwa walikuwa wazembe kiasi hicho.. wakati kwa hali ya kawaida walijua walikuwa katika uchunguzi ('surveillance') kwa kitambo baada ya kutajwa sana mitandaoni..
 
Ni kweli ziko juu! Ila ukilinganisha na wakati wa Kikwete ni kuwa zimeshuka chini. Nina jamaa nawaowafahamu wanne. Mooja ana nyumba na wengine ni viwanja, Bunju, Kijitonyama na Tegeta. Wakati wa Kikwete walikataa bei za mil 200+ lakini sasa hivi hata mil 160 hawapati mtu.
Kuna nyumba iko tabata vyumba 5 iko priced 100M ila hamna mtu anafika bei
 
Shamim alikuwa na mwendo flan hivi wa kuswim, Ila ni mtu poa ukikutana nae akikujua mwendo ni ule ule anakupa za zamani.Mengine amechagua mwenyewe tunaomjua haleti drama za kibubu wala Nini
 
Ujue mwasu nikikumbuka ile comment yako kuhusu mange mbavu sina[emoji16][emoji16]...

Hivi nikiyataka hayo maubuyu kwa sasa nayapata wapi??
Yale maubuyu alaikuwa anayatoa kwenye Blog yake aliita U.turn, kula alikuwa anasema kila kitu, yaani alikuwa mapaka anawasaidia wadada kuwatafutia WAZUNGU kwenye ma block ya match...sijui nini huko.. Kma akiingereza hakipandi unamlipa anakuwa anakusaidia kuwasiliana na MZUNGU ..haahaaaa.. mange ni shida.
 
Yani i wish wanawake wangekaa kulielewa hili tu. Waathirika wakubwa wa kupenda makuu ni wanawake wa kimjini mjini wasiojua kutafuta kwa jasho ndio hawajuagi kuridhika. Yani ni ubishoo na kutaka makuu tu ndio maana vijana wanawakimbia wanaangukia kwa mababu au wauza unga maana mziki wa kuhudumia malaki si mchezo.

Saloon nywele laki 3 au zaidi,pedicure ,manicure , Outing viwanja vya maana anywe pombe anazokunywa Uwoya, Umlipie apartment ya USD 800-1000 kwa mwezi na ununue simu kila toleo jipya la iphone likiingia tu mjini. Ye kazi yake kuangalia kim kardashian kavaa nini nayeye avae! [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] na kukutanulia mapaja...kwa hali hio lazma uuze madawa tu hamna namna!
Hichi ulichoandika mkuu ndo uhalisia wenyewe,,

Mjini ni Vita
 
Yale maubuyu alaikuwa anayatoa kwenye Blog yake aliita U.turn, kula alikuwa anasema kila kitu, yaani alikuwa mapaka anawasaidia wadada kuwatafutia WAZUNGU kwenye ma block ya match...sijui nini huko.. Kma akiingereza hakipandi unamlipa anakuwa anakusaidia kuwasiliana na MZUNGU ..haahaaaa.. mange ni shida.
Haaahaaa[emoji16][emoji16]I wish ningekuwepo mitandaoni kipindi hicho mweeh!

So U turn imekufa now?
 
Haaahaaa[emoji16][emoji16]I wish ningekuwepo mitandaoni kipindi hicho mweeh!

So U turn imekufa now?
U-turn imekufa, ilikuwa inapata udhami wa vodacom, alikuwa anaweka matangazo ya voda akawa analipwa pesa ndefu sana, mwamvita alimuunganisha wakati wakiwa mashoga, udhamini ulisitishwa na vdacom alivyoanza kumtukana Lowasa, AKAJITUTUMUA kuwa ALIJUA atanyang'anywa udhamini lakin eti ATAWEZA KUENDESHA BILA TATIZO, thubutu haikupita mwenzi akadanya WADANGANYIKA eti kila kitu ameona bora apost INSTAGRAM kwa kuwa analemewa kupost issue zake huku na huko, wengi tulijua amekumbwa na kimbunga cha matusi yake.
 
Kwa Sheria yenyewe ya DCE Act No. 5 ya 2015 haikukaa vizuri.. Imekaa kihisia hisia..
Unaweza kutajwa tu kwenye mtandao wa madawa na kuunganishwa..
Zaidi ya gramu 200 zinatosha kukukosha dhamana..
Hivyo mtu akikuwekea madawa inatosha kunyanganywa uhuru na kuzuiliwa kwa muda mrefu sana..
Ni ngumu kuamini kuwa watuhumiwa walikuwa wazembe kiasi hicho.. wakati kwa hali ya kawaida walijua walikuwa katika uchunguzi ('surveillance') kwa kitambo baada ya kutajwa sana mitandaoni..
Kwenye upekuzi wowote, sheria inaruhusu wewe kumkagua askari au mpekuzi hata kama wapo kumi. Ukiwa na mtu wako unaemuamini pamoja na serikali ya mtaa. Ila makandokando ndo yanawaumizaga watu. Unapigwa kulia na kushoto juu na chini. Tena tetesi zinasema jamaa alijificha juu ya dark, muda wa kuwapiga sachi askari utatoka wapi. Balaa juu ya balaa
 
Mchimba kisima kaingia mwenyewe hiyo
Ila jeuri sana Alikuwa,Kuna siku alinijibu shit
Kuna sehemu mmoja nlikuwa naosha Gari si unajua tena ngalangala....akaja na audi
Akamuambia yule jamaa aliyekuwa ananioshea kuwa hivi mwenye hii Gari anakupa bei jamaa a Kam jibu 3000,L akamwambia achane nalo aoshe lke atampa
20000/ mm nlipomskia nkasemea mbovu L
Maana tayari wkt ule kichwani nlishavesha
L namjua kitamboo kbla hjawa na H...
Kwanza sura yke ngumu
Kuna siku sasa nlikutana naye Mico dispensary mwembejini kaletwa na bajaji hoi
Nilishamuona ana dalili ya Uteja nkamfata akawa ananikwepa....
Nlimindigi sana alifanya bday yke masaki mdg wake mmoja baunsa si alinikaribisha tukaenda na wana Kufika yeye kutuona akawambia jamaa sisi haturuhusiwi
Bday yke aliunguza mln 15 aliwalika wajinga jinga na wasanii
Sahv mamaee anaisoma #

Ova
nimejaribu kuwafahamu hao watu nimeshindwa mkuu tafadhal nipatie majina yao au picha zao naweza nikawajua mana kinondoni nimeivuruga sana kwa mishe mishe ko watoto wa kimjin wengi nawafahamu lakin kwa code zako nimepotea leo
 
Mdhamini wao si yule mtu mrefu
Yule ndy anawapa jeuri
Mtu mrefu mwenyewe alikimbia kwa madiba anakujaga kwa kujiiba bongo
Huyo dogo naye kipuz alikuwa anamtia emba ujinga tu
Sasa mama yuko ngome mtoto yuko ngome
Mama alijiona ana connection kubwa marafiki watamsaidia lkn jiiii

Ova
Hamidu nilijua yupo chini ya big sande(Rip)pale mnarani kino mkwajuni jiran na kwa zamoyoni
 
Mdhamini wao si yule mtu mrefu
Yule ndy anawapa jeuri
Mtu mrefu mwenyewe alikimbia kwa madiba anakujaga kwa kujiiba bongo
Huyo dogo naye kipuz alikuwa anamtia emba ujinga tu
Sasa mama yuko ngome mtoto yuko ngome
Mama alijiona ana connection kubwa marafiki watamsaidia lkn jiiii

Ova
Huyo big alikuwa anachukua mtoto mmoja mzuri vibaya mno mkuu alikuwa mtoto wa mjumbe kila mtu alikuwa anamuogopa sababu ya big. ...ebwana si kuna bishoo mmoja alizamiaga miaka ya nyuma uarabuni akarud kwa mbwembwe bongo hiyo around 2012 akamgonga yule mtoto wahuni wakajua wakamchana big. .
Basi kilichomkuta yule dogo hadi leo bongo hawez rudi mana wanyama walikula ndogo yake usiku kucha
 
Huyo big alikuwa anachukua mtoto mmoja mzuri vibaya mno mkuu alikuwa mtoto wa mjumbe kila mtu alikuwa anamuogopa sababu ya big. ...ebwana si kuna bishoo mmoja alizamiaga miaka ya nyuma uarabuni akarud kwa mbwembwe bongo hiyo around 2012 akamgonga yule mtoto wahuni wakajua wakamchana big. .
Basi kilichomkuta yule dogo hadi leo bongo hawez rudi mana wanyama walikula ndogo yake usiku kucha
Duh

Ova
 
Kuna watu bado wana pesa zao lakini nyakati zinawafanya wasitumie hovyo. Wanacheki hali kwanza... Huwezi kutumia tu wakati njia za kuingiza zimezibwa.
Kuna nyumba iko tabata vyumba 5 iko priced 100M ila hamna mtu anafika bei
 
Na anawapata machizi wenzake wengi tu, kuna wakati alianza kuwafundisha jinsi ya kupata mume CLAAs au MZUNGU , akawaambia acheni kutengeneza TRIANGLE yaani NYUMBANI, KAZINI KANISANI/MSIKITINI NYUMBANI, mkitoka kazini nendeni hotel kubwa agiza hata maji utapata watu class, hameni manzese hamieni masaki hata kwenye banda la uani utakutana na watu claa...basi kuna mmoja akaja kulalamika eti NILIFANYA HIVYO NIKAPATA MZUNGU AMENI..MBA SIKU MOJA TU , akaninyima namba yake nilikosea wapi? Akajibiwa we alikuona MALAYA kwa nini ulimpa MBUNYE siku ya kwanza? Hahhaaaaaaaaaaaa! huyu ndio Mange na ELIMU YAKE, shami na VIBUBU vyake..kila chizi na machizi wake jamani.
hahahaha aisee bongo bahat mbaya
 
Hamidu nilijua yupo chini ya big sande(Rip)pale mnarani kino mkwajuni jiran na kwa zamoyoni
Ypo chini ya mkurya mmja mtu mrefu
Ila siku hzi hawaonekani boss wao alikimbilia dizonga # ila anarudi kimachale chale

Ova
 
Ypo chini ya mkurya mmja mtu mrefu
Ila siku hzi hawaonekani boss wao alikimbilia dizonga # ila anarudi kimachale chale

Ova
yaaaa mkuu huku kuna muuza viatu vya mtumba lakin nae anatembelea brevis haraf kwa mbele yake kulikuwa na punda mmoja mnyakyusa jina uswe.... kazi yake ilikuwa anakula ma juma lokole wote wa kinondoni kuna siku tumemuotea analipalamia li mchicha mwiba kwenye ukuta wa msanii alieimba "Sioi leo sioi kesho wala mtondogoo molali niliyonayo sasa siwez kubali kuibiwa "

Ingawa huyo msanii aliishi mitaa ile ila alikuwa ni mtu anaejitambua sana ndo mana mpaka leo ana pesa yake halali anasukuma discover yake fresh na asaiv shabiki mkubwa wa mpira na alikuwa na adabu akipita maskani lazma ashushe kioo cha Mark X yake asalimie wana aendelee na safari zake....Mungu amuongeze
 
Back
Top Bottom