Mine eyes
JF-Expert Member
- Apr 11, 2016
- 6,496
- 7,162
mmh!Huyu dada aliolewa ndoa ya kwanza na mwanaume mmoja mstaarabu sana. Walibahatika kupata mtoto wa kike. Yeye ndiye chanzo cha ndoa kuvunjika.
Sasa mwana kulitafuta mwana kulipata.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
mmh!Huyu dada aliolewa ndoa ya kwanza na mwanaume mmoja mstaarabu sana. Walibahatika kupata mtoto wa kike. Yeye ndiye chanzo cha ndoa kuvunjika.
Sasa mwana kulitafuta mwana kulipata.
Ndio hivyo hivyo...yaani...Nilitaka kupata ufafanuzi, inakuwaje wanaokamatwa wanakutwa na kipimo kinacholingana?
Niko najaribu kusearch threads kama 3 hivi ili niweke hapa, wajuzi watasema ni kwa nini.
Ni kweli ziko juu! Ila ukilinganisha na wakati wa Kikwete ni kuwa zimeshuka chini. Nina jamaa nawaowafahamu wanne. Mooja ana nyumba na wengine ni viwanja, Bunju, Kijitonyama na Tegeta. Wakati wa Kikwete walikataa bei za mil 200+ lakini sasa hivi hata mil 160 hawapati mtu.
Ubaya kanaona ni simple kweli kwamba ukiamua tu unakuwa kama wao. Ana passion na kilimo nikamwambia haya nawewe kalime mama kama unafikiri ni simple namna hio.Aendelee kuwaadmire tu ila asione ni rahisi kuwa kama wao
mkuu unataka kusema hao ulowataja hapo kina salome nao ndo walewale wenzie na shamim?Kuna kabinti kamoja kakiunga bundle kanaenda kwenye page ya resty_fish_bbq ama salometsyi ama askvin farms mara zanana. Yani ana admire watu wa design hio sana na anawish siku afanye awe kama hao.
Namwambia it took a lot of hard work and committment! Na pia mtaji...usidhani ukiwa na kamilion ka 1 unaweza yafanya yale kisa uliskia alianza na mtaji wa elfu 7,10,20 hahahah! Tulia mafanikio ya mtu yana siri kubwa sana. Dont take it lightly!
😂😂😂😂😂kwakweli huyo jumanne tutazidi kumkumbuka sio kwa kutuletea mange a.k.a dada wa taifaUmenifurahisha, alianza pia kutafutia wafuasi madanga ya kizungu, unatuma unamtumia US $ anakufungulia account match.com
Kwakweli marehemu Jumanne Kimambi utakumbukwa daima kwa kumleta duniani Mange.
Dogo si Chawa nae..anasebenza keteHuyu najiulizaga mafanikio yake kayapataje pataje haraka haraka sipati jibu
Hilo sifahamu wala sina uhakika nalo. Ila ni miongoni mwa wanawake wanaoinspire sana vibinti.mkuu unataka kusema hao ulowataja hapo kina salome nao ndo walewale wenzie na shamim?
Hahaha wale machalii nao duh! Sijui kam kutoboa ni easy hivyo ila wanakimbizaVunja bei sinza madukani
Mmemsahau na mamaake mzazi Asha Mapikipiki😂😂😂😂😂kwakweli huyo jumanne tutazidi kumkumbuka sio kwa kutuletea mange a.k.a dada wa taifa
Hahaha aje atuulize tuliowahi kulima kwa pesa hizi za kudundulizaUbaya kanaona ni simple kweli kwamba ukiamua tu unakuwa kama wao. Ana passion na kilimo nikamwambia haya nawewe kalime mama kama unafikiri ni simple namna hio.
na hapo ndo kwenye shida....hela nyepesi tamu aisee & huna uchungu nayo ndio maana wanakuwa & matumizi mabaya sana!Tatizo hela yake tamu sana. Imagine unaingiza zaidi ya million 100 kila mwaka, unadhani utawaza tena kuwa na biashara ya kuchonga miwa ama kuuza juice? Mwenzio kilaini tu hakosi laki 3 ya kuchezea kila siku!
Hivi mkuu hiyo kete moja inasagwa na huo unga ndo mateja wanavuta au unaongezwa vitu vingine ili iwe tayari kwa kuvutwa?Hatuwa muhimu kuliko zote ni mfungaji wa hizo pipi, punda wote wanawaheshimu sana watu hawa kwa sababu pipi zikifungwa vibaya tumboni zinapasuka.
Hatua ya pili punda anakula ugali wa kushiba wakati vipipi vipo kwenye beseni la maji, baada ya kula na kushiba na kupumzika kidogo ndio wanaanza kumeza hizo pipi kila punda kwa uwezo wake wa gram, wako punda wanaondoka na kilo nzima wanajilodi na kwenye tigo.
Wakifika salama mzigo hupakuliwa kwa njia ya haja kubwa mpaka pipi zote zinaisha, punda anachukuwa dola zake anafanya shopping anarudi huko mtaani mtamtambuwa, hawana akili kwamba hapa nimepata mtaji niachane na upunda nifanye biashara yeye anawaza next trip wapi.
Punda wakiwa kwenye ndege ni dry food na juice tu.
Nanii....nyerere hyuu hayati au nyerere wa kmati....?
HKI = History, Kiswahili & Inglish?
Weee nawe umeshindwa kujua hiyo ya mwisho ni "L" umekalia politiki muuxiiiuuu
Huyu alishatimkia South siku nyingi, alivyoona mambo hayaendi Bongo akaishia zakeAsante Mkuu ...tuko pamoja ... mfano mdogo ni daudi kanyau ... anafahamika wazi kuwa ni drugs dealer guru ..lakini yupo salama mpaka hii leo "
Ni kwa sababu hajawauzi vya kutosha wa kuu waliopo kwenye system
😂😂😂😂😂na hapo ndo kwenye shida....hela nyepesi tamu aisee & huna uchungu nayo ndio maana wanakuwa & matumizi mabaya sana!
wengi hujidanganya kuwa watafanya kidogo tu wapate mtaji...mfuate baada ya mwaka umuulize usikie hilo jibu utalopewa