Shamim Mwasha, mumewe mbaroni Dar kwa tuhuma za kukutwa na dawa za kulevya

Nakumbuka Shamim Zeze alianza na Mtaji wa Elfu 10 tu ,akawekeza kidogo kidogo kwenye kibubu akafungua 8020 Fashion baada ya muda akaanza kutembelea Range Autobiography ,Discovery 3 ,kumiliki nyumba mbezi etc

Aisee jela ni chuo cha mafunzo ,washajifunza aiseee waachiwe wakalee watoto wao ,mbona mtoto wa Liyumba alikamatwa na gunia la "BWIMBWI" lakini alitoka?
 
Hivi umeamua kukubali kabisa kuwa bila kuitaja Chadema basi unakuwa huna hoja yoyote yenye mashiko?



Hivi umeamua kukubali kabisa kuwa bila kuitaja Chadema basi unakuwa huna hoja yoyote yenye mashiko
Ndege john alishaokoka hiyo imebaki historia
 
Saf sana haya Mambo ndio napenda kuyasikia...chadema watapinga watasema anaonewa au serikali inataka kick
Hivi umeamua kukubali kabisa kuwa bila kuitaja Chadema basi unakuwa huna hoja yoyote yenye mashiko?
Saf sana haya Mambo ndio napenda kuyasikia...chadema watapinga watasema anaonewa au serikali inataka kick

Ndege john alishaokoka hiyo imebaki historia
Mshauri bas awe anafanya yake Chadema awaachie wenyewe pamoja na machawa wa Ccm wakiongozwa na Lucas mwangomola
 
Aise maisha haya,Mungu atusaidie
 
Hivi walifanikiwa kutoka?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…