Raynavero
JF-Expert Member
- Apr 29, 2014
- 38,378
- 56,047
Ujinga huu !!,kumbe anaweka za ngada chaaaaa!!!acha afungwe
Ndio Ndito eti ukikaa na funguo utapata hamu ya kufungua utumie hela zako, vibubu mnafungua December na kila mmoja anasema aliweka lengo la KUBUBU ngapi na amefikia lengo, amevuka lengo au hajafikia lengo? Unakuwa MALKIA na wewe.