Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Monica ana roho jamaniShamimu ananiuma sana ..wale watoto jamani...wanakua bila mama🥱[emoji24]
Shit hole kweli kweli 🤣🤣🤣.Ajabu kabisa,,
Mtu anakamatwa na kidhibiti lakini bado ushahidi haujakamilika.
Africa a shit hole [emoji23][emoji23]
Monica ana roho jamani
Anapambana nao bado
Mungu ambariki sana
Sent from my SM-A725F using JamiiForums mobile app
Shkuba hakupambana akafungwe marekani Bali alikuwa most wanted by FBI marekani,sikuwa na uhakika na hili, inaonekana ameamua kuwa low profile.. maana alipambana aende zake akashitakiwe unyamwezini kuliko kuingia kwenye 18 za marehemu.. maana angekuwa ngome mpaka sasa kama wenzake au angekula za uso 30yrs kama mwenzie Yanga Omar wa Tanga.
Ila Unga unaleta jeuri sana.
Kabisa.Shit hole kweli kweli [emoji1787][emoji1787][emoji1787].
Mtu anaua kwa risasi live unaambiwa uchunguzi unafanyika.
Kabisa aise..ana roho ya kipekee...soo painfulMonica ana roho jamani
Anapambana nao bado
Mungu ambariki sana
Sent from my SM-A725F using JamiiForums mobile app
Hakuna msafi mkuu....tusimnyoshee vidole sana...amejifunzaBiashara waliyokuwa wanajihusisha nayo imeharibu pia mamia ya watoto wa watu
Wewe mbona hukununua mkuu...😉Na yeye kawaharibu familia kibao kwa kuwauzia bwimbwi wazazi wao
Sikulijiua duka lao mkuuWewe mbona hukununua mkuu...😉
Yupo huru anajiachia juzi nimemuona kwenye mishikaki kwa rajabu magomeni na gari moja matata sanaShkuba hakupambana akafungwe marekani Bali alikuwa most wanted by FBI marekani,
Jamaa alitajwa mara nyingi Sana kwenye kesi za watu waliokamatwa na madawa MAREKANI.
FBI walimfata sababu jamaa alikuwa na kesi kule..
alipomaliza kifungo marekani ilibidi arudishwe tena tanzania aje akutane na kesi yake ya LINDI..
Nadhani analindwa na kiongozi mmoja mkubwa visiwani..
Yupo huru kwa sasa,,Kuna sehem kajichimbia Ila hayupo jela.
OkYupo huru anajiachia juzi nimemuona kwenye mishikaki kwa rajabu magomeni na gari moja matata sana
Kahukumiwa kifungo cha maishaIla chonji bado yuko ndani
Ova
Aise usitamani maisha ya mtu mjini kila mtu na siri zake za maishaKibubu challenge
Hivi umeamua kukubali kabisa kuwa bila kuitaja Chadema basi unakuwa huna hoja yoyote yenye mashiko?Saf sana haya Mambo ndio napenda kuyasikia...chadema watapinga watasema anaonewa au serikali inataka kick
Saf sana haya Mambo ndio napenda kuyasikia...chadema watapinga watasema anaonewa au serikali inataka kick
Hivi umeamua kukubali kabisa kuwa bila kuitaja Chadema basi unakuwa huna hoja yoyote yenye mashikoSaf sana haya Mambo ndio napenda kuyasikia...chadema watapinga watasema anaonewa au serikali inataka kick