Shamimu Mwasha na Abdul Nsembo wahukumiwa kwenda jela maisha baada ya kukutwa na hatia ya kusafirisha Dawa za Kulevya

Shamimu Mwasha na Abdul Nsembo wahukumiwa kwenda jela maisha baada ya kukutwa na hatia ya kusafirisha Dawa za Kulevya

na akikaa sana bila kuona mb oo, bikra inarudi automatikali, baada ya miaka 10 anakua m bichi kama wa form 1 vile
Askari magereza unafikiri hawapeleki moto ? Mfungwa anapata tabu mwanzo. Ila akishakaa miaka kazaa anakuwa familia hata na askari wa kike kama demu wanasogea hadi kotani.. hapo ndio mipango hupangwa mamaaaeee.. 😀😀😀
 
Watu kama hawa ilipaswa Serikali iwaahidi adhabu kidogo kwa makubaliano ya hawa kuutaja mtandao wao woooote kuanzia huko nje na humu ndani. Kuwatupa ndani maisha bila kuwakamua information za kutosha haitoshi
Kwa kweli Consultant ni vigumu kuona tunapoteza nguvu kazi ya taifa hili katika hili janga na madawa ya kulevya, kuna watu wanapeta na biashara hii ambao ndiyo tunawaona vijana wkiendelea kuyoyoma mitaani, hata pale tunapopiga vita madawa haya. Lazima tuwe waangalifu na wa kweli katika vita hivi, kwani kuna pesa nyingi imewekezwa kwenye biashara hii na kama pesa hiyo ingewekezwa kwenye biashara halali leo taifa lingekuwa tumepiga hatua. Vyombo vya usalama bila ya shika wanawajua wahusika wa biashara hii lakini kwa sababu ya rushwa na kulindana ndiyo tunaona hii biashara haikomi.
 
Watu kama hawa ilipaswa Serikali iwaahidi adhabu kidogo kwa makubaliano ya hawa kuutaja mtandao wao woooote kuanzia huko nje na humu ndani. Kuwatupa ndani maisha bila kuwakamua information za kutosha haitoshi
Huo mtandao unajulikana na wengi wao wapo jela. Unamjua kiboko?
 
dawa za kukevya ni hatari sana. jamani njoeni huku ipalamwa tulime maharage huwezi kufungwa wala polisi hawawezi kukusumbua.
kwa kifupi tufanye biashara halali tuachane na biashara haramu tutazitesa familia zetu bureee
 
Mahakama Kuu Divisheni ya Makosa ya Rushwa na Uhujumu Uchumi (Mahakama ya Mafisadi), imewahukumu kifungo cha maisha Mafanyabiashara Abdu Nsembo na Mkewe Shamim Mwasha baada ya kutiwa hatiani kwa makosa ya kujihusisha na dawa za Kulevya aina ya Heroin .

Pia mahakama hiyo imetoa amri ya kutaifisha mali za Wahukumiwa ikiwemo gari aina ya Discover 4 ili liwe mali za Serikali, huku dawa hizo zikitakiwa kuteketezwa.

Hukumu ya kesi hiyo namba 4 ya mwaka 2020, imetolewa Jaji Elinaza Luvanda baada ya kusikiliza hoja za pande zote mbili kati ya Jamhuri na Utetezi na kujiridhisha kwamba Watuhumiwa wamekutwa na hatiani katika makosa mawili ya usafirishaji dawa za Kulevya.

Wawili hao walishtakiwa baada ya kudaiwa Mei Mosi, 2019 wakiwa eneo la Mbezi Beach, Wilaya ya Kinondoni, jijini DSM kinyume na sheria ya uhujumu uchumi walikutwa na dawa hizo.

Ikumbukwe hapa JF kupitia Member wake wanawafahamu fika.

Pia soma

Abdul Nsembo na Shamim Mwasha
Full story ya maisha ya wawili hawa inasimuliwa na wenyewe bwana na bibi harusi ktk Video wedding / reception na walikutana vipi wawili hawa ambao leo pia mbali ya pingu za maisha pia wameishia kwa pamoja kuhukumiwa kwenda jela maisha. End of the Story.
 
Tatizo misemo ya "woga wako ndio umaskini wako" siku hizi wadada wanaishadadia sana.

Msichana yuko tayari kukuona hata unaua ili mradi uwe na pesa,na utapendwa kama malaika.

Thamani ya utu wa mwanamke imeshuka kwa sababu ya wao kujifanya bidhaa inayoweza kununuliwa kwa pesa bila kujali ni za majini,mizimu au za damu.
Neno zito
 
Back
Top Bottom