Shamimu Mwasha na Abdul Nsembo wahukumiwa kwenda jela maisha baada ya kukutwa na hatia ya kusafirisha Dawa za Kulevya


Hivi unafikiri ni rahisi get away kama unavyo fikiri na kuandika hapa? Hahahaha
 
Hivi yule Dogo kipindi kile alikua anabisha hapa tunamweleza kesi za namna hii siku hizi ni ngumu sana akawa anabisha mara sijui watoto wa mjini na blah blah yuko wapi sijui aje aone mvua watazopigwa wadogo zake wema
Natamani aje hapa!! Kiko wapi sasa mambo haya yanatisha kucheza michezo hatari kana kwamba Serikali itakuheshimu sababh uan hela. Jamani Nsebo na Shamim tayari wamepanda karandinga muda huu.
 

"Angeplay victim of circumstances" baada ya kula utamu.

Sidhan kama tunaweza jenga jamii bora kwa kuhamasisha unafiki kama njia bora ya kutatua matatizo.

I feel sorry kwa watoto watakosa mtu wa kuwaangalia, ila I can't imagine malezi gani wangepata from their mom.
 
Natamani aje hapa!! Kiko wapi sasa mambo haya yanatisha kucheza michezo hatari kana kwamba Serikali itakuheshimu sababh uan hela. Jamani Nsebo na Shamim tayari wamepanda karandinga muda huu.
Waagane kabisa wanaweza wasionane tena mpaka paradiso
 
Nakazia, lkn ndo tufanyeje sasa na shetani kashikilia usukani
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…