Nyani Mzee Snr
JF-Expert Member
- Feb 4, 2021
- 12,122
- 42,743
Lakini inafika ili uwe na amani moyoni, unaachia. Ni ngumu inauma sana. Lakini inafikia mahala usamehe, kukaa pasipo kusamehe nayo ni adhabu mkiiKusamehe ngumu sana, ndugu yangu mmoja zamani alipigwa nusu kufa...alikuwa akipata alosto anatembea kutoka kwao kawe hadi kwetu tabata ili umpe hata buku 2 tu akapone (ukiona anavyotetemeka utampa tu)....na mara nyingi alikuwa anafika usiku mnene watu tumelala kwahiyo anaruka ukuta anaanza kuwagongea madirishani...sasa siku hiyo alikutwa na sungu sungu walipiga sana...cha ajabu sasa alikujaga kufanikiwa kuacha
Kwan mwanaume akiwa mwiz ni lazma namwamke awe mwizi jamaa alishasema anaomba mke wake aachiweMkewe aachiwe kwanini?
Itakuwa ushahidi umeonyesha na yeye anahusika la sivyo asingehukumiwa..wangapi wanafungwa ila wake zao wapo nje?..sisi raia huku nje hatuwezi elewa labda kama ulikuwepo mahakamaniKwan mwanaume akiwa mwiz ni lazma namwamke awe mwizi jamaa alishasema anaomba mke wake aachiwe
Huyu ndio yule wa kuhamasisha wanawake na vibubu?Daaah Shamim
Nilishawahi kuishi na mtumiaji wa madawaMadawa yanaharibu sana,yanafarakanisha familia, uchumi wa familia unashuka na mwisho waathirika kama sio kufa basi ni kifungo au maradhi ya kudumu
Sasa aliwekewaje wakati upande mwingine unakiri kweli alikuwa anauza?Makonda na team yake waliwaekea Madawa ya kulevya kweli nsembo alikuwa anauza Unga na sio shamimu Sema nsembo hakuwa na Unga ndani kawekewa na kina makonda na team yake inauma sana na Mungu atamlipa makonda na uzao wake
Tena huyu Shamimu alikuwa na mumewe wa kwanza very humble, tamaa mbaya sana. Alimkimbia mumewe kwa tamaa na kuolewa na muuza madawa.Tatizo misemo ya "woga wako ndio umaskini wako" siku hizi wadada wanaishadadia sana.
Msichana yuko tayari kukuona hata unaua ili mradi uwe na pesa,na utapendwa kama malaika.
Thamani ya utu wa mwanamke imeshuka kwa sababu ya wao kujifanya bidhaa inayoweza kununuliwa kwa pesa bila kujali ni za majini,mizimu au za damu.
Do not take everything too seriously kwani ww huoni hata Kama ni joke tu?....Kwa swali hili tu unaonyesha ukubwa wa akili yako
Sasa hivi wewe ndio mjanja, haya ma mali watu wanatembea nayo yana siri sanaHaaahaaa
Mi nilijiona boyaa asee
Sio siri nilikuwa nikimuona na range yake roho inauma kinoma[emoji16][emoji16][emoji16]
Ina taifishwa ggari tuMbaya zaidi na mali zao zinataifishwa.
Shortcut is always a wrong cut!!
Kweli wakikata rufaa watachomoka
Ova
Wale sio kwamba walishanyofolewa vichwa na wachinaChief, vipi ile kesi ya yule mume na mkewe waliokamatwa China (sina hakika) wakiwa na mtoto mdogo na mtoto akarudishwa na ubalozi hapo nyumbani Tz, imeendaje?
Kipindi kile watu humu walisupport maamuzi ya China (?) juu ya hukumu yao ila hapa tunatetea yaleyale??
Gari ni sehem ya baadhi ya mali japo haijafahamika kama walikuwa na nyumba
Nimesikitika Sana. Hii Hukumu ni Kali Mno.
Xi jing Ping ata kuwa analo file lao mezan kwakeChief, vipi ile kesi ya yule mume na mkewe waliokamatwa China (sina hakika) wakiwa na mtoto mdogo na mtoto akarudishwa na ubalozi hapo nyumbani Tz, imeendaje?
Kipindi kile watu humu walisupport maamuzi ya China (?) juu ya hukumu yao ila hapa tunatetea yaleyale??
Ndo maana mimi huwa sitamani utajiri wa mtu.