Shamimu Mwasha na Abdul Nsembo wahukumiwa kwenda jela maisha baada ya kukutwa na hatia ya kusafirisha Dawa za Kulevya

Shamimu Mwasha na Abdul Nsembo wahukumiwa kwenda jela maisha baada ya kukutwa na hatia ya kusafirisha Dawa za Kulevya

sasa kiongozi wa malaika anaongozaje ikiwa wote wapo under control!!!?
Malaika wanaumbwa kwa kuja kufanya kazi fulani ndio maana kuna walinzi,wanao abudu na kusifu,Wajumbe...nk nk. Referring seven arch angel ambae kila mmoja ana task yake. Kama ni mlinzi basi atafanya ulinzi tu.
Lakini Mwanadamu anauwezo wa kuchagua kuishi vyovyote atakavyo.
Malaika hawawezi kuishi vile watakavyo bali vile walivyopangiwa waishi. Malaika ni strong kuliko sisi ila sisi ndio mabosi wao wameumbwa kututumikia wanadamu ila sio sisi kuwatumikia.

Ni mwanadamu pekee ndio Ana status mbili Immortal na Mortal. Means that ana mwili wa kibinaadamu unaokufa na roho ya uungu isiyokufa.
Nimekujibu??
 
Asante kaka. Hatari ile sikosagi kuangalia maana dah jamaa wana hela balaa.
Watu wananunua kisiwa ili iwe transit port ya kusafirisha mzigo.
Cocaine kilo $50,000 alafu mtu anasafirisha mzigo wa kilo 300...hapo ngachoka kabisa. Sex party zao ndio usisema kabisa.....natamani mzabzab wanialike nikafaidi mema ya dunia
Hapo kwenye sex party hapo[emoji1][emoji1483]

Hiko kipindi kunaitwaje[emoji1][emoji39]

Sent from my TECNO P703 using JamiiForums mobile app
 
Hapo kwenye sex party hapo[emoji1][emoji1483]

Hiko kipindi kunaitwaje[emoji1][emoji39]

Sent from my TECNO P703 using JamiiForums mobile app
Kipindi kinaitwa narco wars kinapatikana national geographic channel kwa dstv.

Wee achana nao hao jamaa party zao ni balaa...sasa wee kilo $50000 umeshauza mzigo wa kilo 300....unashusha warembo wakali tupu yani ratio ya man to woman hapo ni 1:3. Mwaga cocaine, booz, chakula alafu muanze kusasambua mbususu. Acha kabisa mwana.
 
Inauma na inachoma shamimu kufungwa maisha na dada wa watu hauzi Unga na aliewaekea Unga ni makonda huyu makonda huyu Mungu atamuonesha kabla hajafa na uzao wake ni Roho mbaya sana.
Kwanini hukwenda kutoa ushahidi mahakamani kuwa Makonda aliwawekea haya madawa? Pia mbona nasikia mwanaume alikiri kuwa anafanya biashara ya madawa?? Mkuu acha udaku.
 
Watatoka, kuna mambo ya kiufundi mengi wakicheza nayo vizuri wanatoka. Kuna sehemu mwamba alizidisha ugumu wa jambo lake hasa alipo enda ku confess kwa DPP ingawa nayo sio isseu anaweza pindua vile vile . Kufungwa maisha ni mbaya sana.. ni kweli wameumiza sana watoto wa watu, lakini msamaha kwa binadamu ane jutia hutolewa hata na Mungu. Mie nikiwa mmoja wapo kaka yangu alikuwa kama chizi na zilimuua dawa, nilishasamehe.. kutokusamahe haindoi tatizo
Yule Jamaa Wala hajutii kitu anadaia alijua tu .

Yule Jamaa Ni kuozea huko jela labda Huyo shamimu apunguziwe adhabu Ila sio kutolewa Leo akipigwa hata miaka 10 itapendeza [emoji1]

Sent from my TECNO P703 using JamiiForums mobile app
 
Tulia usiku wa leo ndio utajua hujui lazima nifanye anayofanya popo bawa, ndio utajua kama unalogeka au holegeki. Ungenifatilia toka mwanzo usingesema nafurahi hawa watu wapate nimetete sana hawa na kuonesha hata namba gani wangenasuka, sasa unakulupuka kuanza niita mchawi, nitakuonesha usiku wa leo [emoji856][emoji856][emoji856][emoji856]
Una povuka sana Bila sababu relax aisee
 
Wale watapotea mvua ya miaka elfu Kenda Mia Kenda[emoji1]

Sent from my TECNO P703 using JamiiForums mobile app
KENDA.jpg
 
Nafikiri kama umesoma ambapo nime ku mention umenielewa. Commentza zangu nyingi serious humu zimelenga utu wa mwandamu na msamaha, na adhabu kupunguzwa ingawa kila kosa lina ujira wake. Hapa naona unashambulia hujui kuwa hao nilikuwa nataniana nao, Ila sasa kwakua umeniita mchawi nitakuonesha.. usiku wa leo jipange vizuri sana.. sinaga utani mkuu. Hujakosea kabisa kuniita mchawi nitazaa na wewe
Acha ushamba wewe
 
Umeongea kweli .

Wanataka kumtakatifuza huyo shamimu

Hakufanya effort zozote kumfanya Huyo mume wake aachane na hio biashara .

Hata Kama walipandikiziwa Ila haondoi ukweli kuwa walikuwa wanauza sembe hapo town

Sent from my TECNO P703 using JamiiForums mobile app
ABDUL NA SHAMIMU wote ni wauza madawa ya kulevya na walikuwa wanapeleka swadaka Masjid

Wallah hawa wenzetu Wanafiki sana...!!!

Laanakhum,
 
Daaah na kibubu nilinunua kabisa

Mwenzako anashindilia kimilion we unatoa mimacho tu[emoji848][emoji848]

Ila aliniinspire vibaya mnoo[emoji122]
Ila aliwaokota kweli,mnajisikiaje kuona role modal wenu kumbe ni muuza sembe. Nyie ni wa thamani sana kuliko huyo Shamimu. Basi tu binadamu tunaangalia utu wa nje.
 
Back
Top Bottom