Johnny Impact
JF-Expert Member
- Sep 12, 2017
- 5,502
- 9,070
Mahakama imehukumu mzee Kama umeumia milango iko wazi nenda mkajumuike pamoja
Hata yule Top, Mbunge wa Kinondoni alitajwa kuwa ndio muingizaji wa powder nchini na wenzake watatu, wote WaislamSijui Kuna kaukweli hapo, Ila list ya ma-tycoon wa madawa wote ni wa upande huo na wote Sasa hivi wako kwenye mikono salama
- Ally khatib Haji "shkuba"
- Mharami Mohamed Abdallah "chonji"
- Yakubu Adam "kanyau"
- Abuu salehe "kimboko" Don wa mbagala
- Omary yangayanga
- Ayoub Kiboko "kiboko"
- Abdul Nsembo
- Hussein mafisi
Je unaamini Dealer mkubwa hivyo kukutwa na Madawa kwake wakati anajua msako unaendelea chini kwa chini?Life in prison?
That’s a draconian sentence.
I suspect they may get a reduction on appeal.
We endelea tu kutingisha matiti hapo chumbani...Toa fact acha kubwabwaja kama shoga mwenye uharo!!! Mxxxxiiiuuiieeeew
Kuna yule aliyekamatwa na viloba kule RSA (RIP), yeye aliweza kupenya. Nafikiri biashara hii ina siri nzito sanaGramu 400 kifungo cha maisha
Sijui wale masharobalo waliokutwa na kilo 30 itakuwaje
Nadhani ni pigo kwa familia
Hawa wakipaki magari kuingia misikitini wanaheshimika mpaka Sheikh anawatetemekea kwakuwa wanaingiza Swadaka na Zakat wanatoaSijui Kuna kaukweli hapo, Ila list ya ma-tycoon wa madawa wote ni wa upande huo na wote Sasa hivi wako kwenye mikono salama
- Ally khatib Haji "shkuba"
- Mharami Mohamed Abdallah "chonji"
- Yakubu Adam "kanyau"
- Abuu salehe "kimboko" Don wa mbagala
- Omary yangayanga
- Ayoub Kiboko "kiboko"
- Abdul Nsembo
- Hussein mafisi
Uwe makini; usikute unamuona mtamu because of juhudi za abduli🙈🙈🙈🙈🙈🙈Huyu shamim lazima nikamtoroshe gerezani, mtoto mtamu sana huyu kukaa gerezani
[emoji16][emoji16][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji16][emoji1787]Hawa wakipaki magari kuingia misikitini wanaheshimika mpaka Sheikh anawatetemekea kwakuwa wanaingiza Swadaka na Zakat wanatoa
Wanajifanya kuona kitimoto na pombe ndio haramu ila heroine na Cocaine sio
Mijusi hii.
Udhibiti wa jambo lolote ni muhimu, hasa yenye kuleta athari kwenye jamiiBongo ilikuwa inageuka kuwa mexico
Kuna wakati wafanyabiashara hii walikuwa
Wanajihalalisha,mtaani hata watoto wadogo
Kate za unga wanazijua mpaka bei yake
Ova
Beker Rangers nasikia kaishaachiwa huko Marekani anasubiri tu ndege arejee Tz..na mwingine anaitwa Manganja tayari yupo Bongo waliishatumikia vifungoMagomeni tena kwa kina beka rnga
Kote wamejaa watu wa mitkas Hahaha
Baba mjomba mtoto dada wote watu wa mipango
Ova
Kwa tunao amini Mungu msamaha hupo. Maana hata Mungu akisema atukazie tumeishaSerikali iliyotunga na hio Sheria na alieitia saini ndio huyu mnaemwita shujaa wa Africa mwendazake .
By the way hao akina shamimu hakuna kuwaonea huruma
Sent from my TECNO P703 using JamiiForums mobile app
Wanafiki sana hawa kunguni.[emoji16][emoji16][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji16][emoji1787]
Kwamba kitomoto na bia ni dhambi? Ila kulegeza watoto wa watu kiakili na kiafya ni poa?
Nje tu ya jamaa kuuwa anashiriki kwenye hizo biashara, ila siku hiyo walipigwa na askari tukio na mbaya jukawa na mkono wa mtu nyuma. Sijui ndio huyo makondaNimecheka sana km mazuri hayo,
jamaa yangu ukiwa nyapara hukutani na jinsia nyingine wanawatofautisha Majengo.
Jiunge na geshi la Jela unaweza mnyemelea kivingine.
Mm bado namlaumu mtoa Hukumu Luvanda angeweka huruma kidogo, kwami hata Balozi wa Mtaa anasema walipopekuwa hawakuiona hiyo handbag lkn ghafla nyuma walikotoka askari akaona ki-handbag chenye unga
Luvanda kapita Iringa, Dodoma na Mwanza wanalia kote, ila najua wakikata rufaa watatoka tu, wameonewa na operation za Makonda
Na kesi za Ufisadi hukumu zake ziko vipii kwani wanatafaouti mafisadi na wauza unga ni chungu kimojaNilijua tu hiyo inafuata
Hizi kesi za madawa sahvi
Hukumu zake syo mchezo
Ova
IT expert hakujua athari za madawa au huyo Chid benz ? Ili swala lina penda zote muuzaji na mnunuaji, wote wana makosa.Holy man hivi wee ulishaangalia documentaries za hawa addicts? Wewe imagine wana destroy lives ya mtu ambaye aliku IT expert taifa limemsomesha na kutegemea kuwa watavuna kitu baadala yake wanaishia kula hasara tuu.
Hapo there shuld be no mercy at all. The purpose of any punishment is to deter others from doing the same hence its is supposed to be as harsh as possible.
Shamimu kaanza kumvuruga jamaa kitambo Sana ndugu, acha tuu MUNGU aitwe MUNGU nisiongee sana Ila huyu mwanamama hakufikiria kuwa anatakiwa kukubali kuwa tayari ameolewa na tayari Ana mtoto pia mmewe aliekuwa mzungu mweusi mbona yan kwa kipindi kile alikula Raha za saiz yake sema mwanamke mjinga huwa aridhiki ukimpa laki anaona sio saiz yake anajiona kwenye million, ukimpa 1m anajiona kwenye 10m matokeo yake n kuumia.Hapana! Shamimu kaacha ndoa yake ya kwanza kwa sababu mume alioa mke mwingine (pengine kinyume na kiapo kati yao) ?!
Kampata Nsembo way after ameachana na mume wake wa kwanza wa ndoa na kuwa ‘dada wa mujini’!
Shangaa aisee na sadaka msikitini wanapeleka na kupokelewa hela za ngada [emoji1]Wanafiki sana hawa kunguni.
Wakipita karibu na baa au jiko la kitimoto utasikia Astafirullah, lakini kuua ndoto na afya za watoto wa watu hakuna astakhafirullah Maamuma hawa
Rudi darasaniWe hujamuelewa....anamaanisha njia fupi huwa ni njia ndefu
'Wrong' sio mahali pake hapo
We endelea tu kutingisha matiti hapo chumbani...
kwani hujaona list ya hao wauzaji wakubwa hapo wote waislam kitunguu maji wewe
Umeanza kuja kuja eeh