Shamimu Mwasha na Abdul Nsembo wahukumiwa kwenda jela maisha baada ya kukutwa na hatia ya kusafirisha Dawa za Kulevya

Shamimu Mwasha na Abdul Nsembo wahukumiwa kwenda jela maisha baada ya kukutwa na hatia ya kusafirisha Dawa za Kulevya

Wale washapotea....labda itoke maajabu gani sijui..
Nashanga watu humu wanashanga hawa kupigwa maisha wakt kuna watu wana list ya watu zaidi ya 10 wamepigwa maisha
Tena huyo shamim ana hatihati ya kpelekwa butimba huko ndiko gereza wanawake hupelekwa

Ova
Butimba Mwanza?

Na mumewe anapelekwa wapi?
 
Mahakama Kuu Divisheni ya Makosa ya Rushwa na Uhujumu Uchumi (Mahakama ya Mafisadi), imewahukumu kifungo cha maisha Mafanyabiashara Abdu Nsembo na Mkewe Shamim Mwasha baada ya kutiwa hatiani kwa makosa ya kujihusisha na dawa za Kulevya aina ya Heroin .

Pia mahakama hiyo imetoa amri ya kutaifisha mali za Wahukumiwa ikiwemo gari aina ya Discover 4 ili liwe mali za Serikali, huku dawa hizo zikitakiwa kuteketezwa.

Hukumu ya kesi hiyo namba 4 ya mwaka 2020, imetolewa Jaji Elinaza Luvanda baada ya kusikiliza hoja za pande zote mbili kati ya Jamhuri na Utetezi na kujiridhisha kwamba Watuhumiwa wamekutwa na hatiani katika makosa mawili ya usafirishaji dawa za Kulevya.

Wawili hao walishtakiwa baada ya kudaiwa Mei Mosi, 2019 wakiwa eneo la Mbezi Beach, Wilaya ya Kinondoni, jijini DSM kinyume na sheria ya uhujumu uchumi walikutwa na dawa hizo.

Ikumbukwe hapa JF kupitia Member wake wanawafahamu fika.

Pia soma
Shamimu ataachiwa na mahakama ya Rufaa, kwakuwa hakujua kama mume wake ni PUSHA.
shamimu amewekwa hatiani kwakuwa alikuwa anamkingia kifua mumemwe of which kwa wanandoa ni kitu cha kawaida.
 
Wengine inabidi kukaa kimya maana tutaonekana tuna wivu. Ila nachoweza kukuambia ni kuwa huyo shamimu humjui vizuri
Tatizo wabongo ukiwa na hela watu watakupa heshima,kukubabaikia wao hawajali unapataje hela
Ona juzi wale masharo na visista duh walivyopandishwa kisutu wasani wa bongo
Movie na machawa wa mjini walienda kuwalilia

Ova
 
Tatizo wabongo ukiwa na hela watu watakupa heshima,kukubabaikia wao hawajali unapataje hela
Ona juzi wale masharo na visista duh walivyopandishwa kisutu wasani wa bongo
Movie na machawa wa mjini walienda kuwalilia

Ova
Mama Samia aendelee hapo hapo alipoishia magu kwenye Hawa wauza ngada
Hivi mwinyi machapta bado hawajamkamata tu?
 
Wale washapotea....labda itoke maajabu gani sijui..
Nashanga watu humu wanashanga hawa kupigwa maisha wakt kuna watu wana list ya watu zaidi ya 10 wamepigwa maisha
Tena huyo shamim ana hatihati ya kpelekwa butimba huko ndiko gereza wanawake hupelekwa

Ova
Hivi hawa huwa wa kifa wana kabidhiwa ndugu zao au huwa inakuwaje mkuu?
Hawa wa kifungo cha maisha
 
Kwanini hukwenda kutoa ushahidi mahakamani kuwa Makonda aliwawekea haya madawa? Pia mbona nasikia mwanaume alikiri kuwa anafanya biashara ya madawa?? Mkuu acha udaku.
Hata mie nashangaa jamani
 
Tatizo wabongo ukiwa na hela watu watakupa heshima,kukubabaikia wao hawajali unapataje hela
Ona juzi wale masharo na visista duh walivyopandishwa kisutu wasani wa bongo
Movie na machawa wa mjini walienda kuwalilia

Ova
Utasikia mtoto wa flani ni smart
 
Tamaa mbaya huyo demu alimuacha jamaa na mtoto wa kike akaenda kuolewa na wauza unga sasa kiko wapi?
Tujifunze kurithika na tulivyonavyo tamaa mbele mauti nyuma
Yaani aliacha msomi. Jamaa kasoma na sister zangu pale Shycom then akasoma pale UDSM Bcom .Yule kaka alishaoa. Shamimu akaenda kwa wa la saba mtaka shortcut huyu mtu wa magomeni muuza unga. Tena Shamimu atakuwa anajutia sana.
 
Back
Top Bottom