Butimba Mwanza?Wale washapotea....labda itoke maajabu gani sijui..
Nashanga watu humu wanashanga hawa kupigwa maisha wakt kuna watu wana list ya watu zaidi ya 10 wamepigwa maisha
Tena huyo shamim ana hatihati ya kpelekwa butimba huko ndiko gereza wanawake hupelekwa
Ova
4yrs?Three to 4 years....
appeal za criminal
Wanaume kwa dar utaanzia ukongaButimba Mwanza?
Na mumewe anapelekwa wapi?
Shamimu ataachiwa na mahakama ya Rufaa, kwakuwa hakujua kama mume wake ni PUSHA.Mahakama Kuu Divisheni ya Makosa ya Rushwa na Uhujumu Uchumi (Mahakama ya Mafisadi), imewahukumu kifungo cha maisha Mafanyabiashara Abdu Nsembo na Mkewe Shamim Mwasha baada ya kutiwa hatiani kwa makosa ya kujihusisha na dawa za Kulevya aina ya Heroin .
Pia mahakama hiyo imetoa amri ya kutaifisha mali za Wahukumiwa ikiwemo gari aina ya Discover 4 ili liwe mali za Serikali, huku dawa hizo zikitakiwa kuteketezwa.
Hukumu ya kesi hiyo namba 4 ya mwaka 2020, imetolewa Jaji Elinaza Luvanda baada ya kusikiliza hoja za pande zote mbili kati ya Jamhuri na Utetezi na kujiridhisha kwamba Watuhumiwa wamekutwa na hatiani katika makosa mawili ya usafirishaji dawa za Kulevya.
Wawili hao walishtakiwa baada ya kudaiwa Mei Mosi, 2019 wakiwa eneo la Mbezi Beach, Wilaya ya Kinondoni, jijini DSM kinyume na sheria ya uhujumu uchumi walikutwa na dawa hizo.
Ikumbukwe hapa JF kupitia Member wake wanawafahamu fika.
Pia soma
Shamimu ndo Mastermind wa hii biznes, waulize mabinti alokuwa nao China watakuambia.Shamimu ataachiwa na mahakama ya Rufaa, kwakuwa hakujua kama mume wake ni PUSHA.
shamimu amewekwa hatiani kwakuwa alikuwa anamkingia kifua mumemwe of which kwa wanandoa ni kitu cha kawaida.
Wengine inabidi kukaa kimya maana tutaonekana tuna wivu. Ila nachoweza kukuambia ni kuwa huyo shamimu humjui vizuriShamimu ataachiwa na mahakama ya Rufaa, kwakuwa hakujua kama mume wake ni PUSHA.
shamimu amewekwa hatiani kwakuwa alikuwa anamkingia kifua mumemwe of which kwa wanandoa ni kitu cha kawaida.
sema tu jomba, Shamim alikuwa anatuambia tuweke elf 30 kila siku kwenye kibubu,Wengine inabidi kukaa kimya maana tutaonekana tuna wivu. Ila nachoweza kukuambia ni kuwa huyo shamimu humjui vizuri
Basi ametuharibia sana watoto wetu, yaani, ila kapata muda mzuri huko Gerrezani ampe Yesu maisha yake, aokoke.Shamimu ndo Mastermind wa hii biznes, waulize mabinti alokuwa nao China watakuambia.
Tatizo wabongo ukiwa na hela watu watakupa heshima,kukubabaikia wao hawajali unapataje helaWengine inabidi kukaa kimya maana tutaonekana tuna wivu. Ila nachoweza kukuambia ni kuwa huyo shamimu humjui vizuri
Kesi ya rufaa kusikilizwa na hukumu hutoka ndani ya mwezi mmoja4yrs?
Ndo hukumu sio?
Mama Samia aendelee hapo hapo alipoishia magu kwenye Hawa wauza ngadaTatizo wabongo ukiwa na hela watu watakupa heshima,kukubabaikia wao hawajali unapataje hela
Ona juzi wale masharo na visista duh walivyopandishwa kisutu wasani wa bongo
Movie na machawa wa mjini walienda kuwalilia
Ova
Kwaiyo bora ange kausha ila madawa hatari sana sana aisee!Kukiri kosa haikufanyi usihukumiwe
Utoto mtupu wakati watu walikuwa wanaenda vyema kabisaMBONA UZI UMEVAMIWA NA MATUSI
ngoja tuwaachieni uzi wenu
Ova
Kweli kabisa mkuuHapa ndiyo anakosea, kuna vitu havipaswi kutamka. Wale kule juu wakipata hayo maneno wanaweza jenga stigma;
Hivi hawa huwa wa kifa wana kabidhiwa ndugu zao au huwa inakuwaje mkuu?Wale washapotea....labda itoke maajabu gani sijui..
Nashanga watu humu wanashanga hawa kupigwa maisha wakt kuna watu wana list ya watu zaidi ya 10 wamepigwa maisha
Tena huyo shamim ana hatihati ya kpelekwa butimba huko ndiko gereza wanawake hupelekwa
Ova
Hata mie nashangaa jamaniKwanini hukwenda kutoa ushahidi mahakamani kuwa Makonda aliwawekea haya madawa? Pia mbona nasikia mwanaume alikiri kuwa anafanya biashara ya madawa?? Mkuu acha udaku.
Utasikia mtoto wa flani ni smartTatizo wabongo ukiwa na hela watu watakupa heshima,kukubabaikia wao hawajali unapataje hela
Ona juzi wale masharo na visista duh walivyopandishwa kisutu wasani wa bongo
Movie na machawa wa mjini walienda kuwalilia
Ova
Yaani aliacha msomi. Jamaa kasoma na sister zangu pale Shycom then akasoma pale UDSM Bcom .Yule kaka alishaoa. Shamimu akaenda kwa wa la saba mtaka shortcut huyu mtu wa magomeni muuza unga. Tena Shamimu atakuwa anajutia sana.Tamaa mbaya huyo demu alimuacha jamaa na mtoto wa kike akaenda kuolewa na wauza unga sasa kiko wapi?
Tujifunze kurithika na tulivyonavyo tamaa mbele mauti nyuma