ISO M.CodD
JF-Expert Member
- Feb 17, 2013
- 7,845
- 16,942
Taratibu. Zipo camera zente sautiAngekaza tu mzee baba. CCTV camera kitu gani. Hazina sauti na hazitoi detaiz za ulichonacho .. hata kama unga kwa CCTV bado nakukataa labada kama CCTV zinazo scan na ku display details za mzigo ila hizi za kawaida na kukataaa tu. Ligi ingemtoa kwenye kifungo cha maisha.. sasa Shamimu ndio atomb.wi tena hadi afie huko ? au wanatutania
Naomba kuona za Eminem,Fat Joe, Joe ThomasKatoka rehab amenenepa sana, ungeona picha za miaka kama mitano hivi iliyopita
Haujambo binti ?Ni aje mrembooo
Eti hakunini ?Wakati alijua kabisa mmewe kajificha dalini. Akawadanganya maafisa kuwa kasafiri.Shamimu ataachiwa na mahakama ya Rufaa, kwakuwa hakujua kama mume wake ni PUSHA.
shamimu amewekwa hatiani kwakuwa alikuwa anamkingia kifua mumemwe of which kwa wanandoa ni kitu cha kawaida.
Machaptaa hapo katisha Sana, yupo nchi gani au ni siri?Mchpta alikula kona...alikuwa ashanza kjenga gorofa like pale nyuma ya mwanmbka home alone muda naona limesimama
Ila h.p kali ndy yuko sgednce
Machpta mshnz sn
Ova
Niko poa mrembooo wanguHaujambo binti ?
Sheria huwa haina hukumu tofauti ya hela ndogo au kubwa!
kwani upelelezi wa shauri uliwahusu me/ke au m1?Shamimu ataachiwa na mahakama ya Rufaa, kwakuwa hakujua kama mume wake ni PUSHA.
shamimu amewekwa hatiani kwakuwa alikuwa anamkingia kifua mumemwe of which kwa wanandoa ni kitu cha kawaida.
Ndio nafahamu. Ukweli kamera nyingi zinafungwa kienyeji sana. Hata hizo zenye sauti. Kwa upande wa CCTV bado tupo nyuma sanaTaratibu. Zipo camera zente sauti
Leo nilikuwa naangalia mida ya mchana,inaoneshwa lini na sangapi mkuu
Punguza kujudge ndugu yanguBe responsible, si kila makosa ya mwanaume lazima zigo atupiwe mwanamke. Angeweza kuchagua njia nyingine sahihi.
Hizo ni tabia ya kuwa over ambitious, umiliki kila kitu kizuri kuanzia mke, nyumba, magari, umwamba, heshima etc. Ndizo huwapekelea watu kujiingiza katika biashara hizi.
Tabia ya kuwa over ambitious zipo kwa jinsia zote ndio maana kila leo watu hufanya mambo illegal ili wapate pesa nyingi, Shamimu ni mdada wa mjini hasa, alimuacha mume wake wa mwanzo ili aolewe na Abdul, wote walioana wanapenda makubwa kwa njia yoyote ile, here we are.
Hiko chuma bwana jamaa ana wanyoosha kweli kweli nakumbuka lile action alilo lifanya kule arusha wazee wananpanda milima kama hiece imekamata lami....usiombe kukutwa na bwana Pepsi [emoji116]View attachment 1740803
Nimejudge nani?Punguza kujudge ndugu yangu
kunawatu wanawadharau dcea niwaàmbie tuu huko hakuna kilaza na hawabaatishi kaziHiko chuma bwana jamaa ana wanyoosha kweli kweli nakumbuka lile action alilo lifanya kule arusha wazee wananpanda milima kama hiece imekamata lami....
Action nyingine alivyo wadaka wale jamaa pale kimara, jamaa walikuwa na mzigo mkubwa na waliujengea min base ila mkali wa kazi aliwanyakua.
Hakika kiongozi ana stahili kongole ...
Hukumu iliyotolewa ni kali sana. Ningekua Hakimu ningewapunguzia kidogo
Na vipi watoto wa wengine walioathiliwa na madawa hayo.Jamani watoto wao, Kheri Shamim angetoka awalee watoto.
Huyo jamaa sijui alikua pusha wao maana anaonekana kuumizwa na hukumu ilihali anakili walikua wanauza unga.Si kweli kuna hadithi nyingi tu zikimhusisha huyu Abdul na unga, fuatilia. Shamim ina maana alijua hilo.
Inaonekana gari ndo ilikua inatumika kwenye mishe.Wametaja gari tu ,ina maana nyumba walikuwa hawana?
Ubaya wa hii biashara unaweza kula na system ya wana usalama kwa kitambo kirefu mno, ila uongozi ukibadilika tu unaliwa kichwa chapu, kuna ambao walisanuliwa kuwa mambo sio wakaushe ila huyu bwana anaonesha alikuwa na asili ya kiburiHuyo jamaa sijui alikua pusha wao maana anaonekana kuumizwa na hukumu ilihali anakili walikua wanauza unga.