Hapo na bangi imo? Sasa hivi kwenda jela rahisi sanaNiliona video moja baada ya hukumu dada huyo aliangua kilio balaa ila mshikaji akawa anasema yy alijua yatatokea yaliyo tokea na anasema watakata rufaa kwa kuwaaamuzi ni ya jaji mmoja
Duh nikasema huenda watu wanafanya ma dili bila kujua sideeffect endapo ukitiwa mikononi mwa dola
Sheria mpya inasema mtu akikutwa na madawa kiwango cha gramm 200 + adhabu yake ni jela maisha
Na mtu akikutwa na madawa kiwango cha gram 200 (kushuka chini) jela miaka 30.
Hapa kweli serikali imeamua kutokomeza biashara hii haramu
Kujitoa tu fahamu Ili na wengine waone ni rahisi kutoka wadabwe wakaungane, huyo mama kile chama chake cha Land fashions waendelee kumpetipeti na kumuangalizia watoto.Niliona video moja baada ya hukumu dada huyo aliangua kilio balaa ila mshikaji akawa anasema yy alijua yatatokea yaliyo tokea na anasema watakata rufaa kwa kuwaaamuzi ni ya jaji mmoja
Duh nikasema huenda watu wanafanya ma dili bila kujua sideeffect endapo ukitiwa mikononi mwa dola
Sheria mpya inasema mtu akikutwa na madawa kiwango cha gramm 200 + adhabu yake ni jela maisha
Na mtu akikutwa na madawa kiwango cha gram 200 (kushuka chini) jela miaka 30.
Hapa kweli serikali imeamua kutokomeza biashara hii haramu
Alikuwa anawapa moyo hata ndugu zake kuwa wasilie...labda laywer wake kamwambia atachomoka kwenye appeal u never know[emoji1745]Kujitoa tu fahamu Ili na wengine waone ni rahisi kutoka wadabwe wakaungane, huyo mama kile chama chake cha Land fashions waendelee kumpetipeti na kumuangalizia watoto.
Hapo pamoja na bange yaan sasa iv nawaoneaa huruma vijana wanao tembea na misokoto hawalijui hiliHapo na bangi imo? Sasa hivi kwenda jela rahisi sana
Sasa kiongozi unajua kinacho gharimu ni serikali kutumiaa pesa nyingi kununuaa madawa ambayo hayananulazima sababu mtu akitumia ngada inakuwa starehw kwake ila adhari zake ni madhara kwa wengine na taifa kwa ujumla so nyundo ni muhimu sanaaaaSema hapa tz tunaoneana tu huko mtu anakutwa na tani 2 na bdo anafungwa 11yrs na bdo anaweza kutoka kablaView attachment 1743042
Wengi hawalijui hili..wanadhani watu wote wanakuwa addicted kwa kupenda kwao tu..Kuna wajinga wachache humu wanasema eti mateja wote wamejitakia wenyewe...hawa wazungu wa unga wana mbinu nyingi kweli...hiyo heroine mtu akikuchanganyia kwenye kitu chochote hata chakula au kinywaji mara kadhaa tu unanasa na utakuwa unataka kwenda kula kwake kila siku...ina uwezo kumfanya kuwa addicted akiitumia mara nne tu...na ndio mbinu mara nyingi hawa jamaa wanatumia...Huko kwenye mastarehe watu wanaekewa sana madude basi tu sir God naye anasaidia
Eeenhh bwana eeenh.huyu dada alikua na kamsemo kake
ni bora kulia kwny range kuliko kulia kwenye bodaboda
aisee hakujua yajayo mtoto wa watu
Hao sio dili, anatafutwa mwenye visentiHapo pamoja na bange yaan sasa iv nawaoneaa huruma vijana wanao tembea na misokoto hawalijui hili
Unajidungaga mkuu?[emoji848]Acha wafungwe tu kwanza kitu nzuri OG wanapeleka Ulaya na South huku kitaa wanatuuzia feki.
Haahaahaahaa[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]huyu dada alikua na kamsemo kake
ni bora kulia kwny range kuliko kulia kwenye bodaboda
aisee hakujua yajayo mtoto wa watu
pesa ilikua inamtia upofu hakuweka akiba ya manenoHaahaahaahaa[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Hapana.Unajidungaga mkuu?[emoji848]
Kuna madogo wiki iliyopita wamehukumiwa miaka 30 kwa kesi ya bangi...walikamatwa na misokoto mia mbili ya bangi huko babati. (hii ujazo wake ni kama packet kumi tu za sigara)Hao sio dili, anatafutwa mwenye visenti
Hahaha juzi manyara kuna madogo wamekutwa na misokoto kadhaa wamepigwa nyundo 30 kila mmoja hii sheria haiangalii mwenye nqvyo au asiye navyoHao sio dili, anatafutwa mwenye visenti
Mbona ni tofauti sana unachokisema wewe na maelezo yaliyotolewa na kamishina jenerali wa kitengo cha kuzuia madawa?Inauma na inachoma shamimu kufungwa maisha na dada wa watu hauzi Unga na aliewaekea Unga ni makonda huyu makonda huyu Mungu atamuonesha kabla hajafa na uzao wake ni Roho mbaya sana.
Madawa ni madawa hakuna cha OG wala fekiAcha wafungwe tu kwanza kitu nzuri OG wanapeleka Ulaya na South huku kitaa wanatuuzia feki.
100% mkuu maisha ni kuamua.Madawa ni madawa hakuna cha OG wala feki
Zote ukitumia zina athari mbaya....
Ova