Shamimu Mwasha na Abdul Nsembo wahukumiwa kwenda jela maisha baada ya kukutwa na hatia ya kusafirisha Dawa za Kulevya

Kuna madogo wiki iliyopita wamehukumiwa miaka 30 kwa kesi ya bangi...walikamatwa na misokoto mia mbili ya bangi huko babati. (hii ujazo wake ni kama packet kumi tu za sigara)
Ukiona hivyo ujue hawakuwa na pesa ya dhamana.
 
Vipi kuhusu YANGA OMARY na KIBOKO hio sheria mpya kwanini kwao haikutumika ?
Mana Yanga kafungwa miaka 30 na kiboko miaka 20 ila mali zake zimeachwa

Sent from my SM-J610F using JamiiForums mobile app
 
Umemalizaaa....!!!!
 
Amin
 
Kabisaaa
 
Waliokwapua mabilioni vipi? Waliongiza hasara taifa kwa mikataba hovyo wapo wapi?

Ndo maana Taifa lina laana hili.
 
Makonda na team yake waliwaekea Madawa ya kulevya kweli nsembo alikuwa anauza Unga na sio shamimu Sema nsembo hakuwa na Unga ndani kawekewa na kina makonda na team yake inauma sana na Mungu atamlipa makonda na uzao wake
Kama alikuwa anauza kweli,Basi hata Kama aliwekewa madawa ni sawa tu,kufungwa kwake maisha ni faida kwa Taifa,kwani cargo za madawa mtaani zitakuwa zimepungua kiasi fulani.
 
Kweli kabisa mkuu. Na hu ndiyo msiba mkubwa zaidi tulio nao kwa sasa kama taifa.

Hawa viumbe kwa sasa hawana utu kabisa. Wanapenda pesa zaidi ya mfuko wenyewe au benki.

Ushenzi wao huu ndiyo umetufanya hata sisi kuhangaika na pengine kutumia hata njia zisizo halali

kujipatia kipato japokuwa ni dhambi kwa mwenyezi MUNGU.

Karibu kila mwanamke sasa hivi anataka kukaa Masaki au Mbezi Beach. Haiwezekani
 
Nina shuhuda nyingi watu wamedakwa na stick 300+ na bado wapo mtaani.
Hizo zinamalizwa polisi kiuungwana...ikienda mahakamani ni habari nyingine, hapo labda ushahidi usijitosheleze, kwahiyo bado huruma ya polisi inahusika...ila wakiamua kukukomalia, nyundo nyingi zitakuhusu...ila kiukweli kumfunga mtu miaka mingi kwa kesi ya bangi ni uonevu..hiyo sheria iangaliwe upya
 
Makonda na team yake waliwaekea Madawa ya kulevya kweli nsembo alikuwa anauza Unga na sio shamimu Sema nsembo hakuwa na Unga ndani kawekewa na kina makonda na team yake inauma sana na Mungu atamlipa makonda na uzao wake
Dah, kwa hiyo unatala kusema ameonewa?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…