Shamimu Mwasha na Abdul Nsembo wahukumiwa kwenda jela maisha baada ya kukutwa na hatia ya kusafirisha Dawa za Kulevya

Sijui kisheria imekaaje ila wanaweza kukata rufaa kureview hukumu, sina hakika na muda wa kukaa rufaa ni muda gani au wakati wowote unaweza kukata rufaa mahakama ya juu kureview hukumu ya mtu.
 
Hizi adhabu ndiyo walitakiwa wapewe Mafisadi wa Mali za Umma huko serekalini!!
 
kama imethibitika kabisa pasi na shaka kwamba walikuwa ni pusha,basi hiyo hukumu pengine ni ndogo pia. Hasa ukianza kuwaangalia matejanwanavyo hangaika na drugs adiction.Pushas wanastahili huku kalo.
Kwan pusha anamlazimisha teja kununua madawa?? Yeye anauza tu anataka hela, hilo la matumizi mtajua wenyewe....pusha hana makosa
 
Hawa wauza sembe wanaenda jela maisha. Wale washenzi wanaokula pesa za wananchi wapo mijini wakitesa na V8 za rushwa na ufisadi huku wakitimulia mavumbi wananchi wenye njaa kali.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…