Ndio hivyo the temptations ni too much kaka....ukija huku biashara za kawaida profit ya 30% wakati wee umezoea 1000% profit unaona unacheza tuu.Hilo linaeleweka
Ila mwisho wa biashara hiyo
Ni mmbayaa hata utengeneze trilions
Ova
kilikua kichaka kile, sawa na hawa wenye maduka ya nguo kino na sinzaHuyo dada si ndo yule alikua motivesheno spika huko Instagram akaanzisha kitu kinaitwa #zezekibubuchallenge akawaambia watu waweke akiba kwenye vibubu ili wale bata Kama yeye? Duh ase kweli dunia hii kupata utajiri wa halali ni mziki mzito , kila tajiri anasiri nyuma ya pazia.
Anyway hata hivyo alishakula sana maisha hapo kabla katembea sana huko London
Hio picha ukimwangaia tu ana nyege...ila jela msije ndugu zangu😀😀😀😀 yani sasa hivi hata uki mkumbatiantu, anamwaga mamajii mwaaaa.. ukigusisha ka kichwa hizo kelele zakw sasa .. noma sanaaa.. acha nipambane nije nimtoe
Mume wake Ni muuza unga maarufu wa siku nyingi, wewe unawafahamu vzr hadi umsingizie makonda?Inauma na inachoma shamimu kufungwa maisha na dada wa watu hauzi Unga na aliewaekea Unga ni makonda huyu makonda huyu Mungu atamuonesha kabla hajafa na uzao wake ni Roho mbaya sana.
Dah maisha haya 🙌...Ndio nami ninapochoka hapo Mkuu! Gramu chache hizo alizokamatwa Nazo ndio kifungo cha Maisha???
Hawa yunaowasikia kuwa wanavusha kwa magunia na makonteina?
na akikaa sana bila kuona mb oo, bikra inarudi automatikali, baada ya miaka 10 anakua m bichi kama wa form 1 vile😀😀😀😀 yani sasa hivi hata uki mkumbatiantu, anamwaga mamajii mwaaaa.. ukigusisha ka kichwa hizo kelele zakw sasa .. noma sanaaa.. acha nipambane nije nimtoe
Boya yule nasikia alikiri makosa kwa DPP acha akanyee ndoo tu. Angetulia apambane mahakamani hadi mwisho. Ukikili umejimaliza..Naimani akikata rufaaa atapenya awe na wakili mwelewa wa mambo
Kwani we uko jela Mkuu?Hio picha ukimwangaia tu ana nyege...ila jela msije ndugu zangu
HapanaKwani we uko jela Mkuu?
Be responsible, si kila makosa ya mwanaume lazima zigo atupiwe mwanamke. Angeweza kuchagua njia nyingine sahihi.
Hizo ni tabia ya kuwa over ambitious, umiliki kila kitu kizuri kuanzia mke, nyumba, magari, umwamba, heshima etc. Ndizo huwapekelea watu kujiingiza katika biashara hizi.
Tabia ya kuwa over ambitious zipo kwa jinsia zote ndio maana kila leo watu hufanya mambo illegal ili wapate pesa nyingi, Shamimu ni mdada wa mjini hasa, alimuacha mume wake wa mwanzo ili aolewe na Abdul, wote walioana wanapenda makubwa kwa njia yoyote ile, here we are.
Sa mbona unatukataza tusije jela au ndo unaogopa tusikuharibie mingo yako kwa mtoto mzuri Shamim?Hapana
Mie namuomba Mungu kila siku hata mahabusu aniepushe nayo. Mtoto kalegea, hapo leo chakula hakipandi, usingizi haupandi.. yaani maisha yameisha rotate 360⁰Hio picha ukimwangaia tu ana nyege...ila jela msije ndugu zangu
Katika kitu nachosifu serikali ni kwenda sawa na wauza unga. Hivi kabaki nani?Hii code nilipata mapema sana dah....
Ova
Hatari tupu. Mungu atuepusha na mabaraa hayaNoma sana!