Mac Bully 001
JF-Expert Member
- Jun 26, 2012
- 6,537
- 13,004
What goes around, comes around! Maisha ya raia wameyatupa kama mchezo, duhDu! Hio hukumu sio mchezo,hata hivyo athari ya madawa ya kulevya kwa jamii ni kubwa sana,watoto wa watu wanakufa wengine wanakuwa vichaa