Shamimu Mwasha na Abdul Nsembo wahukumiwa kwenda jela maisha baada ya kukutwa na hatia ya kusafirisha Dawa za Kulevya

Shamimu Mwasha na Abdul Nsembo wahukumiwa kwenda jela maisha baada ya kukutwa na hatia ya kusafirisha Dawa za Kulevya

images - 2021-03-31T213536.703.jpeg


Karibuni mtaani madogo.
 
Makonda na team yake waliwaekea Madawa ya kulevya kweli nsembo alikuwa anauza Unga na sio shamimu Sema nsembo hakuwa na Unga ndani kawekewa na kina makonda na team yake inauma sana na Mungu atamlipa makonda na uzao wake
wangeshinda kesi ungesema mahakamani imetembea rushwa!!
 
Chief, vipi ile kesi ya yule mume na mkewe waliokamatwa China (sina hakika) wakiwa na mtoto mdogo na mtoto akarudishwa na ubalozi hapo nyumbani Tz, imeendaje?

Kipindi kile watu humu walisupport maamuzi ya China (?) juu ya hukumu yao ila hapa tunatetea yaleyale??
Watanzania wanafiki Sana ndugu .

We angalia. Jinsi mwendazake alivyokuwa anakandamiza watu nankapoteza Sana watu kwenye msiba vimejiliza na kuzimia kabisa [emoji1]

Watz wanafiki kweli kweli

Sent from my TECNO P703 using JamiiForums mobile app
 
Ni Mwanadamu pekee ameumbwa na free will. Malaika ni kama weak Artificial Intelligence ambayo inakua assigned kwa task fulani. Lakini Mwanadamu ni kama strong artificial intelligence ambayo hua much bigger kwenye task zake haipo custom assigned to do something.

Nikekujibu??

Forever and for always;

Human Being = Complex Creature.

Mafungamano yako na positive & negative influences zake!

Ndio DUNIA na Maajabu yake!!!
 
Kama kuna hukumu ya mtu kuwa ‘Sadist’ basi ianze na mume wa Shamimu then Yeye Shamimu ni accomplice wa Sadist!

Easy Chief.
Wote huwa tunakosea in Life, na mtu kupatwa na janga ka mitiani ya maisha si Jambo la kufuraia
 
Mahakama Kuu Divisheni ya Makosa ya Rushwa na Uhujumu Uchumi (Mahakama ya Mafisadi), imewahukumu kifungo cha maisha Mafanyabiashara Abdu Nsembo na Mkewe Shamim Mwasha baada ya kutiwa hatiani kwa makosa ya kujihusisha na dawa za Kulevya aina ya Heroin .

Pia mahakama hiyo imetoa amri ya kutaifisha mali za Wahukumiwa ikiwemo gari aina ya Discover 4 ili liwe mali za Serikali, huku dawa hizo zikitakiwa kuteketezwa.

Hukumu ya kesi hiyo namba 4 ya mwaka 2020, imetolewa Jaji Elinaza Luvanda baada ya kusikiliza hoja za pande zote mbili kati ya Jamhuri na Utetezi na kujiridhisha kwamba Watuhumiwa wamekutwa na hatiani katika makosa mawili ya usafirishaji dawa za Kulevya.

Wawili hao walishtakiwa baada ya kudaiwa Mei Mosi, 2019 wakiwa eneo la Mbezi Beach, Wilaya ya Kinondoni, jijini DSM kinyume na sheria ya uhujumu uchumi walikutwa na dawa hizo.

Ikumbukwe hapa JF kupitia Member wake wanawafahamu fika.

Pia soma
✔️
 
Nitunge uwongo upi na ili unisaidie nini? sasa we ma.laya mzee muuza chapati na u.chi

Wewe ndo maana unatukanwaga humu, sababu ya kimbelembele na kudandia visivyokuhusu

Ndo maana uliambiwa una michapati myeusi michafu kama wewe watu hawazitaki

Domo chafu, michapati mibaya, lione kazi kujichekesha chekesha mfyuuu..
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Sent from my TECNO P703 using JamiiForums mobile app
 
Ni Mwanadamu pekee ameumbwa na free will. Malaika ni kama weak Artificial Intelligence ambayo inakua assigned kwa task fulani. Lakini Mwanadamu ni kama strong artificial intelligence ambayo hua much bigger kwenye task zake haipo custom assigned to do something.

Nikekujibu??
Funguka kiupana zaidi hapa mkuu
 
Watanzania wanafiki Sana ndugu .

We angalia. Jinsi mwendazake alivyokuwa anakandamiza watu nankapoteza Sana watu kwenye msiba vimejiliza na kuzimia kabisa [emoji1]

Watz wanafiki kweli kweli

Sent from my TECNO P703 using JamiiForums mobile app
Kwa hiyo ww una kipimo cha kupima feelings au uchungu wa mtu?
 
Back
Top Bottom