Shamimu Mwasha na Abdul Nsembo wahukumiwa kwenda jela maisha baada ya kukutwa na hatia ya kusafirisha Dawa za Kulevya

Shamimu Mwasha na Abdul Nsembo wahukumiwa kwenda jela maisha baada ya kukutwa na hatia ya kusafirisha Dawa za Kulevya

Shamimu simshangai kumuacha huyu baba maana hatujui yaliyokuwemo na huwa sishauri kukaa kwenye vitu visivyoekeweka,ilala mwanaume darasa la saba hata awe na pesa bado havutiii
Kuna kitu kinapungua
Kabisa anakuwa na upeo mdogo sana wa akili, hata kuanalse mambo inakuwa ishu!

Tena kwa mwanaume inabidi ubukue buku asee, coz we ndo kiongozi wa family na unakumbana na mambo kibao duniani[emoji848]

Sasa la saba B mweeh, sijui huko mahakamani alikuwa anaongea utopoloo gani
 
Shida kubwa nikwa Watoto wao bado wadogo....
FB_IMG_1603459589627.jpg
 
Wale wa Kimara nao wasubirie Maisha.
Pamoja na yote hayo bado watu wanaendelea na hiyo biashara
Ah chief wale lazima maana walikutwa na mzigo mzitoo na ilisemekana jamaa walifukuzwa mara ya kwanza wakatoroka sasa ile ilikuwa ndio siku ya 40 yao sijui huko waliko wana hali gani
 
Na wanaokufa kwa kutumia madawa ya kulevya mitaani hawana watoto ?

Msituletee ujinga hujawa na ndugu yako alieathirika kwa madawa ya kulevya. Ningekuwa raisi familia yako inabidi iuliwe Kama ukikutwa na madawa ya kulevya ..
Kweli we ni Kim Jong, haaaa 😁 familia nzima iuliwe kwa kosa la. Mtu mmoja
 
Nani kakudanganya adhabu haipungui kama una watoto wanakutegemea?? Sheria inayo huruma ndio maana kuna wakati wa mitigation. Kuna sababu zinazofanya adhabu ipungue. Hapo itakua inaangaliwa mitigating factors vs aggravating factors na sheria inatoa ukomo gani wa adhabu kwa kosa hilo lilofanywa.
Nyie Mabush Lawyer hamnaga common sense kabisa.

Sasa ushaambiwa minimum sentence ni life imprisonment......sasa unaMitigate ili iweje??? Kama sio kupoteza muda?? Sheria ipo very clear adhabu life behind bars sasa itakupunguaje??

Ushasoma Minimum Sentence Act, 1972?????

Sent from my SM-A505F using JamiiForums mobile app
 
Nyie Mabush Lawyer hamnaga common sense kabisa.

Sasa ushaambiwa minimum sentence ni life imprisonment......sasa unaMitigate ili iweje??? Kama sio kupoteza muda?? Sheria ipo very clear adhabu life behind bars sasa itakupunguaje??

Ushasoma Minimum Sentence Act, 1972?????

Sent from my SM-A505F using JamiiForums mobile app
Umefatilia lakini nilichokua nakijibu au umeamua kuropokwa asubuhi asubuhi.

Hata kesi za murder ambayo adhabu yake ni kunyongwa mpaka kufa wana mitigate. Mitigation ni swala lililowekwa kisheria huwezi kulikwepa haijalishi adhabu imewekewa ukomo kiasi gani na hiyo Minimum Sentence Act uliyoitaja. Na baada ya kumitigate mtoa maamuzi atatoa maamuzi yake na kama sheria inamfunga atasema pia ingawa maombi ya kupunguziwa adhabu yana mashiko ila sheria ina mfunga.

Haya mambo utaelewa ukianza kupractice mdogo wangu. Sasa hivi endelea kusoma madesa kwanza.

Na hiyo Sheria uliyoitaja ukiisoma wewe inatosha maana mimi umesema ni bush lawyer na sina common sense nikasome nini sasa.
 
Umefatilia lakini nilichokua nakijibu au umeamua kuropokwa asubuhi asubuhi.

Hata kesi za murder ambayo adhabu yake ni kunyongwa mpaka kufa wana mitigate. Mitigation ni swala lililowekwa kisheria huwezi kulikwepa haijalishi adhabu imewekewa ukomo kiasi gani na hiyo Minimum Sentence Act uliyoitaja. Na baada ya kumitigate mtoa maamuzi atatoa maamuzi yake na kama sheria inamfunga atasema pia ingawa maombi ya kupunguziwa adhabu yana mashiko ila sheria ina mfunga.

Haya mambo utaelewa ukianza kupractice mdogo wangu. Sasa hivi endelea kusoma madesa kwanza.

Na hiyo Sheria uliyoitaja ukiisoma wewe inatosha maana mimi umesema ni bush lawyer na sina common sense nikasome nini sasa.
Kupractice nini sasa??? Mimi sio Lawyer ila i know the letters of the law.

Wewe ndie unayesema wamitigate.....wakati hata ukimitigate haipunguzi kitu. Unaanza kuleta mambo ya mitigating na aggravating factors hapa tukuone wewe msomi.

Mitigation maana yake ni ulie lie ili mahakama ikuonee huruma ili ikupunguzie adhabu.....sasa unajua kabisa hata ukilia machozi ya damu....adhabu ndogo kuliko zote utayopata ni life behind bars .....utakua na akili timamu kweli ukifanya mitigation wakati unajua it helps nothin??

Better save yo ass for the Appeal, fella!

Sent from my SM-A505F using JamiiForums mobile app
 
Kupractice nini sasa??? Mimi sio Lawyer ila i know the letters of the law.

Wewe ndie unayesema wamitigate.....wakati hata ukimitigate haipunguzi kitu. Unaanza kuleta mambo ya mitigating na aggravating factors hapa tukuone wewe msomi.

Mitigation maana yake ni ulie lie ili mahakama ikuonee huruma ili ikupunguzie adhabu.....sasa unajua kabisa hata ukilia machozi ya damu....adhabu ndogo kuliko zote utayopata ni life behind bars .....utakua na akili timamu kweli ukifanya mitigation wakati unajua it helps nothin??

Better save yo ass for the Appeal, fella!

Sent from my SM-A505F using JamiiForums mobile app

Hapo kupunguziwa adhabu mpka wakae hata ndani sio chini ya 15 years ndio unaweza kubahatisha kutoka kwa msamaha wa Rais
 
Kupractice nini sasa??? Mimi sio Lawyer ila i know the letters of the law.

Wewe ndie unayesema wamitigate.....wakati hata ukimitigate haipunguzi kitu. Unaanza kuleta mambo ya mitigating na aggravating factors hapa tukuone wewe msomi.

Mitigation maana yake ni ulie lie ili mahakama ikuonee huruma ili ikupunguzie adhabu.....sasa unajua kabisa hata ukilia machozi ya damu....adhabu ndogo kuliko zote utayopata ni life behind bars .....utakua na akili timamu kweli ukifanya mitigation wakati unajua it helps nothin??

Better save yo ass for the Appeal, fella!

Sent from my SM-A505F using JamiiForums mobile app
Kama sio lawyer kaa kimya. Halafu ungefatilia hiyo comment yangu ilipoanzia ungeelewa.
 
Makonda na team yake waliwaekea Madawa ya kulevya kweli nsembo alikuwa anauza Unga na sio shamimu Sema nsembo hakuwa na Unga ndani kawekewa na kina makonda na team yake inauma sana na Mungu atamlipa makonda na uzao wake

Au ikae hivi: wanaofanya biashara ya madawa ya kulevya na wanaonufaika na hiyo biashara huku wakijua wananufaika na hiyo biashara walaaniwe wao na vizazi vyao. Sawa?
 
Ndo Maana China wanapigwa risasi.
Tatizo hawa ni mastaa sijui wanajulikana. Na pia kuna mwanamke hapo ndo maana watu wanajileta na vihisi hisia vya majonzi kwamba wameonewa.
Ukweli ni Kwamba walikuwa wa nauza. Mke alijua na mume alijua. Kama waliokuja kuwekewa wakati wanakamwatwa basi ni michezo yao kugeukana. But wote ni wasukumaji.
Wakuwa onea huruma hapo ni watoto wao tu but sio hao coz hata hawakuwa na chembe ya huruma wakati wanawaua watoto wa wenzao kwa ajili ya pesa.
Hili tukio lingewahusu watu ambao hata hawana u maarufu bongo basi wala usingesikia kuwa eti adhabu ni kubwa.
 
Back
Top Bottom