luambo makiadi
JF-Expert Member
- Nov 28, 2017
- 10,602
- 8,798
Kesho sintakuwa na hela, twende keshokutwa.Kesho twende mbuzi Kwa Morombo mzee baba
Sasa umepanda ndege halafu huna hela, we kesho twende mi nalipa, halafu uumpitie na. Joseverest
Jombaa tulia kwanzaMbona hatuoni picha za kaskazini.... Tunaona comments tu...
Hapo umeongea sasa, ngoja nimstue jamaa...!Sasa umepanda ndege halafu huna hela, we kesho twende mi nalipa, halafu uumpitie na. Joseverest
Leo tar 16 mkuu..mapicha picha n kuanzia tar 20+ hukoMbona hatuoni picha za kaskazini.... Tunaona comments tu...
Nimemisi mbuzi, huku Ulaya nyama za kopoAzarel,
Kesho twende mbuzi Kwa Morombo, mzee baba
Nimemtag Kama mwangalizi wa umoja wa Mataifa[emoji3][emoji3]Umemtag mshana huyo mla makande atawatia nuksi tu bila kusahau kupanda milima ya kwao [emoji13][emoji13]
Pamoja daimaNatoka Matamba Njombe Ijumaa tar. 20, nitakuwa Makere - Kasulu kwa muda tarehe 24 natua Moshi kwa wasela, ndani ya Capricorn Hotel, Marangu
Kula wali nyama zipo chiniMbona hatuoni picha za kaskazini.... Tunaona comments tu...