Hapo Makere Kasulu Usishau Kuchukua Na Baruti Ya Kutumia Kwenye Fash Fash Mwaka MpyaNatoka Matamba Njombe Ijumaa tar. 20, nitakuwa Makere - Kasulu kwa muda tarehe 24 natua Moshi kwa wasela, ndani ya Capricorn Hotel, Marangu
Haha asante ndugu.... Japo sehemu yenye migomba mingi inaniogopesha usiku...
Haya, nawewe katerero tupia zako
View attachment 1298383View attachment 1298384View attachment 1298385
Sent using Jamii Forums mobile app
Hapa si upo uwani?X Mass ishanukia hapa Ruzinga, Missenyi. Mkaribie wapendwa ma great thinkers wa JF View attachment 1298257
Sent using Jamii Forums mobile app
Hilo jumba moja ndo limejaa kwenye Uzi wenu.Old school [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23].
Bukoba nzima hadi mjini kuna Hekalu Kama la mengi?
Sent using Jamii Forums mobile app
Umevaa zako jeans ya kuchovya af unakazana kubishana kuhusu magorofa, mkuu pambana ujiondoe hapo ulipo kwanza
Sent using Jamii Forums mobile app
Hapo Makere Kasulu Usishau Kuchukua Na Baruti Ya Kutumia Kwenye Fash Fash Mwaka Mpya
Hapa ni lake Duluti, sio Acapulco bay
View attachment 1298367View attachment 1298368View attachment 1298369
Sent using Jamii Forums mobile app
Hawa watu wanakelele nyingi Sana sijui moshi pameendelea kuliko pote.Mimi nipo hapa kwenye viwanja vya gofu Gymkhana ya Bukoba naenjoy likizo. Wazee wa kudownload picha mpo?? Karibuni uhayani View attachment 1298277
Sent using Jamii Forums mobile app
We mtu ni mshamba Sana .Umevaa zako jeans ya kuchovya af unakazana kubishana kuhusu magorofa, mkuu pambana ujiondoe hapo ulipo kwanza
Sent using Jamii Forums mobile app
Architectural sytle ya wazungu huwa ni nzuri sana na inavutia. Sijui sisi tunakwamaga wapi. Ukiangalia kinachojengwa Dodoma hadi utatamani kulia.