sundoka
JF-Expert Member
- Oct 9, 2011
- 2,067
- 2,759
Na kwa nini nifiche identity yangu??[emoji2368][emoji2368][emoji2368]
Sent using Jamii Forums mobile app
Pure mhaya
Sent using Jamii Forums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Pure mhaya
Camera = CameraSoma jina la uzi usilete mbege hapa. Kuna vitu vinachekesha! Yani mtu nipp eneo la tukio na nina simu yangu na canera yangu niache kupiga picha nianse kuingia google kutafuta picha?? Mnaficha vinanda vyenu vya mbao[emoji3][emoji3][emoji3]
Sent using Jamii Forums mobile app
Tupia na picha za katereroSoma jina la uzi usilete mbege hapa. Kuna vitu vinachekesha! Yani mtu nipp eneo la tukio na nina simu yangu na canera yangu niache kupiga picha nianse kuingia google kutafuta picha?? Mnaficha vinanda vyenu vya mbao[emoji3][emoji3][emoji3]
Sent using Jamii Forums mobile app
Barabara ya lami katika kijiji cha kanazi kata ya katerero huko bukoba vijijin sijui unataka nini tena
Usiemtaka kaja upo intanbul wape vitu hawa wachangamke wananiangusha sana hawa ndugu zangu arrawa maneno mengiiEti hakuna mkoa..... [emoji23][emoji23]
Hiv ulishawah fika bukoba vijijin,muleba na misenyi huko bila kusahau karagwe?
Mzee Baba tembea uone siku hiz mmezidi wahaya Kwa sifa
Sent using Jamii Forums mobile app
Kuna watu hasa wachaga waliona barabara ya kuelekea Kwa kina Ruge ikichongwa huko bukoba vijijin wakajinadi kwao kuna lami mpaka milangon[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Sent using Jamii Forums mobile app
Sibishan na watu wa vigunguti Mimi . Wazaramo waliotupwa huko mkuranga.Unatumia nguvu kusifia bukoba yako, sisi ambao sio wahaya wala wachaga tunajua moshi ni balaa nchi hii, huwa tunakuona kama kikaragosi unavyoumiza vidole kusifia kimji cha pembezoni
Sent using Jamii Forums mobile app
Hiyo aliyopost na greda juu huko vunja ni barabara ya lami?.
No za gari mbona hujafichaMoshi migombani tumeshaamka na ulevi mkononi.View attachment 1297939
Sent using Jamii Forums mobile app
Weee nawee tembetembea basi leta mapicha kama yote unaniangusha[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
instanbul
Kaka angu unanifurahisha sana siku zote hasa kwenye hiz ligi zetu.
Sasa hiyo waterfall mbona inaogopesha hata mtu kupiga nayo picha?
Ebu njoo Marangu bhana, Amazon forest.
Sent using Jamii Forums mobile app
Camera = Camera
Nianse = Nianze
Wewe kumbe hata kuandika huwezi siwezi kupoteza muda kujadili nawewe.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hawa watu wanakelele nyingi Sana sijui moshi pameendelea kuliko pote.
Mtu bukoba anaisikia Tu kwenye mitandao
Huku ni muleba vijijin vingi vimewekwa lami zaidi km 52 kutoka muhutwe, kamachumu, kishanda, kamachumu Hadi huko ndani Rubya.
Wapo wanapewa kiburi na takwimu za kupikwa[emoji23][emoji23]View attachment 1298443
Sent using Jamii Forums mobile app
Barabara ya lami katika kijiji cha kanazi kata ya katerero huko bukoba vijijin sijui unataka nini tenaView attachment 1298520
Sent using Jamii Forums mobile app
Nakuona unadownload picha za kwenye website!! Sasa sijui ndo shamra shamra zenu za X mass zipo kwa websites?? Naona screenshots kibao[emoji23]
Hivi nyie kama mnajua kwenu ni pabovu na hamtaweza kupiga picha na kutuonesha kinachoendelea kwa nini muanzishe nyuzi kama hizi? Ona sasa mnaumbuka hamna picha
Sent using Jamii Forums mobile app
Ha ha haaaa!! Usifananishe Muleba na uchafu wa Kilimanjaro mkuu. Huko Kibosho jamaa wamejenga nyumba chache lakini hizo kelele sasa. Kibosho kwanza ni kata tu[emoji23][emoji23][emoji23]Wawadanganye wasiopajua Kilimanjaro.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu hebu act kama mtu mzima hapa.
Umefika wapi wewe zaidi ya Kilimanjaro? Hebu tupitie kushoto mchaga uliyefeliUnatumia nguvu kusifia bukoba yako, sisi ambao sio wahaya wala wachaga tunajua moshi ni balaa nchi hii, huwa tunakuona kama kikaragosi unavyoumiza vidole kusifia kimji cha pembezoni
Sent using Jamii Forums mobile app
Watu wakisikia katerero wanafikiria ya kwao wakati hiyo kata ina maendeleo kuliko vijiji vyao vyoteDah! Umenikumbusha hiyo barabara nilipitaga naenda sehem moja inaitwa Kansenene. Pazuri sana mkuu
Sent using Jamii Forums mobile app