Hiv nyie mnaishi club na kwenye mbuga za hifadhi?Haya, nawewe katerero tupia zako
View attachment 1298383View attachment 1298384View attachment 1298385
Sent using Jamii Forums mobile app
Ila hii muleba sijui ina nini.Mimi nipo Kanyigo nshafika tangu jana nasubiri tar 25 nikale bata na Konde boy ndani ya Muleba. Nyie wanywa damu wa Kibosho msanii gani anaweza kuja huko[emoji3][emoji3][emoji3]View attachment 1298446View attachment 1298447
Sent using Jamii Forums mobile app
Wawadanganye wasiopajua Kilimanjaro.Ila hii muleba sijui ina nini.
Wilaya nzima ni rural area lakin watu wake wanaishi kimjini kuliko hata wakazi wa moshi mjini[emoji16] wilaya ina club nyingi mpaka migombani.
Wasafi festival,fiesta ,nandy festival vyote huishia muleba
Sent using Jamii Forums mobile app
Post tu Mkuu, kwani tulikubaliana kupost picha za mahala tunapolala?Hiv nyie mnaishi club na kwenye mbuga za hifadhi?
Au unataka tupost burigi chato hapa iliyotapakaa kagera kwa asilimia kubwa [emoji1787][emoji1787]
Hebu post vitu kama hiv huko vijijinView attachment 1298445
Sent using Jamii Forums mobile app
Post tu Mkuu, kwani tulikubaliana kupost picha za mahala tunapolala?
Sent using Jamii Forums mobile app
Wewe una janaba si bureNakuona unadownload picha za kwenye website!! Sasa sijui ndo shamra shamra zenu za X mass zipo kwa websites?? Naona screenshots kibao[emoji23]
Hivi nyie kama mnajua kwenu ni pabovu na hamtaweza kupiga picha na kutuonesha kinachoendelea kwa nini muanzishe nyuzi kama hizi? Ona sasa mnaumbuka hamna picha
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu unaelewa kinachoendelea kwenye huu uzi?? Wachaga mwafwaaaa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Sent using Jamii Forums mobile app
Wewe ulipata mimba ya Mchagga eeh...![emoji23][emoji23][emoji23]wachaga bado mnapiga mabaruti mwaka mpya vijijini?? Subiri mkesha wa mwaka mpya niwapostie kinachokuwa kinaendelea huku kwetu Bukoba vijijini.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hai,moshi vijijin ,siha plus rombo ni Sawa na nusu ya muleba Tu.Ha ha haaaa!! Usifananishe Muleba na uchafu wa Kilimanjaro mkuu. Huko Kibosho jamaa wamejenga nyumba chache lakini hizo kelele sasa. Kibosho kwanza ni kata tu[emoji23][emoji23][emoji23]Wawadanganye wasiopajua Kilimanjaro.
Sent using Jamii Forums mobile app
Btw hii jeans ni first class nimeagiza nje! Bongo hupati ya quality hii. We leta picha acha kutafuta pa kutokea malimbukeni wa Kaskazini nyieUmevaa zako jeans ya kuchovya af unakazana kubishana kuhusu magorofa, mkuu pambana ujiondoe hapo ulipo kwanza
Sent using Jamii Forums mobile app
Umeishiwa nini ? Acha matusi tupa picha hapa bwana.
Pure mhayaHii jeans unaifananisha na zile mnazovaa machalii wa chuga? Wachaga ni washamba sijawahi kuona[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Vijinz vinabana vimepaukaaaaaaBtw hii jeans ni first class nimeagiza nje! Bongo hupati ya quality hii. We leta picha acha kutafuta pa kutokea malimbukeni wa Kaskazini nyie
Sent using Jamii Forums mobile app
We mtu ni mshamba Sana .
Kwa hiyo ulitaka avaeje [emoji1787][emoji1787]
Hebu tuma picha ya kijiji chako
Sent using Jamii Forums mobile app
Nilijua utajibu Tu hivyo wew mzaramo wa vigungutiBahat mbaya nilizaliwa mjin, babu na bibi wamezikwa hapahapa town, umeridhika bwana katerero?
Sent using Jamii Forums mobile app
Ninachokiona hapa wahaya wanapost vitu vya kwenye mazingira yenyewe kioindi hiki wakati wachaga wanahaha na google kutafuta picha. Naona wana shamra shamra za X mass huko google. Maskini ulimi nje. Muache sifa za kuiga tena za kishamba[emoji41][emoji41]
Sent using Jamii Forums mobile app
Juzi hukumsikia jamaa wa ATCL anasema wameongeza route na ndege za kwenda mikoa ya Mwanza-Bukoba, Arusha na Kilimanjaro? Jamaa akasema kabisa kwa mfano Bukoba unapokea order ya familia moja wana book nafasi 15!!Ila hii muleba sijui ina nini.
Wilaya nzima ni rural area lakin watu wake wanaishi kimjini kuliko hata wakazi wa moshi mjini[emoji16] wilaya ina club nyingi mpaka migombani.
Wasafi festival,fiesta ,nandy festival vyote huishia muleba
Sent using Jamii Forums mobile app
Wewe una janaba si bure
Kwani picha za kudownload google hazikupigwa na Camera?
Hizo za kwenu mmezichora?
Sent using Jamii Forums mobile app