Shamra shamra za Krismasi 2019 Kilimanjaro

Camera = Camera

Nianse = Nianze

Wewe kumbe hata kuandika huwezi siwezi kupoteza muda kujadili nawewe.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Eti hakuna mkoa..... [emoji23][emoji23]

Hiv ulishawah fika bukoba vijijin,muleba na misenyi huko bila kusahau karagwe?

Mzee Baba tembea uone siku hiz mmezidi wahaya Kwa sifa

Sent using Jamii Forums mobile app
Usiemtaka kaja upo intanbul wape vitu hawa wachangamke wananiangusha sana hawa ndugu zangu arrawa maneno mengii

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Unatumia nguvu kusifia bukoba yako, sisi ambao sio wahaya wala wachaga tunajua moshi ni balaa nchi hii, huwa tunakuona kama kikaragosi unavyoumiza vidole kusifia kimji cha pembezoni

Sent using Jamii Forums mobile app
Sibishan na watu wa vigunguti Mimi . Wazaramo waliotupwa huko mkuranga.


Hiv kuna nyuzi ngap za kusifia moshi? Wao ndo wanatumia nguvu nyingi kuaminisha umma mpaka baadhi ya watu hujiona mbwa( sio chochote) mbele Yao( mfano wew) lakin wakijitokeza wababe wao ( wahaya) hukimbia Uzi na kuishia kupost nyumba ya mengi na wazungu wavaa chupi wanaokwenda kutalii mlima

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kula senene
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…