Monchengladbach
JF-Expert Member
- Jan 29, 2019
- 703
- 514
Hajui kuwa Hadi vijin Kuna lami? Alishazoea kwao kagera lami anaiona highway tu,aje kilimanjaro apate semina gharama zote nitalipaHapana, hapa ni barabara ya kwetu kijijini marangu. Sio safarini wala nini kihome home. [emoji23][emoji23]
Sent using Jamii Forums mobile app
Ndio manake,wazungu kukaa vijin kule uchagani mbona kawaida? Yaan mtu Kama hajui anaweza kudhan uchagani Ni kwa wazunguHawa wazungu wenye vichupi wanaobembea ndo shamra shamra zenu za X mass??[emoji2368][emoji2368]
Hivi ni vituko[emoji3][emoji3]
Sent using Jamii Forums mobile app
Barabara ya muleba-rubya bado haijawekwa lami,wameichonga tuMkuu tembea uone.
Hapa ni km 90 kutoka bukoba maeneo ya muleba iliyo chini ya mama wa mboga na Yule waziri mwijage aliyekuwa viwanda.
Kumbuka hizi barabara za vijijin
Lami inaanzia muhutwe ( ilipo barabara kuu) kwenda nshamba kupitia vijiji vya kamachumu na kishanda.
Na bado kutoka muleba mjini Hadi Rubya.
Na bado magheto ya huko migombani
Huko moshi ni padogo mno kulinganisha na bukoba , muleba,karagwe na misenyiView attachment 1298083View attachment 1298085
Sent using Jamii Forums mobile app
Hapo ni wazungu wanefurahia utunzaji wa mazingira vijin ,kule vijin kwenu kuna wazungu?Siku hiz wachaga ni wazungu?
Hebu leta nyumba za vijijin huko migombani
Au unataka tupost burigi chato na sisi
Sent using Jamii Forums mobile app
Karibu uchagani[emoji23][emoji23][emoji23]hawa wape wa sifa wa kaskazini wanachekesha sana na wanatia huruma
Sent using Jamii Forums mobile app
Kuja uchagani uone ndingaNasi tumefika kijijini kwetu Missenyi ndani ndani kwa ajili ya sikukuu!!! Nitaendelea kuwaletea updates hapa hapa za matukio na picha kutoka uhayani migombani kabisa. Maana hawa akina Meku wanaishia kutuletea picha za wazungu za google na insta[emoji3]View attachment 1298168
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahahaha[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
instanbul
Kaka angu unanifurahisha sana siku zote hasa kwenye hiz ligi zetu.
Sasa hiyo waterfall mbona inaogopesha hata mtu kupiga nayo picha?
Ebu njoo Marangu bhana, Amazon forest.
Sent using Jamii Forums mobile app
HahahaaaaKifupi wachagga hawana show off. Wawe unayetaka picha unataka uzifanyie nini? Unataka waweke picha za makasiri yao ili kesho muanze kuwafuatilia? Maana najua kuna wanaotamani hata waenfe kilimanjaro kwa wachaggawakabomoe maghrofa yao kwa chuki zilivyo kubwa.
Wenzio walishaondoka mijini wako kwao wanafurahia maisha hawana hata habari. Maana post inahusu wachagga lakini wale mabingwa wa show off wanarusha picha za makwao. Pole sana kwa sababu huwezi hata punje kushindana nashemeji zangu. I salute them kila eneo.
Na hata elimu ya juu Ni 50/50Mchaga na Mhaya hawawezi kushindanishwa kwenye biashara, makazi bora na utunzaji mazingira.
Wahaya labda mjivunie kuwa na watu wengi wenye Elimu ya juu.
Ukweli uachwe ubaki kuwa ukweli.
Mimi sio Muhaya wala Mchaga
Sent using Jamii Forums mobile app
HahahaUtalikutia wapi zaidi ya jamaa wa bukoba kuweka picha ya ghorofa la Mama Tibaijuka ambalo lipo kama Godauni la kuhifadhia viroba vya K-Vant.
Sent using Jamii Forums mobile app
Unaota ndoto? Huoni mapicha? Au umevaa miwan ya mbao?Wewe twenee tu na picha. Porojo za nini?? Naona mmeshikwa pabaya!! Uzi mmeuanzisha wenyewe kwa ajili ya picha sasa maji shingoni mnataka kupindua meza[emoji23][emoji23][emoji23]
Sent using Jamii Forums mobile app
Mbona nyie mnaweka za BUKOBA WADAU kwani nyie hamna simu?Tumekataa picha za mitandaoni za kuedit na photoshops. Hivi nyie hamna simu? Au simu zenu hazina camera??
Mmesema wenyewe ni uzi wa picha za amsha amsha za X mas huko kwenu migombani. Naona mnatupakulia picha tu mitandaoni. Mchaga hoi[emoji1787][emoji1787]
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwan Kuna nyumba ambayo sio ya uchagani?Mimi sipost hizi za watu nisiowajua za mitandaoni. Haya majumba ya mahotel hapana aisee. Wachaga mna kelele nyingi ila kwa mtu mweye akili ya kufatilia atagundua hamna kitu
Sent using Jamii Forums mobile app
Mbona zenye label ya bukoba WADAU huzisemi?Hizi sasa ndio picha. Sio huo upuzi wa google. Tunahitaji kuona vitu natural kama hivi kutoka Moshi au Bukoba. Nimefurahi sana. Nami naweka vya kwangu nimefika leo kijijini. Haina kukopi wala kudownload ni kwa camera yangu mwenyeweeeee
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahaha huyu ameminywa pu...mb.. atulieNyumba ya mengi ni Hotel?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23].
Ficha aibu, wahaya wenzako wanakucheka kimya kimya.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwan hizo picha za mitandaon sio za moshi? Picha ni picha ilimradi iwe ya eneo husika na mazingira hayadanganyiTusameheane tu ndugu. Wachaga mmezoea sana kutuharibia nyuzi zetu. Na sisi tunawaharibiaga tu kimakusudi. Nafikiri na wanaJF wote washatuzoea na kuona ni kawaida. Kwenye uzi wa Kagera wanajua watapata vitu vya Kilimanjaro and vice versa. Tushakuwa watani sasa. Haya tulieni hivyo hivyo sasa muendelee kuleta picha za maeneo yenu, sio hizo za mitandaoni tusiwaharibie uzi (kama mtaweza lakini maana hapa kwenye picha tunakuwa tumewaroga kabisa)[emoji23][emoji23][emoji23]
Sent using Jamii Forums mobile app
Unajua unachekesha? Kwan nyie nyumba mnazo post hapa Ni za kwenu?Kwa hiyo wewe upo kwenye nyumba ya Mengi una shamra shamra za X Mass humo?? Au nasoma vibaya kichwa cha uzi?? Tuwafundisheje nyie washirikina wa Kilimanjaro??[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Sent using Jamii Forums mobile app
Umepanic Kwan picha za mtandaoni sio za moshi?Na kweli imepenya maana naona pumzi imewaisha kabisa. Kihele hele chote cha kufungua uzi wa picha za shamra shamra za X Mass mmekosa picha mnakimbilia mitandaoni ku download za insta. Mmebanwa p.u.m.b.u maji shingoni. Namuona luambo mikiadi akijuta angejua asingefungua huu uzi. Ashataka kuufuta bahati mbaya sana JF ngoma haifutiki[emoji23][emoji23][emoji23]
Acha tu tuwasaidie kupiga picha za kwetu Bukoba kwa kuwa kuna migomba na nyie mtasuuza macho
Sent using Jamii Forums mobile app
Mbona nyie mna download za bukoba WADAU? Tulia dawa ipenye wewe mnywa rubisiMimi nipo hapa kwenye viwanja vya gofu Gymkhana ya Bukoba naenjoy likizo. Wazee wa kudownload picha mpo?? Karibuni uhayani View attachment 1298277
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahaha jinsi ya elfu 7Umevaa zako jeans ya kuchovya af unakazana kubishana kuhusu magorofa, mkuu pambana ujiondoe hapo ulipo kwanza
Sent using Jamii Forums mobile app