Shamra shamra za Krismasi 2019 Kilimanjaro

Shamra shamra za Krismasi 2019 Kilimanjaro

U
Waambie wachaga wenzangu. Mimi ninakuja na boksi lililojaa kadi za CCM wote mliotangulia jiandae kupewa kadi za chama tawala.
Upinzani umeendelea sana K’Njaro kwasababu ya mwamko wa watu kule. Katika jimbo la Vunjo kwamfano ccm haijachagiliwa kuanzia siasa za vyama vingi zianzishwe mwaka 1995. Imekuwa ni TLP, NCCR, au CHADEMA. Sehemu nyingine Tz ni ccm tangu 1954. Ni penye ujinga tu ccm inastawi.
 
U

Upinzani umeendelea sana K’Njaro kwasababu ya mwamko wa watu kule. Katika jimbo la Vunjo kwamfano ccm haijachagiliwa kuanzia siasa za vyama vingi zianzishwe mwaka 1995. Imekuwa ni TLP, NCCR, au CHADEMA. Sehemu nyingine Tz ni ccm tangu 1954. Ni penye ujinga tu ccm inastawi.
Safari hii CCM itaingia Kilimanjaro kwa mkono wa chuma. Kama huamini subiri uone.
 
Wenyewe wa Moshi wanagiita vifodi. Wachaga washamba sana[emoji1787][emoji1787][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787]
Kwan ni lazima kuwa na daladala za mji.

Daladala za nini zinazokaa kwenye vituo saa mbili kama huko moshi!!

Kwanza daladala zilikuwepo na zitarudishwa mwakan meli ikianza kufanya KAZI tena kwenye route zenye uhitaji

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tatizo ni jina la uzi mkuu. Mmeufungua wenyewe msikimbie maana ya uzi. Wekeni pichaaaaaaaaa[emoji3][emoji3]
Umaskini upo kagera maana Ni mkoa wa 11 kwa umaskini, kilimanjaro Ni ya 2 kwa wananchi wake kuwa na maisha Bora
Picha za mtandaoni mbona nyie mnaweka za BUKOBA WADAU ? Kwan unaangalia picha imetoka wapi au unaangalia uhalisia? Umechemka

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Bukoba Vive beach kimewaka.



Sijawahi ona public beach kama hii tz nzima.

Endeleen kupost vimto vyenu hapa
FB_IMG_15770440496716154.jpeg
FB_IMG_15770440562116784.jpeg
FB_IMG_15770440623605423.jpeg
FB_IMG_15770440668071405.jpeg
FB_IMG_15770440716615975.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom