Acha sifa za uongo hapaMbona kilimanjaro tuna route 5 kwa siku ? Hahaha watu wa bukoba kwa ushamba hamjambo ,Sisi hadi ndege tunamiliki (précision air) nyie mnao huo uwezo?
Sent using Jamii Forums mobile app
KaniangushaHahaaaa....muache mchagga akawakilishe taifa Spain
Mambo yasiwe mengi, mengi yasiwe mambo
Upinzani umeendelea sana K’Njaro kwasababu ya mwamko wa watu kule. Katika jimbo la Vunjo kwamfano ccm haijachagiliwa kuanzia siasa za vyama vingi zianzishwe mwaka 1995. Imekuwa ni TLP, NCCR, au CHADEMA. Sehemu nyingine Tz ni ccm tangu 1954. Ni penye ujinga tu ccm inastawi.Waambie wachaga wenzangu. Mimi ninakuja na boksi lililojaa kadi za CCM wote mliotangulia jiandae kupewa kadi za chama tawala.
Safari hii CCM itaingia Kilimanjaro kwa mkono wa chuma. Kama huamini subiri uone.U
Upinzani umeendelea sana K’Njaro kwasababu ya mwamko wa watu kule. Katika jimbo la Vunjo kwamfano ccm haijachagiliwa kuanzia siasa za vyama vingi zianzishwe mwaka 1995. Imekuwa ni TLP, NCCR, au CHADEMA. Sehemu nyingine Tz ni ccm tangu 1954. Ni penye ujinga tu ccm inastawi.
Thank you, wishing kipindi hiki ningekutumia hata ka ua tu jamani, ingependeza kwa kweli.Sijambo mimi jamani dear!
Nashukuru mnooo kwa kweli, nakutakia kheri pia katika kipindi hiki cha kuelekea siku kuu za Christmas na mwaka mpya!
You're missed dear
[emoji39][emoji39][emoji39][emoji39][emoji39]Thank you, wishing kipindi hiki ningekutumia hata ka ua tu jamani, ingependeza kwa kweli.
Ndo unipe P o box hapo princess nikufanyie ka mchakato.[emoji39][emoji39][emoji39][emoji39][emoji39]
Hebu katume tuu jamani
Umelewa rubisi wewe njoo uchagani paradiso ya AfricaView attachment 1300485
Sent using Jamii Forums mobile app
Unasema eti?
Karibu uchagani paradiso ya AfricaView attachment 1300494
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwan ni lazima kuwa na daladala za mji.
Daladala za nini zinazokaa kwenye vituo saa mbili kama huko moshi!!
Kwanza daladala zilikuwepo na zitarudishwa mwakan meli ikianza kufanya KAZI tena kwenye route zenye uhitaji
Sent using Jamii Forums mobile app
Umaskini upo kagera maana Ni mkoa wa 11 kwa umaskini, kilimanjaro Ni ya 2 kwa wananchi wake kuwa na maisha Bora
Picha za mtandaoni mbona nyie mnaweka za BUKOBA WADAU ? Kwan unaangalia picha imetoka wapi au unaangalia uhalisia? Umechemka
Sent using Jamii Forums mobile app
Yote hayo yatakuwa kama ulivyokuwa uchaguzi mdogo, siasa chafu za kina Mobutu.Safari hii CCM itaingia Kilimanjaro kwa mkono wa chuma. Kama huamini subiri uone.
Wanakuwaje washamba wakati wametapakaa nchi nzima na nje ya nchi huku wakitawala uchumi kila kona? Sielewi unamaanisha nini kwa ushamba.Wenyewe wa Moshi wanagiita vifodi. Wachaga washamba sana[emoji1787][emoji1787][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787]
Sent using Jamii Forums mobile app
Pigia mstari.Yote hayo yatakuwa kama ulivyokuwa uchaguzi mdogo, siasa chafu za kina Mobutu.
Wewe jamaa ndio 0 kweli. Yaani mau ua ndio unasifia? Sisi tunataka bia na nyama.Bukoba Vive beach kimewaka.
Sijawahi ona public beach kama hii tz nzima.
Endeleen kupost vimto vyenu hapaView attachment 1300647View attachment 1300648View attachment 1300649View attachment 1300650View attachment 1300651
Sent using Jamii Forums mobile app
FB imagesBukoba Vive beach kimewaka.
Sijawahi ona public beach kama hii tz nzima.
Endeleen kupost vimto vyenu hapaView attachment 1300647View attachment 1300648View attachment 1300649View attachment 1300650View attachment 1300651
Sent using Jamii Forums mobile app