instanbul
JF-Expert Member
- Jun 26, 2016
- 12,037
- 17,212
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Saidieni Dada zenu waondoke vibandani uwanja wa fisi, Mwananyamala, Buguruni, Tandika na SudanKweli dawa imewaingia[emoji23][emoji23][emoji23]
Nasubiri mnionyeshe maji ya bomba vijijin kama hiv.
Mkuu na hapo ni Uganda [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]View attachment 1301809
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji23][emoji23][emoji23]Saidieni Dada zenu vibandani Manager, Mwananyamala, Buguruni, Tandika na Sudan
Ha ha ha muongoza nn vile....bora ungekaa kimya[emoji23][emoji23][emoji23]
Sie tunaendelea
Kabale komkama kiziru bukoba vijijinView attachment 1301823
Sent using Jamii Forums mobile app
Mamba moja hiyoHawa kina Makundi wana estate hatari Marangu mpaka Heliport.View attachment 1300685
Sent using Jamii Forums mobile app
Hapa ni Marangu route ukiwa unapanda mlima Kilimanjaro. Hiki ni kituo nakipata vizuri tu wala sio makazi ya mtuShimboni Mangi!
Warning: Sio Ulaya hapa ni Kijijini, Marangu.[emoji23][emoji23]View attachment 1297957
Sent using Jamii Forums mobile app
Chemka inaitwa Kikuletwa? Nimefika mara mbili hapa kuna mandhari nzuri sana upande mwingine kule. Hapo kuna kenge wa kutoshaWageni mnaokuja moshi msisahau kuja hapa.
#Kikuletwa natural hot springs.View attachment 1298024View attachment 1298025View attachment 1298026View attachment 1298027
Sent using Jamii Forums mobile app
Ingawa anamapungufu yake.Ha ha ha muongoza nn vile....bora ungekaa kimya
Wape hai Wa machame wenzako huko Uduru mpaka Nronga
Acha wafe maana hivi vijiji ni ulaya, wazungu wanabadilisha uraia kuishi Marangu, Machame, Kibosho, Rombo, Uru na Old moshi.
Huko Bukoba labda ukute Mzungu koko[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Sent using Jamii Forums mobile app
Bukoba watanuna
Nenda na wewe katambike kwenu upate mapesa kuna mtu anapenda kuishi maisha ya shida jipange acha kulialiaHamna cha maana huko zaidi ya kutambikia mizimu na kutoa makafara kwa ajili ya biashara yako! Sikukuu ni popote!
Acheni sifa za kiboya.
Njoo tuwafunze sifa sie wenye nazo.View attachment 1301738
Sent using Jamii Forums mobile app