Tofauti ya mama wa kichaga nalwa kihaya.View attachment 1302245Mweka kibosho
Wewe uchagani hukujuhiHapa ndo kweli na ndo maisha ya wachaga wengi kuna migomba na nyumba za kawaida Sana mpaka za udongo huko migombani.
Mbona hao mademu nyuma wamepigwa pasi
Sent using Jamii Forums mobile app
Usisahau ku post nyumba yako mkuuHii Tabia ya mageti vijijin sijui ndo usomi?View attachment 1300847
Sent using Jamii Forums mobile app
Ila huko ni green ,ndugu zangu wasukuma sasa mti ukikuwa kidogo unakula panga unachomwa mkaa cjui nani aliturogaMmeanza kupost vichaka sasa
Tunaenda Kula sikukuu bukoba
View attachment 1302371
Sent using Jamii Forums mobile app
AiseeUPDATE
Nauli kutoka Arusha to Moshi imepanda kutoka 2,500/= hadi 10,000/= 24/12/2019
Sent from my iPhone using JamiiForums
Wachaga nomaa ma luxury bus kama yoteMmeanza kupost vichaka sasa
Tunaenda Kula sikukuu bukoba
View attachment 1302371
Sent using Jamii Forums mobile app
Wachaga nomaa ma luxury bus Kama yoteMmeanza kupost vichaka sasa
Tunaenda Kula sikukuu bukoba
View attachment 1302371
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwamba bomba hazipo uchagani?Tofauti ya mama wa kichaga nalwa kihaya.
Huko moshi wanaenda kuchotal maji mtoni[emoji23][emoji23]
Ona bomba mpaka migombaniView attachment 1302373
Sent using Jamii Forums mobile app
Sanaaa si unajua tena wachaga na pesa?Wachaga mnatisha. Mheshimiwa rais tunaomba utuwekee treni ya umeme Dar-Arusha tutaipanda kila Ijumaa na kurudi Jumatatu. View attachment 1302044
Sent using Jamii Forums mobile app
Sawa...hakuna matataHapana sipo hapo sasa hivi,asante kwa mualiko
Hapana mwayaa kibosho kila nyumba ina maji ya bomba Since 90’s tena ni bure kabisaTofauti ya mama wa kichaga nalwa kihaya.
Huko moshi wanaenda kuchotal maji mtoni[emoji23][emoji23]
Ona bomba mpaka migombaniView attachment 1302373
Sent using Jamii Forums mobile app
👋 mimi nimepost tuu samahani kama nimekukwazaMmeanza kupost vichaka sasa
Tunaenda Kula sikukuu bukoba
View attachment 1302371
Sent using Jamii Forums mobile app
Katika vitu unavyoota ni hii moshi toka enzi za mwaalimu karibu kila nyumba ina bomba tena maji yake yana presha kali na yamewekwa dawa yakitoka yanatoka meupee kama maziwa na kila baada ya nyumba kumi kuna bomba la kijiji upo hapoTofauti ya mama wa kichaga nalwa kihaya.
Huko moshi wanaenda kuchotal maji mtoni[emoji23][emoji23]
Ona bomba mpaka migombaniView attachment 1302373
Sent using Jamii Forums mobile app
Picha ziko wap[emoji23][emoji23]Katika vitu unavyoota ni hii moshi toka enzi za mwaalimu karibu kila nyumba ina bomba tena maji yake yana presha kali na yamewekwa dawa yakitoka yanatoka meupee kama maziwa na kila baada ya nyumba kumi kuna bomba la kijiji upo hapo
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwani nilikuahidi nitakuletea picha hapa nipo kati kati ya mageti makali nyumba ipo kuleee unaanza anzaje kuingia kwenye makasri ya watu kupiga picha