Amen,Wachaga mnaoishi dar tafadhali Sana mtokapo Moshi msisahau kuniteletea zawadi za ndizi na maparachichi..nasisitiza hili.
Sent using Jamii Forums mobile app
Acha poroja leta picha za hiyo marangu nami nilete bukoba vijijinKwa makazi , hakuna mkoa unaofikia kilimanjaro , mie bimkubwa anatokea marangu,...napaitaga masaki ya kilimanjaro , ndani ndani huko ghorofa zimejaa , hadi nyumba ya mwsho inayopaka na msitu wa kilimanjaro, hao jamaa nyoko sana, wamejenga sio kidogo
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu kwani nimekataa huko kwenu hamjengi ? Ila nimezunguka hili taifa zaid ya mikoa 20.. (bukoba sijafika) hakunaga kama wachaga kwenye swala la kujenga kwao , ...labda itakua na huko kwenu piaAcha poroja leta picha za hiyo marangu nami nilete bukoba vijijin
Sent using Jamii Forums mobile app
Mjep 🖖🖖💃Wageni mnaokuja moshi msisahau kuja hapa.
#Kikuletwa natural hot springs.View attachment 1298024View attachment 1298025View attachment 1298026View attachment 1298027
Sent using Jamii Forums mobile app
Wageni mnaokuja moshi msisahau kuja hapa.
#Kikuletwa natural hot springs.View attachment 1298024View attachment 1298025View attachment 1298026View attachment 1298027
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu tembea uone.Mkuu kwani nimekataa huko kwenu hamjengi ? Ila nimezunguka hili taifa zaid ya mikoa 20.. (bukoba sijafika) hakunaga kama wachaga kwenye swala la kujenga kwao , ...labda itakua na huko kwenu pia
Sent using Jamii Forums mobile app
Siku hiz wachaga ni wazungu?Wageni mnaokuja moshi msisahau kuja hapa.
#Kikuletwa natural hot springs.View attachment 1298024View attachment 1298025View attachment 1298026View attachment 1298027
Sent using Jamii Forums mobile app
Sample ya nyumba zilizopo vijijin.Mkuu kwani nimekataa huko kwenu hamjengi ? Ila nimezunguka hili taifa zaid ya mikoa 20.. (bukoba sijafika) hakunaga kama wachaga kwenye swala la kujenga kwao , ...labda itakua na huko kwenu pia
Sent using Jamii Forums mobile app
Siku hiz wachaga ni wazungu?
Hebu leta nyumba za vijijin huko migombani
Au unataka tupost burigi chato na sisi
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kamachumu waterfall muleba kagera.
Tembea uone wew.View attachment 1298088View attachment 1298090View attachment 1298091View attachment 1298092View attachment 1298093
Sent using Jamii Forums mobile app
Sample ya nyumba zilizopo vijijin.
Panda gari toka anzia muleba mjini Hadi bunazi huko misenyi ukikutana nyumba mbovu au ya nyasi naacha.
Bila Shaka mnaona uhalisia wa kagera na ndizi zetu na migomba sio hao wanaopost wazungu wavaa chupi wanaopanda mlimani.View attachment 1298100View attachment 1298102View attachment 1298101View attachment 1298103View attachment 1298105View attachment 1298106
Sent using Jamii Forums mobile app
Toa uchafu wako, angalia hapo chini.Kamachumu waterfall muleba kagera.
Tembea uone wew.View attachment 1298088View attachment 1298090View attachment 1298091View attachment 1298092View attachment 1298093
Sent using Jamii Forums mobile app
Nasema Hiviiiiiiiiiii.....!Sample ya nyumba zilizopo vijijin.
Panda gari toka anzia muleba mjini Hadi bunazi huko misenyi ukikutana nyumba mbovu au ya nyasi naacha.
Bila Shaka mnaona uhalisia wa kagera na ndizi zetu na migomba sio hao wanaopost wazungu wavaa chupi wanaopanda mlimani.View attachment 1298100View attachment 1298102View attachment 1298101View attachment 1298103View attachment 1298105View attachment 1298106
Sent using Jamii Forums mobile app
Nawakumbusha ndugu zetu.Nasi tumefika kijijini kwetu Missenyi ndani ndani kwa ajili ya sikukuu!!! Nitaendelea kuwaletea updates hapa hapa za matukio na picha kutoka uhayani migombani kabisa. Maana hawa akina Meku wanaishia kutuletea picha za wazungu za google na insta[emoji3]View attachment 1298168
Sent using Jamii Forums mobile app