Shamra shamra za Krismasi 2019 Kilimanjaro

Shamra shamra za Krismasi 2019 Kilimanjaro

Eti hakuna mkoa..... [emoji23][emoji23]

Hiv ulishawah fika bukoba vijijin,muleba na misenyi huko bila kusahau karagwe?

Mzee Baba tembea uone siku hiz mmezidi wahaya Kwa sifa

Sent using Jamii Forums mobile app
Hahaha pia takwimu za serikali zinatutanabaisha kuwa 90% ya Wana kilimanjaro wanaishi maisha Bora (include nyumba) kwahyo hatusemi tu bila evidence

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kuna watu hasa wachaga waliona barabara ya kuelekea Kwa kina Ruge ikichongwa huko bukoba vijijin wakajinadi kwao kuna lami mpaka milangon[emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Sent using Jamii Forums mobile app
Ni kweli asilimia kubwa ya barabara za kawaida za vijin huko uchagani Zina lami,sio highway
Mfano
Hilo marangu,marangu mwika,kilema,machame Kibosho,uru ,nk
Hata ambazo hazina lami zina moramu na zinapitika
Wana kilimanjaro Wana juhudi kubwa Sana yaan wanajitoa Sana kuchangia
Vunjo pekee wananchi walichanga bilion 7 kukarabati barabara zote za jimbo hii kitu haipo popote Tanzania

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sawa mkuu, leteni picha sasa tuendelee na uzi[emoji3][emoji3]

Sent using Jamii Forums mobile app
Karibu paradiso ya uchagani mkoa namba mbili kwa maisha Bora na makazi bora
FB_IMG_15755750529514181.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwa sasa hakuna kanda iliyolala ila wanafanya mambo yao kimya kimya. Kuna siku mtajikuta maskini wa kutangatanga, tulia Tanzania ni kubwa
Tanzânia nzima tupo
Hakuna sehemu yoyote tz utamkosa mchaga kwahyo haitakaa itokee tukazidiwa maendeleo,tangu lini mwnafunz akamzidi mwalimu?
Takwimu zinatuambia kuwa kilimanjaro 90% wanaishi maisha bora ni mkoa wa pili baada ya dar
Kule vunjo wananchi walichanga bilion 7 kukarabati barabara zote za jimbo,Ni wapi TANZANIA wananchi Wana ubavu huo? Hatuwezi kutetereka tunazidi kupaa kimaendeleo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hivi kweli mkuu huoni aibu kutuma mahotel??? Au familia ya mtu inakaa kwenye hizo flats huko kijijini[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787 Naona umeenda ku search insta ndo una screen shot kabisa na kututumia humu. Wachaga maskini sijui mmerogwa na nani??[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Ukitaka sifa uwe na vya kuonesha kama wenzenu wa Kagera hata kama ni vidogo hivyo hivyo ndo vyako, jivunie.

Sent using Jamii Forums mobile app
Umelewa rubisi? Kwan hizo picha sio za vijijin huko uchagani ? Hilo ghorofa Ni la kuishi watu lipo rombo vijin huko au ulidhani ni hôtel? Hahaha Kilimandjaro 90% makazi ni Bora kwa mujibu wa takwimu
Sasa unabishana na takwimu?
Njoo ule nyama najua una njaa
FB_IMG_15766940189044266.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Luambo makiadi umechanganya UCHAGA na UHAYA?
Wakuu poleni na majukumu, dhumuni la Uzi huu ni kutoa updates mbalimbali za sikukuu ya Krismasi kwa watu waliopo Kilimanjaro, hivyo wale wenye picha mbalimbali mnakaribishwa.

NB: Mimi bado sijafika Kilimanjaro najiandaa na safari ya kutinga Kilimanjaro

Luambo Makiadi
Eindhoven-Netherlands

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hahaha pia takwimu za serikali zinatutanabaisha kuwa 90% ya Wana kilimanjaro wanaishi maisha Bora (include nyumba) kwahyo hatusemi tu bila evidence

Sent using Jamii Forums mobile app
We hujui serikali hii Kwa kupika takwimu[emoji23].

Mkuu leta picha Kwa sababu Mie nikifika moshi Sion hayo maendeleo.

Kuna umaskin mkubwa huko migombani we Acha tu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ni kweli asilimia kubwa ya barabara za kawaida za vijin huko uchagani Zina lami,sio highway
Mfano
Hilo marangu,marangu mwika,kilema,machame Kibosho,uru ,nk
Hata ambazo hazina lami zina moramu na zinapitika
Wana kilimanjaro Wana juhudi kubwa Sana yaan wanajitoa Sana kuchangia
Vunjo pekee wananchi walichanga bilion 7 kukarabati barabara zote za jimbo hii kitu haipo popote Tanzania

Sent using Jamii Forums mobile app
Una uhakika kwamba hakipo popote tz.

Hata bukoba vijijin barabara za vijijin zina lami

Mfano muleba to rubya.kamachumu to muhutwe ,katoma, katerero to kanazi, maruku nk nk

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Eti hakuna mkoa..... [emoji23][emoji23]

Hiv ulishawah fika bukoba vijijin,muleba na misenyi huko bila kusahau karagwe?

Mzee Baba tembea uone siku hiz mmezidi wahaya Kwa sifa

Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa makazi , hakuna mkoa unaofikia kilimanjaro , mie bimkubwa anatokea marangu,...napaitaga masaki ya kilimanjaro , ndani ndani huko ghorofa zimejaa , hadi nyumba ya mwsho inayopaka na msitu wa kilimanjaro, hao jamaa nyoko sana, wamejenga sio kidogo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom