kuroga kumempa jinaHamisa anaongelewa sana yaan ndio tz sweetheart kwakweli
Acha avune alichopanda na kila mtu apambane na Hali yake.Mchawi ndio maana anaongelewa
Utadhani yeye au wewe warumi upo clean..very boring two people wewe pamoja na yeye.
AF binamu UNAZINGUA ujue!
YANI TUMEKUSUBIRI WEEEEEEEEEEE!
af unakuja na ubuyu wa hiivi!
jana mekutizamaaa na HABARI ZAKO ZILIPENDWA!
oh casto kaachwa na tunda!
leo shamsa!
HIVI UKOJE LAKIN!?
usitutinganyie mambo!
Anawanyosha ila...